volkswagen

Volkswagen (German: [ˈfɔlksˌvaːɡn̩] (listen); English: ), shortened to VW (German: [faʊ̯ ˈveː] (listen)), is a German automaker founded in 1937 by the German Labour Front, a Nazi labour union, and headquartered in Wolfsburg. It is the flagship marque of the Volkswagen Group, the largest automaker by worldwide sales in 2016 and 2017. The group's biggest market is in China, which delivers 40% of its sales and profits.Volkswagen translates to "people's car" in German. The company's current international advertising slogan is just "Volkswagen", referencing the name's meaning.

View More On Wikipedia.org
  1. Kilahunja

    Msaada wa volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel

    volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo. 1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km). 2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake. 3...
  2. kayanda01

    Mnaomiliki na kutumia Volkswagen 'chuma ya mjerumani' ni gereji zipi mnafanyia service & repair? Popote pale nchini

    Kwa kuzingatia viwango vya safety, stability, comfortability, inaonekana wazi kabisa kuwa watu wengi wanatamani sana kumiliki magari ya Ulaya. Lakini wanaogopa kuyamiliki kwasababu kuu tatu: - Uhaba wa mafundi/garage for European cars. - Uhaba wa spea (kupata spea ni shida, sometimes...
  3. Huntsman

    Agiza spea za Magari ya Ulaya aina zote hapa kwa bei nafuu

    habari wakuu? Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu. Bei ni nafuu na spea ni Original Kwa sababu ya changamoto ya mtaji hatuna stock bali tunaagiza moja kwa moja Ulaya kwa...
  4. nentewene

    Naombeni ushauri hapa ipi nichukue kati ya volkswagen up na passo?

    Habari wakuu, nilikua napenda kuchukua hii german car , volkswagen up ya 2012- coz ina cc ndogo(1000) pia nimependa muonekano. wasiwasi sijawahi ziona bongo kwahiyo sinahakika kama mafundi wako vizuri kweny hivi vigari. Naomba ushauri wenu au nipambane na Passo tu?
Back
Top Bottom