wafanyabiashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Video, Bashe: Hii ndio hali ambayo wafanyabiashara wetu wako nayo baada ya Malawi kuzuia mazao kuingia nchini kwao

    Hii ndio hali ambayo wafanyabiashara wetu wako nayo baada ya Serikali ya Malawi kuzuia mazao kuingia nchini kwao. Kuvumilia hili kama Serikali inayohangaika na sekta ya kilimo ni ngumu. Nafahamu kumekua na maoni mbali mbali lakini naomba niendelee kusisitiza kuwa hadi Jumatano hii inayokuja...
  2. Wafanyabiashara mnafanyaje kudumu na wateja kwa muda mrefu bila kuletewa Mazoea ya kukopa?

    Yaani unakuta mteja mlianza vizuri biashara lakini kadiri siku zinavyokwenda anaanza kukuzoea mara achukue mzigo aseme hela baadae, mara kesho mara baada ya wiki hapo hajakwambia anakopa Ndo mwanzo wa kumpoteza maana taratibu anaanza kutolipa au kusumbua kulipa Nyie wenzangu mnafanyaje? Maana...
  3. L

    Asilimia 75 Ya Wafanyabiashara Wanatumia Njia Hizi Kupata Mitaji Ya Kampuni Zao

    Kusajili biashara ni suala moja, ku finance hio biashara ni suala lingine kabisa. Swali la muhimu hapa ni namna gani wafanya biashara hu finance biashara zao? Kwenye Thread hii nimekuorodheshea baadhi ya njia hizo; 1. Hisa Wafanyabiashara wanaofungus Kampuni LLC huuza hisa za Kampuni husika...
  4. Giza lazidi kutanda sakata la soko la mbuyuni, moshi manispaa,soko la bil. 2, baada ya wafanyabiashara kutakiwa kujigharamia vizimba kwa tsh 150,000/

    Hali ya Uchungu imerejea kwa wafanyabiashara wa soko la Mbuyuni ambao walipata hasara ya kuunguliwa na kupoteza mali zao zote katika ajali ya moto ulioteketeza soko zima la mbuyuni na kuwaacha wafanyabiashara kwenye madeni na vifo kwa baadhi ya wafanyabiashara hao. Katika janga hilo serikali...
  5. Wafanyabiashara, mnaendelea kutafuta pesa lakini mfumo unawagandamiza? Ukitulia leo, kesho biashara yako itateketea!

    Katika jamii zetu, kuna dhana potofu kwamba "siasa si yetu"—kwamba wale waliopo kwenye biashara au waliojiajiri hawaathiriki moja kwa moja na mwelekeo wa uongozi wa nchi. Wafanyabiashara wengi hujikita katika harakati za kutafuta kipato wakiamini kuwa siasa ni jambo la wanasiasa pekee, na hivyo...
  6. CHANGAMOTO ZA KIUHASIBU NA KODI KWA WAFANYABIASHARA WANAOFANYA BIASHARA KWA MTINDO WA KUAGIZISHA BIDHAA KUTOKA NJE YA NCHI

    Changamoto kubwa kwenye eneo la uhasibu na kodi kwa wanafanyabiashara wengi hasa wanaotumia mtindo kuagizisha mizigo mbalimbali kutoka nje ya nchi kwa kutumia Fedha za wateja kufanikisha au ku-facilitate biashara husika ,changamoto hizi hupelekea biashara au wafanyabiashara wengi wa mtindo tajwa...
  7. R

    Kwanini imezoeleka kuona mtu alietokea maisha yenye hali nzuri (wa kishua) wazazi wake ni waajiriwa, kwanini sio wazazi wafanyabiashara ?

    Kwanini imezoeleka kukadiria mu flani kama kwao wana maisha mazuri basi wazazi wameajiriwa, kwanini isiwe imezoeleka kukadiria wazazi ni wafanyabiashara ? Yusufu kwao wana maisha - mzee ni Engineer, Mama ni Muhasibu Abdallah kwao wa kishua - Baba mkurugenzi, Mama ni mhadhiri pale IFM Jacky...
  8. R

    Heri Mchina anaepunguza ukali wa maisha kuliko mzawa anaetupiga, usumbufu wenu unatufanya tuzidi kujaa kwao, Mchina haendi popote, HERE TO STAY !

    Acheni kujibanza kwenye kisingizio cha uzawa, wateja wanachotaka ni kupunguza ukali wa maisha. Tunachotaka kukiona ni ladha ya ushindani wa kibiashara, haiwezekani kitu ya tsh elf 5 unauziwa mpaka elf 30, mchina anakuja kuuza kwa bei rahisi mnaanza kulia Uzalendo, ni uzalendo gani huo wa...
  9. Anthony Mtaka: Watumishi wa Serikali mkianza kuingiza kipato nje ya mshahara, mtaheshimu Wafanyabiashara

    Mkuu wa mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka ameonya tabia ya watumishi wa umma wanaopanga ushuru mkubwa wakiwa wamekaa maofisini bila kujua shida wanayopata wawekezaji na kisha kumtaka kila mtumishi awekeze ama afanye biashara ili anapopanga ushuru ajue shida za walipa kodi kwa uhalisia . Mtaka...
  10. PreGE2025 Wafanyabiashara wa Makambako, tuna imani na serikali iendelee kushughulikia changamoto hususani sheria kandamizi

