vituko

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Daisy Llilies

    JamiiForums Tanzania Vituko ulivyokutana navyo kibaruani

    Mimi ni muuguzi, kuna siku tulipokea mgonjwa, mwanaume wa miaka 67 ameletwa hospitali na polisi baada ya kumkuta akitembea barabarani akiwa amevaa boxer tu. Aliletwa wodini baada ya assessment ya Accident Department kubaini anahitaji Neurology assessments. Kawaida tukipokea mgonjwa saa yoyote...
  2. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Mikasa ya kweli (kufurahisha na kukera)

    Niaje Wadau wa JamiiForums 1. Jamaa akiwa na demu wake wakiwa wameshikana mikono, mara ikapita njemba nyingine paap kuangalia demu ya jamaa imeshona tako balaaa, si jamaa kaona mwenzake anafaidi, basi akajongea akamminya yule demu wa jamaa tako. Jamaa akakubaliana na matokeo mana njemba...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Vituko vya wasomi kwenye mtandao: Unajiita CPA Mwakipesile, je ni sahihi?

    Habari wadau, Nimeona watu wengi kwenye mtandao wanapenda onesha status zao za elimu. Je, ni sahihi au? Maana najua mitandao inaleta dili nyingi za biashara na mengineyo. Je, kujiweka status yako ya elimu kama una masters, PhD, CSP, CPA, Engineer ni sahihi hasa instagram? Maana nimeona mdau...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

    Mada ya Mfahamu James Ngomero: Bingwa mtuhumiwa wa zile maiti 11 za watoto hospitali ya Mwananyamala imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa... Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwa wanaJF Dar wengi ni wakazi wa Mwananyamala/Kinondoni...
Back
Top Bottom