wake

In fluid dynamics, a wake may either be:

the region of recirculating flow immediately behind a moving or stationary blunt body, caused by viscosity, which may be accompanied by flow separation and turbulence, or
the wave pattern on the water surface downstream of an object in a flow, or produced by a moving object (e.g. a ship), caused by density differences of the fluids above and below the free surface and gravity (or surface tension).

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Wakubwa, kuna kitu kinaninyima raha sana. Nikiwa faragha na mke wangu, nikimshika uke ili niuchezee huwa anautoa mkono wangu, kwa kweli hii hali inanisononesha sana. Nifanyaje wakuu, au nimuache tu?
  2. McLaren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kampa kadi ya benki mke wake na akipata mshahara wote anampa mkewe. Yuko sawa kweli?

    Wakuu, Hivi hii imekaaje? Nina rafiki yangu ambaye tulisoma nae pamoja na kwa sasa anafanya kazi kwenye moja ya taasisi kubwa sana hapa nchini. Jamaa take home ni around ya 1.5 Million kwa mwezi na ajira yake ni ya uhakika maana hiyo taasisi anayofanyia kazi ina muingiliano na masuala ya...
  3. Knock life

    JamiiForums Tanzania GE2025 Byabato na Makamba (Waziri na Naibu wake) walifanya kosa gani hadi kuwekwa pembeni?

    kosa gani alifanya huyu Byabato na Makamba mpaka wameishia kuwekwa Pembeni
  4. Gabeji

    JamiiForums Tanzania Short Amoti ameamua kumfuta kabisa mpinzani wake wa urais February. Je ataweza kutawala ?

    The man is very smart, na huyu ndo alikuwa tishio kubwa sana kwa short Amoti, kwa ssb anafiriki kwa kumtoa nje ya ulingo ndo atatawala kumbe amejipalia makaa ya moto usiozimika. Ladba ampe ubalozi huko nje mbali kabisa. "Ukioikoa nafsi Yako ndo umeiangamiza na ukiangamiza umeikoa". Mungu...
  5. Youbettersleep

    JamiiForums Tanzania Kamfukuza beki 3 kisa mumewe anamla, akajichanganya akaliwa na mtoto wake

    Mwanamke alihisi mmewe anatoka na house garl akamtorosha kimyakimya akalala kwa chumbani kwa hoise garl na kuchomoa taa usiku jamaa akaingia akamvua nguo akamla bao mbili wakalala hadi asubhi kulivyokucha akawasha taa ili amseme mmewe kwamba nimekufuma anacheki ni mwanae wa kiume🙄🙄🙄 KESI IKAWA...
  6. Choosen85

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uwongo wake umemponza

    Wakuu #noreformsnoelection Kuna mdada mmoja nilikutana naye maeneo ya kazini nikamuelewa nikarisha ndoano akatick baadaye sana nilikuja gundua ni mke wa mtu kwa maelezo yake mumewe hakai wilaya tuliyopo yupo wilaya nyingne kutoka hapa tulipo mpaka huko alipo ni masaa matatu. Alinambia bwana...
  7. Liverpool VPN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mabraza Mlioa Njoo NIWASANUE:- Hivi ndivyo mabraza wenzenu wavyowafanyia wake zenu huko Marathon..!!!

    INTRODUCTION. Haloo mpoooo .... Wotee tusemee watumishi wa umma msiwe mabwege wa kudanganywa na increament za 50k, MAMA HAFAI na HAFAI KABISAA. Vingapi ni haki zenu tena zipo kisheria na HAWAJATEKELEZA?? Kwanini watudanganye na kipande cha mti walichotupa wakati haki yetu ni saizi ya...
  8. Kant Ombe

    JamiiForums Tanzania Je Adam ni kaka au mdogo wake Yesu?

    “Adamu, mwana wa Mungu.” Luka 3:38
  9. U

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu naombeni sana mwenye Aya kamili ndani ya Quran ambapo Mungu amebainisha wazi wazi kuwa Mohamed ni Nabii wake wa mwisho

    Weka Aya usije na ubishi
  10. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haya ndiyo hutokea pale Mwanaume anaposhindwa kutekeleza wajibu wake ipasavyo

    Wewe jifanye hamnazo, kunywa mapombe yako hadi visunguraz kula hizo bangi na viroba vyake. Jitoe akili unavyoweza, zaa na kuzalisha, kimbia familia na kutelekeza watoto lakini ujue haya ndio huja kutokea baadae. Weka feminism system au endeleza masculinity but ikiwa Mwanaume atakosa kutimiza...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Katika ufugaji usije kufuga sungura,kanga,bata na kondoo.Sababu wateja wake ni wachache

