Mh. Rais wetu shikamoo Mama.
Nimejaribu kuingia twitter au X kukutetea dhidi ya hawa wanao comment no Reforms No Election lakini nimeshindwa sababu imefungiwa Tanzania.
Nina dhamira ya kwenda kupambana na hao Kenge, Wapuuzi na Walevi.
Ombi langu kwako Mama nisaidie kupata VPN unayotumia nami...