    Mwenyekiti wa wafanyabiashara mkoa wa Njombe na nyanda za juu kusini A Siphaeli Msigala amesema wao kama wafanyabiashara wanaipongeza serikali kwa kuweka mazingira rafiki katika kufanya biashara zao. Aidha Msigala, ameiomba serikali iendelee kushughulikia changamoto mbambali ambazo bado...
  11. S

    Serikali iwaache wachina wafanye biashara Kariakoo: watanzania wameibiwa na kudhulumiwa sana na wale wafanyabiashara wanaojiita wazawa

    Baba wa Taifa alituaambia kaburu siyo rangi, hata km we ni mweusi km tabia zako ni za kikaburu za kibaguzi we ni kaburu tu! Wafanyabiashara wale ni wezi, ni waongo, bei wanazouzia bidhaa ni za dhuluma, kwanini bei yao itofautiane sana na ya wachina. Wachina wale zile bidhaa kule kwao hawapewi...
  12. R

    Wafanyabiashara mnaolipa media kuwachafua wachina mnapoteza muda, Wateja tunawataka wachina

    Mnavyoona wateja wamewakimbia wanaenda kwa wachina wala hakuna ndumba bali ni bei zao zinavutia, Ili mpambane na wachina punguzeni tamaa ya ganji (faida) kubwa. Kila leo wachina wanazungumziwa kwenye vyombo vya habari, TUMESHAWASTUKIA !! acheni kuwalipa watangazaji kuwasagia kunguni wachina...
  13. PreGE2025 Mavunde: Achangia milioni 5 kwa ajili ya kununua miamvuli 100 kwa wafanyabiashara wa Majengo sokoni

    Mbunge wa Dodoma mjini na waziri wa Madini Mhe. Anthony amechangia kiasi cha pesa shilling milioni 5 za kitanzania kwa ajili ya kununua miamvuli 100 ambayo itawasaidia wafanyabiashara kutoka Majengo sokoni mkoani Dodoma kuepukana na changamoto ya jua sokoni hapo. Kupata matukio na taarifa zote...
  14. Madai ya Wafanyabiashara wa Kariakoo dhidi Ya Wachina ni ya kweli ?

    Muda huu nasikia kipindi cha Good Morning,kinacho rushwa na WSF na Kuna shutuma zinatolewa kwa Wachina kwamba wamekuwa chanzo Cha matatizo kadhaa hapa nchini. Wachina wanashutumiwa kusababisha uhaba wa dola,hawatoi risiti,hawana vibali vya Kazi,wanafanyakazi za wazawa nk Binafsi naomba kuuliza...
  15. Je, unatafuta ushauri wa biashara? Moms consulting iko tayari kukuhudumia

    Moms consulting, tunafurahi kuwahudumia na kuwakaribisha kwa huduma zetu za Uhasibu(Accountancy), Kodi(Tax), Ukaguzi(Audit), Uwezeshaji wa Biashara (Business facilitation), ufuataji wa sheria za Biashara(Business compliance), Kuanzisha Biashara na taasisi zisizo za kifaida (Business and Not for...
  16. PreGE2025 Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi asikiliza na kutatua kero kwa wafanyabiashara wa soko la Mbuyuni

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi, Mkoani Kilimanjaro Mwajuma Nasombe leo Machi 15, 2025 amewatembelea wafanyabiashara wa soko la Mbuyuni ili kusikiliza na kutatua kero zao. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  17. Jinsi ya kutafuta wateja, kwa freelancers, wafanyabiashara, agency owners, watoa huduma na biashara yoyote inayotegemea watu kuuza

    Jinsi ya kutafuta wateja, kwa freelancers, wafanyabiashara, agency owners, watoa huduma na biashara yoyote inayotegemea watu kuuza. Nitaeleze Jinsi ya 👉Kuwafikia / kukusanya watu wengi 👉Kubadirisha watu kuwa wateja 👉Kuwafanya wateja walete wenzao Tuanze na jinsi ya kuwafikia na kukusanya watu...
  18. Tabia ya kuwatishia matajiri na wafanyabiashara ijaanza leo wakiwa upande wa vyama pinzani

    Kama mnakumbuka:Hiki kisa cha Katika miaka ya 1990, kulikuwa na tukio ambapo serikali ya Tanzania ilimwaga shehena ya ngano na unga wa ngano wa mfanyabiashara maarufu, Said Salim Bakhresa, ikidai kuwa bidhaa hizo hazikukidhi viwango vya ubora vinavyohitajika kuingizwa nchini. Kutokana na hatua...
  19. Wafanyabiashara wekeni bei za bidhaa na huduma zenu kwenye matangazo yenu ya biashara

    Katika ulimwengu wa biashara wa kisasa, matangazo ya bidhaa na huduma ni moja ya njia bora za kuvutia wateja na kujitangaza. Hata hivyo, kuna mwelekeo mbaya unaozidi kuonekana miongoni mwa wajasiriamali na wamiliki wa biashara ambapo wanatangaza bidhaa na huduma zao, lakini hawaweki wazi kuhusu...
  20. Wafanyabiashara wa vyakula wa mkoa wa Mbeya faida wanazipataje?

    Niko mkoa wa mbeya hasa shughuli zangu zilizonileta nazifanyia mbeya mjini na Tukuyu. Hizi bei ndogo za vyakula wanazouza zimenifanya nijiulize hawa watu faida wnazipataje. Mfano Kande la mahindi mabichi na maharage wanauza sh 500,wakati dar mara ya mwisho kula kande niliuziwa 2,000/= Wali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…