passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,784
- 13,007
CCM haya yote yanayoendelea kama utekaji,mauaji nk ni kwa sababu wahuni wameteka chama chenu na serikali.Watanzania. wameshawawakataa ndo maana mnatumia nguvu nyingi mpaka kuua ili muwe madarakani.
Kama hamtaki chama chenu kuanguka watoeni hao wahuni madarakani na chamani msafishe kila kitu.
Nb.suala la serikali hii ya kihuni kuanguka ni suala la muda tu.
Kama hamtaki chama chenu kuanguka watoeni hao wahuni madarakani na chamani msafishe kila kitu.
Nb.suala la serikali hii ya kihuni kuanguka ni suala la muda tu.