vunja

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JITU BANDIA

    Vunja ukuta wa shikamoo! Uingie kwenye dunia yake kimkakati!

    Ili uweze kufanikiwa, hizi hapa ni mbinu za kitaalamu /Kimkakati na za kisaikolojia poti. 1. Vunja Ukuta wa "Shikamoo" Hili ni tatizo la kwanza kwa vijana wengi wa hapo Dar!. ... Ukimpa "Shikamoo" Mumama kila saa,.... anakuona kama mwanaye au mpwa wake, na hapo hisia za kimapenzi kwako...
  2. M

    PostGE2025 Balozi Nchimbi vunja ukimya, Taifa linaelekea pabaya

    Balozi Emmanuel John Nchimbi, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nakuandikia ujumbe huu nikikuomba kwa heshima na unyenyekevu mkubwa uvunje ukimya ulisaidie taifa. Nchi yetu inaelekea kubaya kumeibuka wimbi kubwa la matamko yanayolenga kuwagombanisha wakristo na Serikali...
  3. M

    Mstaafu Philip Mpango vunja ukimya, kwa nini ulitaka kujiuzuru alafu ukalazimishwa alafu ukatii

    Tupe ukweli maana hii kitu nimeikuta inajadiliwa pahala. Kuwa ulipima mzani ukaona hawa jamaa sio wa kufanya nao kazi. Yaani CCM hii. Kwa nini uliacha kujiuzuru na ukaensldele na hawa watu? Ili hali inasemekana ulishawajua kuwa hafawai!
  4. Dalali wa Mjini

    Vunja Jenga Ghorofa

    Nyumba inauzwa Magomeni kagera opposite kituo cha mafuta cha oilcom. Title Deed Smq 400 Milion 450 Hakuna mgogoro wowote. 0754693556 nipigie simu ukihitaji kuiona.
  5. N'yadikwa

    Vunja Private ICDs zote Dar, ili Bandari kavu ya Kwala ifanye kazi

    Vinginevyo ni story.
  6. Mshana Jr

    Kama unatoka katika familia ya walevi, usimamishe wewe huo mzunguko usiendelee kwenye kizazi kijacho

    Kama unatoka katika familia ya walevi, usimamishe wewe huo mzunguko. Usiache ulevi uendelee kwenye kizazi chako kijacho. Kama unatoka katika familia ya watu ambao hawamalizi masomo, hakuna anayehitimu shule ama chuo kikuu; katisha huo mzunguko na ujiendeleze hadi hatua za juu kabisa, thibitisha...
  7. B

    Pichani: Halima Vunja bei alivyoshinda kwa K.O

    HALIMA VUNJABE Bondia wa ngumi za kulipwa nchini Halima Ramadhan Vunjabei ameshinda pambano lake kwa Knock Out ya raundi ya tatu dhidi ya bondia Songul Ayten lililiofanyika usiku wa novemba 23, 2024 mjini Munich nchini Ujerumani. Halima Vunjabei anakuwa bondia wa kwanza mwanamke kushinda kwa...
  8. DELETED ACCOUNT

    Mo Dewji vunja benki, tafuta striker wa maana umalize kazi uliyoianza

    Leo sitasema sana maana yanayotakiwa kusemwa nimeshayasema kwa siku kadhaa sasa zilizopita. Baada ya hongera nitaongeza neno moja tu kwa Mwekezaji Mo Dewji. Baada ya usajili mzuri ambao kiukweli unaridhisha sana na kabisa unaona watu wa maana wanaojua mpira walikaa chini wakapanga kujenga timu...
  9. Makirita Amani

    Vunja Imani Hizi Potofu Sita (6) Kama Unataka Kujenga Utajiri Mkubwa Kwenye Maisha Yako.

    Rafiki yangu mpendwa, Kila mtu aliye hai, ambaye ana shughuli yoyote ya kumwingizia kipato, anao uwezo wa kujenga utajiri kwenye maisha yake. Ndiyo, nimesema kila mtu, hata wewe unayesoma hapa, bila ya kujali unaanzia wapi, uwezo wa kujenga utajiri tayari unao. Kama unashangaa huo uwezo uko...
  10. Pdidy

    TAKUKURU chunguzeni barabara ya Bonyokwa, Tanroads mnaandika vunja mita 3.4 halafu baadae mnaandika mita 11. Kuna nini kinaendelea?

