BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,619
- 2,997
Inaaminika kuwa ni ujanja kula Hela ya mtu na kukimbia na kutangaza kuwa sio taipu yangu, mshamba, kajipendekeza etc.
Spiritually ( kiroho) mtu akikupa kitu chake, ukapokea, tayari umejiunganisha naye chochote atakachotamka dhidi yako kitakupata, akikulaani, laana hiyo itakupata, hujaolewa/ Mwanaume hujaoa jichunguze wanaume/ wanawake uliokula Hela zao Kwa madharau wamekulaani bila wewe kujua.
Epuka utumwa Kwa wanaume au Wanawake Kwa kutosheka na ulivyonavyo,acha kujifunga mguu mwenyewe na kuomba watumishi wakuombee!
Kuna Dada kutoka Dodoma, Mwimbaji wa nyimbo za injili, alinieleza shida zake,alisema anahitaji nauli kuja Dar es salaam.
Nikamtumia Hela,niliona kweli ana kipaji na Mtumishi wa Mungu,kumbe alikuwa tapeli, sikumsikia baada ya kupokea ule mwamala, imepita miaka miatatu kaanza kunitafuta, nilishamsahau,kajieleza,anataka mawasiliano namimi! Nikagundua ni Hela zile zinasumbua nafsi yake!
Elimu ya Bure,Mwanadada/ mwana kaka,kaa Mbali na utumwa wa pesa za watu Ili kuishi maisha ya Utulivu mbele ya safari.
Spiritually ( kiroho) mtu akikupa kitu chake, ukapokea, tayari umejiunganisha naye chochote atakachotamka dhidi yako kitakupata, akikulaani, laana hiyo itakupata, hujaolewa/ Mwanaume hujaoa jichunguze wanaume/ wanawake uliokula Hela zao Kwa madharau wamekulaani bila wewe kujua.
Epuka utumwa Kwa wanaume au Wanawake Kwa kutosheka na ulivyonavyo,acha kujifunga mguu mwenyewe na kuomba watumishi wakuombee!
Kuna Dada kutoka Dodoma, Mwimbaji wa nyimbo za injili, alinieleza shida zake,alisema anahitaji nauli kuja Dar es salaam.
Nikamtumia Hela,niliona kweli ana kipaji na Mtumishi wa Mungu,kumbe alikuwa tapeli, sikumsikia baada ya kupokea ule mwamala, imepita miaka miatatu kaanza kunitafuta, nilishamsahau,kajieleza,anataka mawasiliano namimi! Nikagundua ni Hela zile zinasumbua nafsi yake!
Elimu ya Bure,Mwanadada/ mwana kaka,kaa Mbali na utumwa wa pesa za watu Ili kuishi maisha ya Utulivu mbele ya safari.