Leo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Ndugu Luhaga Mpina, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Fatma Fereji, watazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam, kuanzia saa 4:00 Asubuhi.
#LindaKura
#MuhuniHasusiwi...