    Nipo lodge moja ya Kyauke hapa naona maajabu ya dunia. Kuna zoezi la bomoa bomoa nahisi wanatengeneza barabara. Kuna nyumba baada ya lodge ya Kyauke njia ya kwenda Bonyokwa imeandikwa mita 3.4 ina ukuta wa kijani. Mpaka sasa hajavunja, alichofanya aliita Tanroads wakapima tena ghafla...
  11. Dr Matola PhD

    Leo Daktari naongea na vijana, ukipata mwenza wa dini/imani tofauti na yako vunja hayo mahusiano mapema

    Penzi ni kikohozi, tunaandika kama mzaha lakini madhara yake ni makubwa sana. Hii inawahusu zaidi wavulana kwa sababu wao ndio wenye maamuzi ya kuoa. Ewe kijana sikiliza kwa makini ukimpata mwenza wa kuishi na kujenga naye familia hakikisha ni wa imani yako na kama ni imani tofauti basi hakuna...
  12. Jumlisha

    Waganga wa kienyeji walivyovunja undugu kwenye ukoo wetu

    Habarini wana JF natumaini tumeanza mwaka vyema kabisa Bila kupoteza wakatai nataka niwaletee hiki kisa ambacho tumeishi nacho tukiwa wadogo mpaka hivi sasa tumekuwa tunazidi kueelewa ilikuwaje maana wakati wadogo tulikuwa hatuambiwi chochote. Iko hivi familia ya mzee wangu walizaliwa watoto...
  13. Trubarg

    Joto la sasa la Dar linaweza vunja rekodi

    Habari wadau. Joto la Dar sasa hivi linarange kati ya 33 • C hadi 35•C lakini unapata feeling ya 41•C kutokana na humidity. Kwa kweli hali hii ni mbaya sana ambayo kama huna air condition iwe kwenye usafiri au nyumbani kwako kwako maisha yatakuwa ya taabu sana. Tips muhimu za kuishi maisha...
  14. Dr Matola PhD

    Leo tupeane uzoefu wako, unajua nini kuhusu huyu kiumbe vunja jungu? (Mantis) je ni kweli ana super natural kama wazungu wanavyoamini?

    Ndugu wana nzengo amani iwe kwenu. Leo kuna jambo naomba tushirikishane uzoefu limeniumiza kichwa muda mrefu sana. Katika maisha yangu nimebahatika kuishi na wazungu kwa ukaribu sana kiasi kwamba nilipaswa kujuwa ukweli wa ninachokiuliza lakini wazungu ni wagumu kufunguwa codes, ukiwauliza...
  15. William Mshumbusi

    Kumbe vunja Bei kapigwa kitu kizito mno. Nimeona igenda amevaa jezi mpya ya Simba ikiwa na nembo ya VB akijitambulisha lkn inazibwazibwa

    Nimemuona huyo jamaa mkenya uko Simba app akiongea kavaa Uzi mpya juu ya nembo ya mo xtrer Kuna nembo ya VB inapaushwa kwenye video editing ili isisomeke. Kweli VB alifanya kosa kubwa kutoweka nembo za mo kwenye Uzi wa Simba wa kimataifa hata msahau Muhamedi Kamwe.
  16. GENTAMYCINE

    Simba SC bado mnaendelea na 'Upuuz'i wenu ule ule. Sandaland na Vunja Bei ni wana Yanga SC tupu

    Sisi Watu wa Mpira na Watu wa kuyajua mengi ya ndani na yaliyojificha tunajua kuwa Mdhamini wa Jezi Vunja Bei hakuwa mwana Simba SC na hata huyu Mdhamini mpya wa Jezi Sandaland nas pia siyo mwana Simba SC (japo analazimisha aaminike hivyo) ila nae ni mwana Yanga SC mzuri tu. Kuna Mambo ya ndani...
  17. Kipenzi Changu

    Vunja Bei anaunga-unga, Simba msimpe mkataba

    Nimefanya tafiti yangu nimejiridhisha Fred Ngajiro na kampuni yake ya Vunja Bei hawana uwezo wa kutengeneza na kusambaza jezi za klabu kubwa kama Simba Sc Vunja Bei amekuwa mtu wa kuunga-unga kama kawaida ya kampuni nyingi za wazawa. Bahati mbaya zaidi amejidhihirisha hivyo wakati wote wa muda...
  18. Beesmom

    Mtakuja vunja miguu nyie

    Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti Kimanga mpaka Kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio? Jaman! Yaan wadada tumekuwa na vigimbi vya miguu wachezaji mpira wakasome! Tuvae raba bas au simple...
  19. tawakkul

    Rais Samia vunja mifumo hii utusaidie wananchi wa maisha ya chini Morogoro hasa wilayani Kilosa, tunaonewa

    Habari wakuu JF! Iko hivi; Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu atakayepinga kuwa katika awamu ya sita kumefanyika ujenzi wa shule, hospitali, zahanati, vituo vya afya miundombinu ya hali ya juu kuliko awamu zote. Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu atakayekataa kuwa awamu ya sita imeleta...
  20. 666 chata

    Namna mshikaji wangu anavyoishi ukweni kwa furaha na amani tele

    Sio mpenzi wa jf na hafagilii mitandao mitandao hii so hakuna noma. Mwamba huyu alikutana na demu wa kishua yaan kishua haswa, mwana ni un employee kwa sasa, kama ujuavyo mjini maisha ni gharama na mapenzi ni gharama haswa, sasa hakujua kama huyu binti ni wakishua yaan mama baba tajiri ni zali...
Back
Top Bottom