waislam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania Nyerere: Tunapoongea kuhusu Tanzania na uhuru wake

    Inavyoonekana ni kwamba washirika wakubwa wa Mwalimu Nyerere katika harakati za kudai uhuru wa nchi hii walikuwa watu waliovaa balaghashia. Huenda hii ndiyo sababu ya Mwalimu Nyerere kuzoea kuvaa kofia aina hiyo muda mwingi. Pia haishangazi kuona Mwalimu Nyerere kuamua Kiswahili kiwe lugha ya...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Watanzania hamjagundua kua Marais Waislam wanakasumba ya Kurithisha Uongozi Watoto wao?.

    Wako wapi Watoto wa Hayati Baba wa TAIFA, Mwl JKN?. Wako wapi watoto wa Hayati Mkapa ? Mwanamapinduzi aliyechora ramani ya MapinduI ya kimaendeleo ya Taifa hili?. Wako wapi Watoto wa Hayati Magufuli, Jembe lililofanya yasowezekana yakawezekana?. Wako wapi??. Sasa pimeni hili, Tazameni...
  3. Hammer11

    JamiiForums Tanzania Waislam inafaa kuomba kwa lugha isiyokuwa kiarabu?

  4. U

    JamiiForums Tanzania Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuberi awaalika Waislam wote kuhudhuria Maulid ya Daarul Maarif, kwenye Viwanja vya Bakwata Makao Makuu

    DAARUL MAARIFA DAY 2025 Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anawaalika Waislam wote kuhudhuria katika Maulid ya Daarul Maarif, itakayofanyika Viwanja vya Msikiti wa Mfalme Mohammad VI Bakwata Makao Makuu. Mufti amewataka Mashekhe wote wa Mikoa, Wilaya, Kata...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Adam, tofauti kinavyotafsiriwa na Waislam na Wkristo

    Kisa cha Adam. Utangulizi 1 🧠 "Mbu" kama ufunguo wa Maarifa Aya ya Qur'an ya Q2:26 haimtaji tu mbu kama kiumbe, bali inaunda mfano wa kipekee: kitu kidogo kinachoangaliwa na walioamini kama ishara ya haki, na na walio kufuru kama fumbo lenye kero. Hii ni changamoto ya kiakili—huwachuja wale...
  6. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalamu wa dini, inakuwaje majini yanaswali na waislam kila swala lakini hawajitokezi kwenye sherehe za waislam au ni changa la macho?

    Kichwa cha habari kinajotosheleza. Inakuwaje majini yanaswali na waislam kila swala lakini hawajitokezi kwenye sherehe za waislam au ni changa la macho?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wito kwa Watanzania kumfata Sheikh wetu Ponda Issa Ponda kwa kukiunga mkono chama cha ACT wazalendo

    Busara tuliyopewa na wazee wetu ni kutafakari zaidi yale yasiyosemwa kuliko yanayosemwa. Haya yasiyosema yadikilizwe zaidi kama si kosa la jinai. Kwani uongo unaporudiwa mara kwa mara huonekana ni Ukweli. Tz kuna propaganda ya muda mrefu pale watu wanaobaguliwa kwa imani zao kuonekana ni...
  8. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Je ni chuki au ushindani baina ya waislam na Wakristo?

    Nimekuwa nikifuatilia na kusoma comments nyingi humu. Nimegundua kama kuna chuki au sijui ushindani au ujinga baina ya waislamu na wakristo. Rejea matusi kama makobazi na wagalatia. Je tunaanza kuchukianana kugawanyika kwa dini bila kujua na kujijua? Je, kama taifa, hii inaonyesha nini? Ajabu...
  9. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Waislam hawana KWAYA Misikitini?

    MwenyeziMungu NDIYE aliyeanzisha KWAYA KWA mara ya kwanza wakati wa Mfalme na Nabii Dawood. Mwenyezi Mungu mwenyewe anapenda sana kuimba na muimbaji... Sefania 3:17 BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia... Atakufurahia kwa kuimba. KWa nini NDUGU zetu...
  10. C

    JamiiForums Tanzania Serikali ikiendelea kuwa na wajinga wajinga huko juu,tutaingia kwenye hoja ya Rais wa waislam na rais wa wakristo

    Naona mpambano unako elekea huu na vile kuna wajinga wapo huko juu na wana upofu wa maono tutatengeneza taifa la marais wa kidini maana kila upande naona unalia na shida zake.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Haya ya kwa wasiokuwa waislam. Waislam watu wa amani sasa

    Kuna kanisa leo kutwa nzima wanapiga kwaya tu tena kwa kutumia sauti za nje. Wenyewe wapo majumbani lkn wameweka flush, licha ya leo.kuwa eid Waislam watu wa amani sana, maana uvumulivu kwa dini nyengine haupo
  12. sanalii

