volkswagen

Volkswagen (German: [ˈfɔlksˌvaːɡn̩] (listen); English: ), shortened to VW (German: [faʊ̯ ˈveː] (listen)), is a German automaker founded in 1937 by the German Labour Front, a Nazi labour union, and headquartered in Wolfsburg. It is the flagship marque of the Volkswagen Group, the largest automaker by worldwide sales in 2016 and 2017. The group's biggest market is in China, which delivers 40% of its sales and profits.Volkswagen translates to "people's car" in German. The company's current international advertising slogan is just "Volkswagen", referencing the name's meaning.

View More On Wikipedia.org
  1. darautobroker

    Car4Sale VOLKSWAGEN TOUAREG YA DIESEL IKO SOKONI

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 26.8M Call📞+255 747 999 927 VOLKSWAGEN TOUAREG(EAM) Year: 2009 Engine: 2,967Cc Mileage: 113,000+ Fuel Used: DIESEL Transmission: AUTO ✨Fog Lights ✨Sport Rims ✨Leather Seats ✅Clean Interior ✅Well-Maintained ✅Swap Deals Allowed
  2. darautobroker

    Car4Sale VW GOLF GTI a.k.a Fast Jet IKO KWA SOKO

    Bei/Price🏷️👉🏽TSH 34M Call📞+255 747 999 927 VOLKSWAGEN GOLF GTI MK6 Year: 2011 Engine: 2.0L Low Mileage Fuel Used: PETROL Transmission: AUTO ✨ECU Tuned ✨Paddle Shifters ✨DSG Transmission ✅100% Duty Paid ✅Free Registration ✅Exchange Possible
  3. darautobroker

    Car4Sale VW Tiguan “ya kufungwa" for sale

    Bei/Price TSH 19.5M Call +255 747 999 927 VOLKSWAGEN TIGUAN Year: 2011 Engine: 1,980Cc Mileage: 113,000+ Transmission: AUTO Fog Lights Rear Spoiler Alloy Wheels Clean Interior In Good Condition Exchange Possible
  4. D

    VOLKSWAGEN TIGUAN CC 1390 YEAR 2015 INAUZWA

    Gari ni yangu mwenyewe na haihitaji service yoyote kwa sasa pia ina Parking Assist, Day time running light Millage 62,300km CC 1390 New tyres Bei 32m Ipo Dodoma 0715140001
  5. M

    Volkswagen Touareg 2014

    Reference Number:24254132357 Make:VOLKSWAGEN Model:TOUAREG Body Type:SUV Year of Manufacture:2014 Country:GERMANY Fuel Type:DIESEL Engine Capacity:2501 CC & above Price 65M
  6. Saba_Spare supplies

    Ijue Premio ya Kijerumani, Volkswagen Passat 1.4 L TSI

    Habari wadau! Leo ningependa tuzungumze kusuhusu hii mashine ya kijerumani brand ya Volkswagen iitwayo Passat 1.4L TSI. So ningependa ku summarize kidogo baadhi ya mambo. Ni gari aina ya saloon au sedan yenye Turbo charge petrol engine inayokutumia mafuta 16-18 L/km, tanki la mafuta ni litre...
  7. X

    Volkswagen yafikiria kufunga viwanda vyake nchini Ujerumani, moja ya sababu ni ushindani kutoka China

    Volkswagen inafikiria iwapo itafunga viwanda nchini Ujerumani kwa mara ya kwanza katika historia yake ya miaka 87 huku ikielekea kuongeza upunguzaji wa gharama huku kukiwa na ushindani unaoongezeka kutoka kwa watengenezaji magari ya umeme nchini China. –London (CNN) Mapema wiki hii CNN...
  8. RIC WA KISHETI

    Gearbox ya Volkswagen Polo 2008 ABA-9NBUD inahitajika

    Wasalaam waungwana. Kwa unyenyekevu mkubwa sana, ninapenda kuwasilisha ombi langu rasmi la kuhitaji msaada wa kupata Gear box ya Volkswagen Polo 2008 ABA-9NBUD Namba ya Gearbox ni: V W AC AW5 096 321 107 AL SI 9CU JK Nipo Dar es Saalam. Ninahitaji kwa ajili ya kuinunua. Natanguliza shukrani
  9. M

