wafa

Wafa (Arabic: وفا, "trust", acronym from its full name in Arabic: وكالة الأنباء الفلسطينية Wikalat al-Anba al-Filastinija transl. Palestine News Agency), also known as the Palestine News Agency and the Palestinian News & Info Agency, is the news agency of the Palestinian National Authority (PNA), and was "the P.L.O.'s news agency" in the years before the formation of the PA.Wafa provides daily news from Palestinian territories, Israel and the Middle East, and is available in English, Arabic, French and Hebrew, making it a major source of information over current events for those regions. Wafa, like PNA's other media outlets, are considered to be aligned with Fatah.Following a decision at the Palestinian National Council's special session in Cairo in April 1972, the Executive Committee of the Palestine Liberation Organization announced the establishment of Wafa in Beirut on June 5, 1972. The same year Radio Palestine was also founded. While initially Wafa focused on giving official statements, its work gradually expanded to include different types of news. It began issuing felasteen el-thawra (meaning "Palestinian revolution"), a weekly magazine headed by Ahmed Abdel-Rahman.During PLO's presence in Lebanon, Wafa was frequently quoted by foreign correspondents and news agencies. According to Kenneth R. Timmerman, writing for Commentary, Wafa was instrumental in shaping the Western narrative of the 1982 Lebanon War:
The information supplied by WAFA on the number of victims and their category - civilian or military - provided the basis for the dispatches leaving West Beirut, in the absence of other sources. The "Lebanese police" so often quoted in this context had ceased to function in West Beirut early in the siege. With deadlines to meet and under the risk of falling bombs, most journalists were content with what they got. This, then, was one source of the wild exaggeration in the figures of civilian dead reported throughout the war and especially during the siege of Beirut. ... First there was the press pass issued by WAFA with the bearer's photograph, a duplicate of which remained in WAFA's offices. Without this pass, no journalist could hope to circulate in West Beirut; caught photographing, or taking notes, he would be immediately arrested if not shot on sight.
Following PLO's ouster from Lebanon, Wafa resumed activities in Cyprus and Tunis in November, 1982.In 1994, PLO's institutions repatriated to the Palestinian territories as a consequence of the Oslo Accords. Palestine TV, Voice of Palestine, the daily Al-Hayat al-Jadida, and Wafa became the primary media channels for the newly established Palestinian National Authority. Wafa opened offices in Gaza City and Ramallah.
In April 2005, Mahmoud Abbas transferred PNA's media assets that were under the control of the presidency to the Ministry of Information under Nabil Shaath. At the same time, he merged the General Information Commission into Wafa. Hamas won the 2006 Palestinian legislative election and to preempt Hamas from asserting control of the media assets, Abbas transferred them back to the presidential office.In October 2005, Wafa re-launched its French service. The French service had previously operated in Tunisia until 1994.In September 2006, gunmen stormed Wafa's offices in Khan Younis and smashed equipment and beat up one reporter.In 2009, Wafa launched a Hebrew version of its website; the content of this service would focus on Arab citizens of Israel, many of whom identify as Palestinian. It also started mailing a daily newsletter to Israeli members of the Knesset and Hebrew media outlets.On December 10, 2018, Israeli soldiers raided Wafa's offices in Ramallah and fired tear gas into the building. The Palestinian Journalists' Union, the Palestinian foreign ministry, the Organisation of Islamic Cooperation, the International Federation of JournalistsIn 2019, Wafa won the Federation of Arab News Agencies's award for best report.

View More On Wikipedia.org
  1. MK254

    Mabomu yarindima kwenye masoko ya walalahoi Somalia, 10 wafa

    Vigumu sana kuwaelewa hawa, yaani hata kuwa na ujirani nao ni hatari sana. Wote dini moja, kabila moja, lugha moja lakini wanauana kiholela, sasa mabomu unalipua kwenye masoko ya walalhoi ukilenga nini haswa. =========== Several blasts at a popular open-air market in Somalia's capital...
  2. tutafikatu

    Wafa Sultan: Hakuna Mgongano wa Ustaarabu bali Mgongano kati ya Mawazo ya Zama za Kati na ile ya Karne ya 21

