wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Ni kwanini wanawake wanapenda wanaume wanaokunywa pombe?

    Wasalaam Hii nimeshuhudia sana. Kama mtu anakunywa pombe ni rahisi kuwapata Wanawake ila kama hunywi ni ngumu sana. Najiuliza sana sababu ni nini.
  2. Melki Wamatukio

    Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wenzetu hupenda kutudharirisha wenzao?

    Mara mia tu niwaachie dunia yenu nikaishi kwenye mavolkano tu huko. Maake udharirishaji umezidi Yaani mwanaume unalilia mapenzi! Yaani unamwaga mpaka chozi na kujinyenyekeza kabisaaaa!!😥😥 Yaani Mwenyezi Mungu katupatia hawa viumbe tuishi nao kwa akili, tena isitoshe kawafanya kuwa maradufu. Leo...
  3. MKATA KIU

    Mke kuuza Penzi ndani ya ndoa, Mke kunywa P2 ndani ya ndoa, wanaume wengi wanalamika hii tabia. Ndoa zimekuwaje?

    Habari wadau Kuna kesi nyingi za wanandoa wanaume wanalalamika kwamba bila pesa ama kutimiza matakwa ya wake zao. Wanagomewa kupewa penzi. Mtu ameoa ana mke ndani ila hana uhakika wa kupata penzi akiwa na hamu nalo. Hii inakuwaje? Yaani ununue vyakula ndani ila usiwe na uhakika wa kula...
  4. Dr Lizzy

    Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

    Hello guys, bado tupo January, so Happy New Year!! Ni muda sasa nimekua nikisoma na kusikia wakaka mnavyolaumu wanawake kukosa utii na heshima kwenye ndoa na mahusiano, kuwa jeuri sana na kuendekeza gubu. Imefika mahali elimu na mafanikio ya mwanamke ndio vinaonekana kuwa chanzo cha matatizo...
  5. Stephano Mgendanyi

    Wanaume wakumbushwa kufuatilia afya zao kama wanavyofuatilia mpira

    WANAUME WAKUMBUSHWA KUFUATILIA AFYA ZAO KAMA WANAVYOFUATILIA MPIRA Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI anayeshughulikia Afya Dkt. Festo Dugange amewakumbusha wananume kufuatilia afya zao na Afya za Watoto kama wanavyofuatilia mechi za mataifa ya Africa AFCON2023 yanayoendelea nchini Ivory Coast...
  6. passion_amo1

    Baadhi ya wanaume kiuhalisia wanatufanya tuonekane wote ni wapumbavu hapa JF

    Wakuu habari za uzima? Unajua Jamii forums ni ni sehemu ya kuvuna maarifa, kuburudika, na hata kutengeneza marafiki na uhusiano miongoni mwetu. Ndugu zangu na wapendwa wote jamii forum, kuna baadhi ya mambo huenda yakawa yanachukuliwa katika hali ya utani lakini yakawa na madhara hasi pasi na...
  7. tpaul

    Wanaume mnaowashika wanawake makalio na matiti Kariakoo kiama chenu kinakuja; Chalamila anawachemshia dawa

    Kuna hii tabia ya wanaume kuwashika wanawake makalio na matiti kwenye sehemu za misongamano, hasa Kariakoo, ambako muda wote kuna msongamano wa watu. Mh Chalamila, RC wa Dar es Salaam anawachemshia dawa ambayo hamtakuja kumsahau. Yaani mtajuta kumfahamu. Mara nyingi wanaume hawa huvizia kwenye...
  8. C

    Mtaalamu: Wanaume wanaokunywa bia wana homoni nyingi za kike

    Sijasema mimi bali amesema mtaalam aliyenukuliwa na mtandao wa ommy msafi news hivyo nendeni huko mkaisikilize clip yake Kitu pekee ninachofurahi cognizant mimi ni kwamba sinywi bia na haitotokea nikaja kunywa bia. Akhsante mtaalam kwa ukweli wako
  9. Intelligent businessman

    UWABATA- Umoja wa wanaume bahili Tanzania

    Kutokana na malalamiko ya wanaum e Humu jf, nimeona ni Bora kufungua Uzi huu ili kuweza kuwapa nafasi ya kutoa malamiko yao. Lengo la chama hiki ni kukumbushana misimamo na misingi ya chama chetu. 👉 Mwenyekiti ni Natafuta Ajira, katibu Mjanja M1. 👉Katibu mwenezi wa sera za chama ni dronedrake.
  10. Yofav

    Wanaume, unatumia gharama gani ku-shave kwa mwezi?

    Habari wakuu, Kama heading inavyoeleza hapo juu, nataka kufanya research binafsi ili nione kama kuna kipya katika matumizi na gharama zetu katika maisha yetu ya kila siku, Nikisema kipya ni kujua kama kuna uwezekano wa watu wanaotumia gharama sana, gharama za kawaida (kati) au kuna za chini...
  11. S

    Miji yenye Uwiano wa Idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume

    In this article, we take a look at cities with the highest female to male ratio in the world. You can skip our detailed analysis on migration, economy and gender ratio and go directly to the 5 Cities with Highest Female to Male Ratio in the World. As of 2023, there are 8 billion people in the...
  12. GENTAMYCINE

    Kwanini Wanaume Wakichiti hujulikana upesi na Wanawake zao, ila Wanawake Wakichiti kamwe Wanaume hawagundui?

