Mtikisiko wa Corona :Serikali ya Uingereza kulipa mishahara wafanyakazi wa sekta binafsi ili kulinda ajira zao. Kwa kweli huu ni utu zaidi ya ujamaa wa Mwalimu Juliazi.
====
Has the national life of this country ever been transformed so completely and at such a speed? In the course of a week...
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema anatarajia kupeleka muswada binafsi bungeni, kutaka itungwe sheria ambayo itamka mwanamume ambaye ni mfanyakazi, kukatwa asilimia 40 kwa ajili ya mke wake ambaye ni mama wa nyumbani.
Makonda alisema hayo wakati wa kilele cha maadhimisho ya...
CCM ni chama ambacho kimejitanabaisha kuwa ni chama cha wakulima na wafanya kazi hata nembo yake ni jembe na nyundo.
Mimi nachelea kuwaongezea kuwa ni chama cha wafanyabiashara pia.
Swali langu ni, je kwa miaka minne iliyopita ni kada ipi imefaidi zaidi na ccm kati ya Wakulima, Wafanyakazi na...
Inasikitisha kuona kuwa Serikali inagawana sawa mshahara wa mfanyakazi, Yaani mfanyakazi anachukua nusu na Serikali nusu harafu bado mnatushauri tuisifu Serikali.
Rafiki yangu mpendwa,
Kama umekuwa mfuatiliaji wa mambo yanayoendelea duniani, hasa kwenye upande wa sayansi na teknolojia, utakuwa unapata taarifa mbalimbali kwenye eneo la kazi.
Taarifa kubwa na ambazo ni nyingi kwa sasa ni uwezo wa maroboti (Artificial Intelligence) kufanya kazi ambazo...
Kwanza nitangaze wazi kwamba Mimi ni Kiongizi Mwandamizi wa Chama cha wafanyakazi sekta ya Nishati na Madini (Sekta ya Uziduaji) Tanzania, kinaitwa kwa ufupi NUMET.
Pamoja na kwamba hatuhusiki sana na wafanyakazi wa sekta ya umma ambayo inalalamika sana kwasababu za kutoongezwa mishahara, na...
Nasikitika sana kuona serikali inatulazimisha kuwa maskini. Ni ngumu sana kwa mfanyakazi kuwa tajiri kwa kutegemea kuajiriwa.
NSSF wanapokea kiasi cha asilimia 20 (10 kwangu + 10 mwajiri) hapo hapo Serikali nayo wanakata kiasi cha asilimia zisizopungua 25 mpaka 30 ya mshahara wangu kama kodi...
Wanajamvi nawasalimu kwa jina la bwana.
Kwa muda toka mheshimiwa Kangi Lugola akutane na madhila ya kuvuliliwa uwaziri wa Mambo ya Ndani, wote tunajua kuwa Kangi alikuwa mtetezi wa waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda.
Makosa madogo madogo kama ya abiria kutovaa helmet na kupakia mshikaki...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru) mkoani Dodoma, inatarajia kuwafikisha mahakamani watumishi wawili wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kosa la kushawishi na kupokea rushwa ya Sh milioni moja.
Rushwa hiyo inadaiwa walichukua kutoka kwa mfanyabiashara wa jijini...
Wakuu kwema,
Jamani katika harakati za kulainisha vyuma nimefanikiwa kufungua baa ambayo ina jiko kwa ajili ya mdudu spesho.
Katika uendeshaji wa Baa hii changamoto kuu niipatayo ni wafanyakazi. Nakosa wafanyakazi serious ambao wana moyo wa kazi maana niliokuwa nao wengi ni wasumbufu na...
Wafanyakazi wanne wa kampuni ya uwindaji ya Green Miles iliyoondolewa katika kitalu cha Lake Natron(east) wilayani Longido wanashikiliwa na polisi kwa madai ya kukaidi agizo la Serikali kuondoka wa hiari katika kitalu hicho.
Wafanyakazi hao wamekamatwa na polisi leo Jumatano Januari 22, 2020...
Huu ni mwaka wa uchaguzi lakini pia tume ya taifa ya uchaguzi ipo katika zoezi la uboreshaji wa daftari la
Wapiga kura .Wakati zoezi hilo likiendelea vyama vya siasa vipo kimya na vyama vya wafanyakazi navyo vipo kimya.
Vyama vya wafanyakazi vinawajibu wa kuhamasisha wanachama wao...
"Marufuku kwa watumishi wa serikali kudai nyogeza ya Mshahara"
Anasema walioandamana kudai nyongeza ya Mshahara mei mosi walipaswa kuchapwa viboko.
Nini Maoni yako?
Punguzo la 1% (kutoka 15% hadi 14%) kwenye kodi ya mishahara (PAYE) ni dhihaka kwa wafanyakazi wa Tanzania kwani gharama za maisha ziko juu sana kufuatia mfumuko mkubwa wa bei. Ifike wakati sasa serikali iwaonee huruma wafanyakazi kwa kuwapunguzia mzigo wa kodi badala ya kufawafanyia mzaha kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.