    Ushauri wa kununua Volkswagen Golf ya diesel

    Nataka kununua Volkswagen Golf ya diesel (2.0 TDI GT DSG) ya mwaka 2007 ya Uingereza. Naombaeni ushauri kwa ambaye ana ujuzi wa gari hizi haswa kwenye upande wa maintanance na changamoto zake kama imezidi 120K miles. Je ni reliable na nnaweza nikawa nnasafiri nayo masafa marefu?
  10. fenisher

    Service Parts For European Cars: BMW, Land Lover, Porsche, Volkswagen, And Audi at Molas Solution

    MOLAS Autohub ni duka la rejareja la ndani ambalo huhudumia jamii ya karibu kuhusu vipuri na pia kutoa huduma za kuagiza mtandaoni. Tuna utaalam wa kuuza Sehemu za Magari za Uropa kuanzia Mwili, Injini, Kusimamishwa, Mfumo wa Mafuta, Mfumo wa Radiator, Breki na Vichungi n.k. Hivi ni vya Genuine...
  11. S

    Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

    Habari wakuu, Utamshauri mtu anunue gari ipi kati ya gari hizo mbili kwa kuzingatia vigezo vya mazingira ya miundombinu ya barabara zetu, hali ya kiuchumi (kipato cha kati) na upatikanaji wa mafundi wa kueleweka na vipuri. Subaru forester Volkswagen tiguan
  12. Sky Eclat

    Unafahamu kuwa Volkswagen walitengeneza technology ya kujitengenezea kahawa ndani ya gari?

    Sababu kubwa ni kuwa magari hayakua na heating system. Ukisikia baridi ndani ya gari ukiweza kutengeneza kikombe cha kahawa ili kuongeza joto la mwili. Hii technology ilikufa walipoweza kuweka heater kwenye magari.
  13. franktemu123

    Volkswagen Golf - Mkombozi wa Wanyonge!

    Ngumbaru na Wazalendo wenzangu hii ndo gari ya kumilik Kama Una hela ya mawazo Kama Mimi. Bei nafuu, mafuta inanusa na Spea bwerere.
  14. Shujaa Mwendazake

    Picha: Rais Samia akiwa kwenye kiwanda cha Volkswagen nchini Rwanda

    Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa na mwenyeji wake Rais wa Rwanda Paul Kagame, baada ya kumaliza ziara ya kutembelea kiwanda cha kisasa cha magari ya Volkswagen kilichopo Kigali Special Economic Zone chenye uwezo wa kutengeneza magari aina 6 tofauti.
  15. M

    Msaada wa hii show ya Volkswagen polo

    Naitaka hii show alikuenayo plz anicheki ni ya Volkswagen polo batan zote zinafanya kazi issue tu show imevunjika njoo inbox fasta kama kuna muuza speak aje. Anaijua Bei yake.
  16. Extrovert

    Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

    Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this...
  17. JF Member

    2008 Volkswagen Tiguan Track and field

    Wadau naitaka hii gari. Mimi ni mpenzi wa SUV.. Yaani gari zingine huwa sitaki kusikia kabisa. Wenye uzoefu na hii gari. Mnisaidie maswali yafuatayo. 1. Upatikanaji ya Spare zake hapa bongo. 2. Uimara wake hasa kwenye njia za makorongo.
  18. T

    Kati ya Volkswagen Touareg na Harrier macho ya panzi ipi gari nzuri hapa?

    Habari wakuu. Nataka kununua gari, naomba mawazo ya uzoefu kati ya Harrier macho ya panzi na Vokswagen Touareg ni ipi nzuri ya kuchukua. Sina uzoefu wowote wa magari ya Volkswagen. Natanguliza shukrani.
  19. kidadari

    Naomba ufafanuzi wa gari aina ya Volkswagen Polo

    Haka kagari VW Polo 2007 nimekakubali sana sana kwanza cc 1300, millage 34k/km speed 220km/h pia kodi yake TRA(TRA CALCULATOR) ipo chini around 5m Naombeni ushauri hukusu changamoto za hii gari kabla sijaivuta.
Back
Top Bottom