    Nasikia Wanawake wapendelewa mno na Mwenyezi Mungu uwezo mkubwa wa kuwa na Saikolojia Kubwa na Kali pamoja na Uwezo mkubwa wa Akili kuliko Wanaume. Tafadhali nijibuni upesi kwani kuna Mtu simuelewi simuelewi hivi na nahisi Gari yangu nzuri ya Kibaiolojia jana Asubuhi niliposafiri ghafla kwenda...
  13. sky soldier

    Kama Uchumbani unapewa mchezo kwa mbinde usimuoe! Ukifosi kumuoa jiandae kunyimwa hata mwezi/ mwaka mzima

    Suala la sex lina uzito sana ndani ya ndoa hasa kwa mwanaume ambae kaumbwa na matamanio makubwa kwenye ya libido / sex drive. Unapoona mwenzako uchumbani kwenye suala la mchezo ni mpaka ajivute vute, hadi umuhonge, umbembeleze sana na pengine hana hisia kwenye sex basi huyo ni wa kupiga na...
  14. Damaso

    Somo Kubwa wanaume tumepewa kutoka kwa Erik Spoelstra

    Nilipokuwa ndo ninaanza kubalehe marehemu Babu aliwahi kuniambia “Ukitaka kuwa na Maisha mazuri na yenye furaha kama mwanaume basi usije kuoa! Mwanamke anakondesha Mjukuu! Mwanamke sio ndugu yako kabsa! Kaa nao mbali!" Sikuelewa hata kidogo ila nilipotimiza miaka kadhaa mbeleni nikaanza...
  15. Mjanja M1

    Wanaume tumuige Sadio Mane kwenye ndoa

    Habari zenu, Ukizungumzia Wachezaji wenye Hekima na Kujali watu basi huwezi kuacha kumtaja Msenegal Sadio Mane. Mane amekuwa ni msaada kwa jamii yake na ametufundisha kitu kwenye mahusiano pia, kitu alichotufundisha ni kwamba unapooa pambana upate Mwanamke ambae ni Mpya na asiekuwa na mapito...
  16. Mhaya

    Mrembo aliyetengenezwa na A.I asumbua vichwa vya wanaume kwenye mitandao ya kijamii

    Mrembo mmoja wa Instagram ameyashika macho ya wacheza mpira wa miguu maarufu, mastaa pamoja na mabilionea, lakini yote si kama unavyoweza kudhania. @emilypellegrini amejikusanyia followers zaidi ya laki mbili kwenye Instagram ndani ya miezi minne tu. Ingawa picha na video zake zinaonekana kuwa...
  17. B

    Wanaume tunaongoza kusaliti na kujisifu kusaliti, lakini sisi tukisalitiwa tunalaumu

    Hi, Kuna kitu nashangaa kuhusu sisi wanaume, naongelea from experience nliyoona from washkaji wangu wa karibu, utakuta mwanaume ni malaya mbwa, michepuko anayo kama yote, na malaya ananunua, lakini anatarajia mkewe awe loyal, hii inawezekanaje? Tarajia mkeo au mpenzi wako awe loyal, kama wewe...
  18. passion_amo1

    Hili linaweza kuwa suluhisho la kulea watoto wa kubambikiziwa?

    Habari za uzima wakuu? Nikiwa naelekea katika harakati jumatatu njema kabisa, nikakutana na hii kitu hapa. Hii ni HOME DNA TESTS KIT, kama ambavyo wanawake wanaweza kujipima mimba na wanaume wameletewa hii. Kwani Nchini Tanzania zimefika hizi au Ndio kupima kwa kila mtu mmoja mmoja na...
  19. figganigga

    Wanaume tushikamane. Hawa wanawake watatuua watumalize. Nawe unapigwaje umetulia?

    Salaam Wakuu, Hivi inawekekanaje Mwanamke anakukalisha chini, anakupiga na mwiko huku kakukanyaga na mguu na ndani hajavaa kifuli, halafu mwanaume unalia kama mtoto mdogo? Ni nguvu gani wanatumia? Kwangu nahisi haiwezekani nikiwa hai. Nibwakati wa Wanaume tuamke tuwasaidie wanyonge. Mkeo...
  20. M

    WANAUME MNAOPELEKA SHULE WATOTO WENU: Njooni hapa, DNA muhimu.

    DNA muhimu Vijana. Kama mwanaume unaanzaje kumuamini KE uliyekutananae ukubwani, Yani anakuambia mtoto ni wako na wewe ME unaamini, Ni mistake kubwa sana ME sisi tunafanya, Hutakiwi kumuamini mtu uliyekutanane ukubwani Hata akiwa mkeo Ni makosa makubwa ME tunafanya
Back
Top Bottom