    Zifuatazo ni sehemu za mahojiano na mtaalamu wa magonjwa ya akili Mwarabu na Marekani Wafa Sultan. Mahojiano hayo yalirushwa hewani na Al-Jazeera TV mnamo Februari 21, 2006 . Wafa Sultan: Mgongano tunaoshuhudia duniani kote sio mgongano wa dini, au mgongano wa ustaarabu. Ni mgongano kati ya vitu...
  3. JanguKamaJangu

    Ethiopia: Watu 176 wafa kwa njaa kali

    Watu 176 wamekufa katika Jimbo la Tigray kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame, kati yao Wanaume ni 101 na Wanawake 75. Takriban watu 45,000 katika Wilaya ya Emba Sieneti wanakabiliwa na njaa kali, iliyozidishwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka miwili. Aidha, kuna...
  4. O

    Bibi harusi mtarajiwa, mama yake wafa ajalini wakielekea Kilimanjaro kwenye maandilizi ya harusi yake

    Bibi harusi mtarajiwa, Rehema Chao (37) na mama yake mzazi, Agness Chao (75) wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Raum kugonga lori. Ajali hiyo iliyotokea baada ya Rehema aliyekuwa dereva wa gari hilo kukwepa shimo na kugongana na lori, pia imesababisha kifo cha...
  5. JanguKamaJangu

    Ugiriki: Watu 79 wafa majini baada ya meli kuzama

    Tofauti na idadi hiyo ya waliofariki, watu wengine zaidi ya 100 wameokolewa katika tkio hilo baada ya meli yao ya uvuvi kuzama katika Pwani ya Kusini mwa Ugiriki. Watu walionusurika wamedai kuwa abiria wengi katika meli hiyo walikuwa wahamiaji na hakukuwa na mtu aliyevaa jaketi za kuokoa...
  6. BARD AI

    Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83

    UPDATE: Miili zaidi imefukuliwa katika Makaburi yanayohusishwa na 'ibada ya njaa', na kufanya jumla ya vifo kufikia 83, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka - Polisi wamekuwa wakizunguka msitu wa #Shakahola kwa takriban Siku 4 baada ya kupokea taarifa kuhusu dhehebu linaloongozwa na...
  7. Chizi Maarifa

    Zaidi ya watu 80 wafa wakikanyagana kugombea msaada wa Eid nchini Yemen

    Hatari sana habari imesomwa kutoka UHAI Tv. Inasikitisha hawa ndugu zetu 80 kutolewa kafara baada ya mfungo. Wamekufa wakikanyagana kugombea misaada ya Eid.
  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    TANZIA Mwenge Kijijini ina majonzi makubwa, wawili wafa ndani ya saa 24

    Hiki ni kisa cha kuhuzunisha, Mwenge Kijijini jijini Dar inalia, misiba ya watu wawili marafiki John Simba na Patrick a.k.a Masu a.k.a Masumbuko marafiki chanda na Pete. Issue iko hivi, washikaji wote wawili walikuwa wakiumwa, John Simba alikuwa mgonjwa zaidi, na Masu alikuwa akiumwa pia ila...
  9. MK254

    Mbunge na mtalii kutokea Urusi wafa kwenye hoteli moja ndani ya wiki moja India

    Alitangulia kufa mtalii wa Urusi wiki iliyopita, naye mbunge ameaga dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa la tatu humo kwenye hotelini India, jameni Warusi waombewe maana wanakufa sana popote walipo, waswa matajiri.... Indian police investigate death of Russian MP The politician who was visiting...
  10. BARD AI

    Wanafunzi 8 wafariki kwa Ebola Uganda, Serikali kuzifunga shule zote

    Baraza la Mawaziri limeridhia Shule kufungwa Novemba 25, 2022 ikiwa ni baada ya wanafunzi 23 kupata maambukizi ya Ugonjwa huo. Mke wa Rais Museveni ambaye pia ni Waziri wa Elimu amesema hatua hiyo itapunguza mikusanyiko ya watoto kukutana na wenzao, walimu na wafanyakazi wengine wanaoweza...
  11. 900 Itapendeza zaidi

    Mke, mume wafa kwenye ajali iliyoua sita Kiteto

    Ajali hiyo imetokea eneo la Pori namba moja Kata ya Partimbo wilayani Kiteto Mkoani Manyara baada ya gari la wagonjwa kugongana uso kwa uso na gari dogo. Watumishi sita wa Serikali, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wakiwamo mke na mume, wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya...
  12. BARD AI

