Hakika kinachoendelea Syria kinatisha, Waarabu wameendelea kutokujua adui yao namba moja ni nani! Ili washughulike nae bado hawajajiuliza vyema na kujibu swali hili ipaswavyo. Je ni Iran, je ni Urusi! Je ni misimamo Yao ya kidini au ni Marekani na washirika wao ikiwemo Israel?
Ni ajabu...