DAARUL MAARIFA DAY 2025
Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anawaalika Waislam wote kuhudhuria katika Maulid ya Daarul Maarif, itakayofanyika Viwanja vya Msikiti wa Mfalme Mohammad VI Bakwata Makao Makuu.
Mufti amewataka Mashekhe wote wa Mikoa, Wilaya, Kata...
Kisa cha Adam. Utangulizi 1
🧠 "Mbu" kama ufunguo wa Maarifa
Aya ya Qur'an ya Q2:26 haimtaji tu mbu kama kiumbe, bali inaunda mfano wa kipekee: kitu kidogo kinachoangaliwa na walioamini kama ishara ya haki, na na walio kufuru kama fumbo lenye kero. Hii ni changamoto ya kiakili—huwachuja wale...
Kichwa cha habari kinajotosheleza. Inakuwaje majini yanaswali na waislam kila swala lakini hawajitokezi kwenye sherehe za waislam au ni changa la macho?
Busara tuliyopewa na wazee wetu ni kutafakari zaidi yale yasiyosemwa kuliko yanayosemwa.
Haya yasiyosema yadikilizwe zaidi kama si kosa la jinai.
Kwani uongo unaporudiwa mara kwa mara huonekana ni Ukweli.
Tz kuna propaganda ya muda mrefu pale watu wanaobaguliwa kwa imani zao kuonekana ni...
Nimekuwa nikifuatilia na kusoma comments nyingi humu. Nimegundua kama kuna chuki au sijui ushindani au ujinga baina ya waislamu na wakristo.
Rejea matusi kama makobazi na wagalatia. Je tunaanza kuchukianana kugawanyika kwa dini bila kujua na kujijua? Je, kama taifa, hii inaonyesha nini?
Ajabu...
MwenyeziMungu NDIYE aliyeanzisha KWAYA KWA mara ya kwanza wakati wa Mfalme na Nabii Dawood.
Mwenyezi Mungu mwenyewe anapenda sana kuimba na muimbaji...
Sefania 3:17
BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia... Atakufurahia kwa kuimba.
KWa nini NDUGU zetu...
Naona mpambano unako elekea huu na vile kuna wajinga wapo huko juu na wana upofu wa maono tutatengeneza taifa la marais wa kidini maana kila upande naona unalia na shida zake.
Kuna kanisa leo kutwa nzima wanapiga kwaya tu tena kwa kutumia sauti za nje.
Wenyewe wapo majumbani lkn wameweka flush, licha ya leo.kuwa eid
Waislam watu wa amani sana, maana uvumulivu kwa dini nyengine haupo
Kuna kundi la wakristo wakisema waislam sio wapenda haki na kua wanatetea Samia, mara waseme tatiso ni elimu, hii yote ni kutokana na matamko ya BAKWATA, mkiendelea na utaratibu hii mtaifitinisha NO REFORMS NO ELECTION pakubwa sana.
Acheni kejeli kuniona nyie mmesoma na kuona wengine hawana...
Ndugu zangu
Ni muda mzuri wa viongozi wa dini zote kuwa Magwajima, wasambaze kirusi kwa waumini wote kwa kuwaambia ukweli kuhusu Dhuluma za CCM
Tukifanya hivi kwa mwezi mmoja tu, tunaindoa CCM katika uso wa Tanzania
Jumapili njema
Niliwahi kuishi upareni nikakuta ndani ya familia kuna wakristo na waislam wanaishi vizuri tu.
Nikaenda Zanzibar nikajiita Karim, nikapata wanawake wazuri sana, ila Walipogundua nina jina la kigalatiana walianza kunibagua japo kiuhalisia siendi msikitini wala kanisani
Jijini Dar es salaam...
Wakati wa mahakama ya kadhi
Swala la OIC wakati kuna Vatican hapa
Swala la masheikh na kesi. Wao wanataka waislam wawapigie kelele ktk harakati zao ?
Nimemsikia Lema leo akiwalaumu waislam hawatoi tamko ktk swala la no reform no election kwa sababu Rais muislam.
Swali lini CHADEMA imewapigia...
video inaonesha Islamic scholar ( mwanazuoni )mkubwa akikataza waislamu kujifunza logic and philosophy maana wakizijua wanauacha uislamu.
shehe anasema uislamu hauna mantiki, tazama video mwenyewe
shehe huyu ndie Imam wa msikiti mkuu Jeddah kwa zaidi ya miaka 20
Taifa letu linapitia nyakati ngumu za ugandamizaji wa haki, demokrasia na uhuru wa maoni.
Mambo haya hayakuanza ghafla bali yamekuwa yakizidi kuongezeka na kuota mizizi.
Leo mtu anayeikosoa Serikali au Rais, kutekwa, kupotezwa, kuuawa au hata kubambikiwa kesi mbaya, imekuwa ni jambo la...
Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza.
Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa.
Kinyume chake kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali...
habari wadau,
miaka ya 1980s mwishoni katika kata ya Yombo vituka iliyopo wilaya ya temeke vilipimwa viwanja vingi sana, ambavyo wananchi walipewa na kuuziwa na manispaa ya temeke.
katika viwanja hivyo waislamu walipewa eneo kubwa la kujenga shule.
Wakatoliki na wao walipewa eneo kubwa la...
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka nimegungua hilo.
Mchele au wali na ngano huwa vinatumika sana maeneo yenye Waislam wengi. Kwa Afrika, Kaskazini mwa Afrika mchele na Ngano huwa vinaliwa sana eneo hilo. Eneo la Kaskazini lina Waislam wengi. Ukija kusini mwa Equator kuna Wakristo wengi, Eneo...
Waafrika hao ndivyo walivyoelewa na siyo kwamba wao ndiyo wako sahihi kwa walivyoelewa hakuna Mwafrika mwenye akili aliye muislam au mkristo wote wanaoishi humo ni MATAHIRA kwani wanaishi kwa hofu ya moto kwa mambo ya kuhadithiwa na watu waliowatawala na wasiyokuwa na utu
Allah Akbar !!.
Jambo Moja ninalowakubali WAISLAM ni Imani na Misimamo mikali.
Quran tukufu inakata Uonevu na Dhuluma Kwa namna yoyote.
Kama Mzee Kibao alikua Kiongozi Mkubwa wa CHADEMA, na Muislam mwenzenu, vipi kuhusu Raia wa kawaida kabisaa ambaye ni Muislam na ni Mfuasi wa kawaida wa...
Mtume ﷺ alisema:
"Ole wake mtu anayesema uongo ili kuwachekesha watu. Ole wake! Ole wake!"
(Sunan Abu Dawood, 4990; Tirmidhi, 2315)
2. Mtume ﷺ alisema:
“Muumini anaweza kuwa na sifa yoyote ile, isipokuwa uongo na hiyana.”
(Musnad Ahmad, 5492)
3. Mtume ﷺ alisema:
“Hakika uongo hupelekea uovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.