Volkswagen (German: [ˈfɔlksˌvaːɡn̩] (listen); English: ), shortened to VW (German: [faʊ̯ ˈveː] (listen)), is a German automaker founded in 1937 by the German Labour Front, a Nazi labour union, and headquartered in Wolfsburg. It is the flagship marque of the Volkswagen Group, the largest automaker by worldwide sales in 2016 and 2017. The group's biggest market is in China, which delivers 40% of its sales and profits.Volkswagen translates to "people's car" in German. The company's current international advertising slogan is just "Volkswagen", referencing the name's meaning.
volkswagen touareg 3.0 td1 v6 diesel
Wakuu poleni na majukumu, nataka kununua hii gari hivyo naomba ushauri wenu kwenye haya mambo.
1. Matumizi ya mafuta(inatumia lita ngap kwa km).
2. Upatikanaji wa vifaa vyake vya kufanyia service ( diesel filter na oil filter ) ikiwezekana na bei yake.
3...
Kwa kuzingatia viwango vya safety, stability, comfortability, inaonekana wazi kabisa kuwa watu wengi wanatamani sana kumiliki magari ya Ulaya. Lakini wanaogopa kuyamiliki kwasababu kuu tatu:
- Uhaba wa mafundi/garage for European cars.
- Uhaba wa spea (kupata spea ni shida, sometimes...
habari wakuu?
Ninajihusisha na uagizaji wa Spea za magari ya Ulaya... Kwa muhitaji yeyote anaweza kuni PM au akacomment hapa nitakusanya request kisha nitareply kwa Bei zetu.
Bei ni nafuu na spea ni Original
Kwa sababu ya changamoto ya mtaji hatuna stock bali tunaagiza moja kwa moja Ulaya kwa...
Habari wakuu, nilikua napenda kuchukua hii german car , volkswagen up ya 2012- coz ina cc ndogo(1000) pia nimependa muonekano. wasiwasi sijawahi ziona bongo kwahiyo sinahakika kama mafundi wako vizuri kweny hivi vigari.
Naomba ushauri wenu au nipambane na Passo tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.