Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema:
“Marekani itachukua ‘vumbi’ lote la nyuklia (nuclear dust) lililozalishwa na mabomu yetu makubwa ya B-2,” akirejelea hifadhi ya Iran ya kilo 400 za uranium iliyosafishwa kwa kiwango cha juu.
Aliongeza kuwa:
“Hakutakuwa na malipo yoyote ya fedha kwa...