    JamiiForums Tanzania Malasusa hawakilishi wakristo wote, vilevile BAKWATA haiwakilishi waislam wote. Wakristo mnaoshambilia waislam acheni mara moja, mtaharibu NRNE

    Kuna kundi la wakristo wakisema waislam sio wapenda haki na kua wanatetea Samia, mara waseme tatiso ni elimu, hii yote ni kutokana na matamko ya BAKWATA, mkiendelea na utaratibu hii mtaifitinisha NO REFORMS NO ELECTION pakubwa sana. Acheni kejeli kuniona nyie mmesoma na kuona wengine hawana...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Gwajimanization: Ni muda sasa wa viongozi wote wa Dini, Wakristo na Waislam kuwa wajasiri bila kutetereka kusema ukweli kwa waumini wao kuhusu dhuluma

    Ndugu zangu Ni muda mzuri wa viongozi wa dini zote kuwa Magwajima, wasambaze kirusi kwa waumini wote kwa kuwaambia ukweli kuhusu Dhuluma za CCM Tukifanya hivi kwa mwezi mmoja tu, tunaindoa CCM katika uso wa Tanzania Jumapili njema
  14. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Waislam wenye asili ya Zanzibar huwaona wakristo makafiri na maadui tofauti na waislam wabara ambao huwaona wakristo ni wenzao

    Niliwahi kuishi upareni nikakuta ndani ya familia kuna wakristo na waislam wanaishi vizuri tu. Nikaenda Zanzibar nikajiita Karim, nikapata wanawake wazuri sana, ila Walipogundua nina jina la kigalatiana walianza kunibagua japo kiuhalisia siendi msikitini wala kanisani Jijini Dar es salaam...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA hawatoi matamko katika maswala ya Waislam?

    Wakati wa mahakama ya kadhi Swala la OIC wakati kuna Vatican hapa Swala la masheikh na kesi. Wao wanataka waislam wawapigie kelele ktk harakati zao ? Nimemsikia Lema leo akiwalaumu waislam hawatoi tamko ktk swala la no reform no election kwa sababu Rais muislam. Swali lini CHADEMA imewapigia...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Islamic scholar maarufu duniani Sheikh Assim Al-Hakeem amekataza waislam kusoma Logic (mantiki) and philosophy sababu zinasababisha wauache uislamu

    video inaonesha Islamic scholar ( mwanazuoni )mkubwa akikataza waislamu kujifunza logic and philosophy maana wakizijua wanauacha uislamu. shehe anasema uislamu hauna mantiki, tazama video mwenyewe shehe huyu ndie Imam wa msikiti mkuu Jeddah kwa zaidi ya miaka 20
  17. H

    JamiiForums Tanzania Tuwatambue Maadui Wa Haki wa Taifa Letu

    Taifa letu linapitia nyakati ngumu za ugandamizaji wa haki, demokrasia na uhuru wa maoni. Mambo haya hayakuanza ghafla bali yamekuwa yakizidi kuongezeka na kuota mizizi. Leo mtu anayeikosoa Serikali au Rais, kutekwa, kupotezwa, kuuawa au hata kubambikiwa kesi mbaya, imekuwa ni jambo la...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Waislam tumelogwa na nani?

    Utakuta muislam licha ya mvua kubwa kunyesha lkn utamkuta anaenda uwanjani kushabikia Simba ay Yanga ikicheza. Matokeo yake pesa zake zinapotea, anapata homa kutokana na mvua na pengine hio timu yake inafungwa. Kinyume chake kukaa dakika 5 kusikiliza mawaidha, kuingia msikitini kuswali...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Shule ya sekondari ya waislamu, Yombo Islamic imegeuzwa Yadi ya kupaki malori, Bakwata inafeli wapi? Wafadhili wa kujenga misikiti wasaidie shule pia

    habari wadau, miaka ya 1980s mwishoni katika kata ya Yombo vituka iliyopo wilaya ya temeke vilipimwa viwanja vingi sana, ambavyo wananchi walipewa na kuuziwa na manispaa ya temeke. katika viwanja hivyo waislamu walipewa eneo kubwa la kujenga shule. Wakatoliki na wao walipewa eneo kubwa la...
  20. Kavimbe jr

    JamiiForums Tanzania Ati ugali ni chakula wakristo na wali ni chakula cha waislam sio!

    Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka nimegungua hilo. Mchele au wali na ngano huwa vinatumika sana maeneo yenye Waislam wengi. Kwa Afrika, Kaskazini mwa Afrika mchele na Ngano huwa vinaliwa sana eneo hilo. Eneo la Kaskazini lina Waislam wengi. Ukija kusini mwa Equator kuna Wakristo wengi, Eneo...
Back
Top Bottom