Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa kuna watu wanaohoji sababu za yeye kutembelea mikoa mbalimbali nchini, akasisitiza kuwa jukumu hilo lipo wazi kikatiba.
Akihutubia wananchi wa Ikungi, Kata ya Puma, Mkoani Singida leo Januari 22, 2026, amesisitiza...