    Tabora: Diwani na mkewe wafariki kwa ajali

    Diwani wa Kata ya Kalola Wilayani Uyui (Tabora ), Sauji Daud na mkewe, Magdalena Richard wamefariki dunia katika ajali ya gari usiku wa kuamkia leo Jumanne Oktoba 25, 2022. Akizungumza na Mwananchi leo, Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya hiyo, Said Ntahondi amesema, diwani huyo na mkewe...
  13. JanguKamaJangu

    Nigeria: Watu 76 wafa maji baada ya mashua kuzama

    Maafa hayo yametokea katika Jimbo la Anambra katika boti iliyokuwa imebeba watu 85 kutoka Onukwu kuelekea Nkwo Ogbakuba. Watu hao walikuwa wanahama kutokana na ongezeko la maji maeneo yao yanayotokana na mafuriko ambayo pia inadaiwa yamechangia watu wengine watatu hawajulikani walipo katika...
  14. MK254

    Afghanistan: Maafisa wawili wa Urusi wafa kwa shambulio la bomu ubalozini

    Vigumu sana kuelewa haya maugomvi, Urusi amekua akisifiwa na wavaa kobaz tangu alipovamia Ukraine, ila leo naona wanajitoa mhanga kwa kujilipua kwenye ubalozi wake. ISIL claims responsibility The ISIL (ISIS) group claimed responsibility for the attack late on Monday. An ISIL fighter “blew up...
  15. Lady Whistledown

    Zaidi ya Tai 100 wafa kwa kudaiwa kula mzoga wenye sumu Afrika Kusini

    Walinzi waliokuwa kwenye doria katika Hifadhi ya Wanyamapori ya Kruger, wameripoti kugundua mzoga wa nyati, ambaye alionekana kuwekewa sumu, baada ya hapo walikuta Tai 100 na Fisi mmoja waliokufa kwa kuhisiwa kula mzoga huo Tai wengine 20 waligunduliwa katika eneo la tukio wakiwa katika hali...
  16. Boss la DP World

    MTWARA: Basi la Shule ya King David lapata ajali, watu 10 Wamefariki na wengine 19 Wakijeruhiwa baada ya gari 'kufeli breki'

    Kuna taarifa kuwa basi la Shule ya King David iliyoko Manispaa ya Mtwara Mikindani limepata ajali mbaya iliyopelekea vifo vya wanafunzi na dereva wa basi hilo aliyetambulika kwa jina moja Hassan anayekadiriwa kuwa na umri wa mika (54-60) Miili imehifadhiwa katika hospitali ya rufaa ya Ligula na...
  17. JanguKamaJangu

    Askari wawili JWTZ wafa ajalini, wanne wajeruhiwa

    Askari wawili wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wa kikosi cha 825 KJ kambi ya Mtabila iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wamepakia kuacha njia na kupinduka. Kaimua Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Menrad Sindano...
  18. Analogia Malenga

    Sri Lanka yatangaza anguko la uchumi, watu wafa kwenye foleni za kusubiri mafuta

    Waziri Mkuu wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe ametangaza kuanguka kwa uchumi wa nchi yake kulikosababisha na bei ya mafuta, umeme na uhaba wa chakula. Colombo ambao ni mji mkuu wan chi hiyo umeshuhudiwa kuwa na misururu ya watu wakitaka kupata mafuta. Ambapo hadi sasa watu 11 wameripotiwa kufa...
  19. 3ZOV

    Karibia Wagner Mercenaries 250-300 wafa jana

    Jeshi la ukraine jana limefanya shambulio baya sana kwenye mji wa luhansk na kuua wagner mercenaries 250-300 Huku akibakia mmoja tu ambae amechukua video hii huku akilia video yao kabla hawajakula kichapo kizito
  20. Analogia Malenga

    #COVID19 Vifo vya Covid-19 vyafikia milioni 6 duniani kote

    Idadi rasmi ya watu waliokufa kutokana na COVID-19 inakaribia kuzidi watu milioni sita, wakati ambapo janga hilo linaloingia mwaka wake wa tatu, likiwa bado halijaisha. Takwimu zilizotolewa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins, zinaeleza kuwa hadi Jumatatu watu 5,999,158 wamekufa kutokana na virusi...
Back
Top Bottom