Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,802
- 20,762
Niaje Wadau wa JamiiForums
1. Jamaa akiwa na demu wake wakiwa wameshikana mikono, mara ikapita njemba nyingine paap kuangalia demu ya jamaa imeshona tako balaaa, si jamaa kaona mwenzake anafaidi, basi akajongea akamminya yule demu wa jamaa tako.
Jamaa akakubaliana na matokeo mana njemba ilikuwa imevimba miraba minne, demu akasuburi jamaa amtemee njema hata mate ila jamaa akauchuna kama hajaona.
Aisee demu eti kwa hasira akamuita njemba amsubirie akamminye vizuri tako. Jamaa kabaki analia tu, anamwambia demu wake si vizuri kugombana na machizi barabarani.
Swali la kizushi:
Wanaume: Ukiwa uko na demu wako au mke wako, au dada yako afu njemba imepita paap imemminya tako mbele yako, Utafanya nini? Ukiwa mwananume akapita njema badala ya kushika demu akushike tako, utamfanyaje?
Wanawake: Kama wewe mwanamke uko na bwana wako, au kaka yako au mumeo afu ikatokea mwanamke akamshika tako mbele yako. Utafanya nini?
Binafsi: Nikiwa na demu njemba ikapita ikamshika tako mbele yangu, aisee mie sirushi ngumi, niitamfata njema na kumshika tako na yeye.
2. Jamaa yuko na demu wake coco beach, wakiwa wanazura zurura pande za ufukweni, mara wakakutana na beach boys. Basi wakati demu anapita zile njemba zikaanza kuzungumza mara huyu demu hana maajabu, mara demu mweusi kama giza; mara demu si kahamaki na kuanza kurushiana maneno na zile beach boys.
Akaanza kupayuka, "oh mkiendelea kuzungumza bwana angu atawadunda".
Beach boys wakamka, jamaa kuona mabaharia wengi akamkana yule demu akawaambia mabaharia beach boys "mie nimekutana nae beach simjui huyu demu kama anazingua mzingueni tu.
Jamaa akaamsha na demu kwa hasira akaamsha, baadae anamuomba demu msamaha eti kosa la demu ni kugombana na wahuni afu amsakazie kesi yeye.
Swali la kizushi: Ikiwa wewe uko na mwenza afu achokozane na watu kisa upo nae, ungefanyaje?
3: Kuna jamaa kila siku anatoka na mademu waliokuwa na umri mkubwa, sasa watu kitaa wakawa hawamuelewi mana nyendo zake angewafukuzia hata mama zao; baadae machizi wakamuuliza vipiiii mbona unafukuzia mademu vikongwe wakati wadogo chuchu saa sita wengi wa kutosha tu kitaa.
Jamaa akajibu "mimi sina nguvu za kukaza mademu wadogo zimekwisha nina nguvu za kusukuma mavi tu, ndo mana natoka na vikongwe". Ingekuwa wewe jamaa ungemjibu nini?
4. Kuna kapicha hapo chini kinauliza: Mke wako au demu wako na hicho kindama, nani mzuri zaidi?
5. Dogo akiwa amevua shati anataka kwenda kuoga, mara paap anakutana na dingi yake mlangoni; dingi akamwangalia kifuani huku anacheka akamwambia "kwa hivi vichuchu kifuani mwako, akijisahau akilala kwenye banda la nguruwe, vitoto vya nguruwe vitagombea kumnyonya vichuchu wakizani ni mama yao". Ikiwa ni wewe dingi utamfanyaje?
Tupenane visa na mikasa ya kweli (kufurahisha na kukera) ambayo ilishawahi kutokea au inaweza kukumta mtu na kumtia mtu hasira za kumshawishi kutoa uhai kabisa.
1. Jamaa akiwa na demu wake wakiwa wameshikana mikono, mara ikapita njemba nyingine paap kuangalia demu ya jamaa imeshona tako balaaa, si jamaa kaona mwenzake anafaidi, basi akajongea akamminya yule demu wa jamaa tako.
Jamaa akakubaliana na matokeo mana njemba ilikuwa imevimba miraba minne, demu akasuburi jamaa amtemee njema hata mate ila jamaa akauchuna kama hajaona.
Aisee demu eti kwa hasira akamuita njemba amsubirie akamminye vizuri tako. Jamaa kabaki analia tu, anamwambia demu wake si vizuri kugombana na machizi barabarani.
Swali la kizushi:
Wanaume: Ukiwa uko na demu wako au mke wako, au dada yako afu njemba imepita paap imemminya tako mbele yako, Utafanya nini? Ukiwa mwananume akapita njema badala ya kushika demu akushike tako, utamfanyaje?
Wanawake: Kama wewe mwanamke uko na bwana wako, au kaka yako au mumeo afu ikatokea mwanamke akamshika tako mbele yako. Utafanya nini?
Binafsi: Nikiwa na demu njemba ikapita ikamshika tako mbele yangu, aisee mie sirushi ngumi, niitamfata njema na kumshika tako na yeye.
2. Jamaa yuko na demu wake coco beach, wakiwa wanazura zurura pande za ufukweni, mara wakakutana na beach boys. Basi wakati demu anapita zile njemba zikaanza kuzungumza mara huyu demu hana maajabu, mara demu mweusi kama giza; mara demu si kahamaki na kuanza kurushiana maneno na zile beach boys.
Akaanza kupayuka, "oh mkiendelea kuzungumza bwana angu atawadunda".
Beach boys wakamka, jamaa kuona mabaharia wengi akamkana yule demu akawaambia mabaharia beach boys "mie nimekutana nae beach simjui huyu demu kama anazingua mzingueni tu.
Jamaa akaamsha na demu kwa hasira akaamsha, baadae anamuomba demu msamaha eti kosa la demu ni kugombana na wahuni afu amsakazie kesi yeye.
Swali la kizushi: Ikiwa wewe uko na mwenza afu achokozane na watu kisa upo nae, ungefanyaje?
3: Kuna jamaa kila siku anatoka na mademu waliokuwa na umri mkubwa, sasa watu kitaa wakawa hawamuelewi mana nyendo zake angewafukuzia hata mama zao; baadae machizi wakamuuliza vipiiii mbona unafukuzia mademu vikongwe wakati wadogo chuchu saa sita wengi wa kutosha tu kitaa.
Jamaa akajibu "mimi sina nguvu za kukaza mademu wadogo zimekwisha nina nguvu za kusukuma mavi tu, ndo mana natoka na vikongwe". Ingekuwa wewe jamaa ungemjibu nini?
4. Kuna kapicha hapo chini kinauliza: Mke wako au demu wako na hicho kindama, nani mzuri zaidi?
5. Dogo akiwa amevua shati anataka kwenda kuoga, mara paap anakutana na dingi yake mlangoni; dingi akamwangalia kifuani huku anacheka akamwambia "kwa hivi vichuchu kifuani mwako, akijisahau akilala kwenye banda la nguruwe, vitoto vya nguruwe vitagombea kumnyonya vichuchu wakizani ni mama yao". Ikiwa ni wewe dingi utamfanyaje?
Tupenane visa na mikasa ya kweli (kufurahisha na kukera) ambayo ilishawahi kutokea au inaweza kukumta mtu na kumtia mtu hasira za kumshawishi kutoa uhai kabisa.