    Kama unafuga kwa kitowewo sawa ila kama unafuga kwa biashara na kupa pole sana. Ni ngumu sana kupata wateja ukilinganisha mbuzi,kuku,ng’ombe na samaki. Embu tujuzane kwa nini
  12. chiembe

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari vinaweza kuwatumia watu wake wasio na vyeti kwa kuwaita kama analyst/wachambuzi chini ya muongoza kipindi mwenye ithibati

    Ukweli usemwe, watanzania wanapenda umbea na habari nyepesi, kuwa cut off watu wanaokata kiu hiyo ni kujifanya hatuijui jamii yetu, na pia habari hizo nyepesi (umbeya) zimesaidia ku-de-fuse jamii na pia kunyonya negative issues katika jamii kama godoro linavyonyonya maji. Pia sidhani kama jamii...
  13. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Ila pastor Nganga ni kama anaenjoy sana kuwachapa vibao washarika wake

    https://www.youtube.com/shorts/bod30mkvHJQ?feature=share
  14. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Simba SC Kwenye Mizani, Changamoto Zinazoathiri Ufanisi Wake Kwa Sasa

    Wakuu ==== Tujadili sababu zinzoikwamisha Simba kwa Miaka ya hivi karibuni, Mabadiliko ya mara kwa mara ya benchi la ufundi Usajili usio na tija Presha kutoka kwa mashabiki na mashindano ya kimataifa uongozi
  15. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Kinachonifanya niipende channel Ya NATGEO WILD ni wale wasimuliaji wake

    Kwa sisi ambao ni wapenzi wa kutazama documentaries hususani za Wanyama na investigation documentaries kwenye hii channel ya natgeo, ni wale wasimuliaji wake wa matukio.. nawakubali sana. Mmojawapo ni huyu mama kwa jina Amanda alexander. Ana sauti ya kipekee sana.
  16. Vamigo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke wa rafiki yangu ananitaka ili alipe kisasi Kwa mume wake

    Ndugu zangu Moja Kwa Moja kwenye mada, nina mshikaji tumeshibana ki mtindo Japo mm nina mapungufu na yeye pia anayo ila tumechagua kusonga kama washikaji. Umri wetu ni 28+. Mwamba alianza ku date na rafiki wamke wake ambaye ni jirani yake, kama mjuavyo mapenzi yalivo na nguvu ilikua ni ngumu...
  17. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Hatusemi rais ndio anateka na kuuwa lakini wanao uwawa na kutekwa na kusekwa gerezani ni wapinzani wake pekee

    Hatusemi rais ndio anateka na kuuwa lakini wanao uwawa na kutekwa na kusekwa gerezani ni wapinzani wake pekee. Nyongeza watu walio fanyiwa uhalifu ambao ni viongozi wa dini, watu walio fungiwa makanisa na kuvunjiwa makanisa ni wapinzani wa rais samia pekee. Kwahiyo lazima tujiulize kwanini ni...
  18. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kuna Timu safari hii imekosea (imechemka) sana katika Usajili wake na itakuja kupata Mafanikio kwa nguvu za Wabunge wenye Kuogopwa na TFF

    Sijaitaja sasa Wewe shoboka kuwa unaijua kwa kujifanya upo Akilini mwa GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE Malaika wa Kizanaki (Mara Tanzania), Kiyao (Mtwara Tanzania) na Kitutsi (Gisenyi Rwanda) sawa?
  19. M

    JamiiForums Tanzania Tume iko wapi kukibana CCM na mgombea wake ili kutengua uteuzi wake? Tume itende haki

    Moja ya mambo ambayo yakija kutokea huko mbeleni pengine kutokea machafuko nchini kwa kisababishi cha upendeleo wa kunyamazia mambo yanayotokea CCM na mambo hayo hayo hayanyamaziwi yanapotokea vyama pinzani Tunapozungumza leo, Chadema imesimamishwa mikutano, luzuku na hata kiongozi yoyote...
  20. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Tofauti na mdodoma ni mti gani mwingine mzuri kwa ajili ya kivuli, haupukutishi matawi lakini pia mzizi wake hausambai ila una penetrate chini?

    Tofauti na mdodoma ni mti gani mwingine mzuri kwa ajili ya kivuli, haupukutishi matawi lakini pia mzizi wake hausambai ila una penetrate chini? Karibu gardeners
Back
Top Bottom