viti

Viti Levu (pronounced [ˈβitʃi ˈleβu]) is the largest island in the Republic of Fiji. It is the site of the nation's capital, Suva, and home to a large majority of Fiji's population.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    GE2025 Afrika ukifanyika uchaguzi wa uhuru ni Marais wachache watabaki kwenye viti vyao kina Ibrahim Traoré wa Burkina Faso na Hichilema wa Zambia

    Hali ya demokrasia imekuwa ni mbaya kupitiliza kila kukicha Viongozi sio chaguo la wananchi na wanafanya kila namna kuhodhi madaraka kwa dola na yeyote anaekuwa tishio kwenye nafasi zao hushughulikiwa
  2. B

    Tunatengeneza viti vya pallets kwa biashara km cafe, pub, restaurants,,

    maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu tukupendezeshee biashara yako.. 0692477610
  3. B

    Tunatengeneza viti vya pallets kwa biashara km cafe, pub, restaurants..

    maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu tukupendezeshee biashara yako.. 0692477610
  4. B

    Tunatengeneza viti vya pallets kwa biashara km cafe, pub, na restaurants

    maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula.. nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana.. Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz. Karibu tukupendezeshee biashara yako.. 0692477610
  5. N

    Dawa gani nzuri ya kusafisha viti ndani ya gari

    ni dawa ipi nzuri naweza kuipata madukani ya kusafishia viti ndani ya gari
  6. kalisheshe

    Siasa za Tanzania; Mchezo wa Viti, Nguvu na Hila Kama Tamthilia ya Game of Thrones

    Katika siasa za Tanzania, tumeona mwendelezo wa mapambano ya mamlaka yanayofanana na tamthiliya maarufu ya Game of Thrones. Ingawa hatuna mapanga na mizinga ya kale, tuna hila, mikakati ya kisiasa, mapambano ya madaraka, na mapatano ya siri yasiyoeleweka kwa wananchi wa kawaida. Kama ilivyo...
  7. Blasio Kachuchu

    Vodacom na Stanbic Benki wametoa msaada wa kijamii kwa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, ukiwemo wa viti mwendo, Simiyu.

    Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Ziwa, Straton Mchau (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya Stanbic Tanzania Tawi la Mwanza Geoffrey Makondo wakikabidhi moja ya viti Mwendo 4 kwa Afisa elimu maalum - Halmashauri ya mji wa Bariadi Rutherford Magayane (kulia) na...
  8. K

    Viti vipya vinauzwa

    Viti ni vipya kabisa vipo kwenye boksi vinauzwa, vipo vinne Kila kimoja 280000. Mahali Kariakoo Dar Es Salaam Mawasiliano 0784427363.
  9. mcTobby

    Je walio kwenye Viti vya Mamlaka wana furaha? Na je wanakuwa na wivu au husuda kwa sisi raia wa kawaida?

    Hili swali nimewahi jiuliza sana .sasa leo nimeona nipate ku share na wadau humu. Kilichonisukuma mpaka kujiuliza hili swali ni nyakati za hafla za kijamii au za kimichezo zinapowakutanisha viongozi na wananchi wa kawaida. Ipo hivi mimi huwa ni good observer na ku pay attention kila jambo...
  10. Yoda

    Zitto acha kudharaulisha upinzani, wapinzani sio wa kulenga kupata viti 30, 40 au 50 vya ubunge.

    Huyo mtu yuko serious kweli na mabadiliko? Yani baada ya miaka 35 ya siasa za vyama vingi anawaambia wapinzani walenge kupata chini ya 18% ya viti vya ubunge zama hizi!
  11. W

    GE2025 Mshiu autaka ubunge wa Viti Maalum vijana

    Mjumbe wa baraza la Umoja wa Vijana wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam @dorcasmshiu amechukua fomu ya ubunge wa Viti Maalumu kundi la Vijana kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akieleza kuakisi nyanja ya sayansi na teknolojia, kusaidia vijana kupata fursa mbalimbali na kufikisha hoja za...
  12. jannelle

    Bunge linamalizika, je Samani huwa zinabadilishwa, naona fursa ya Viti vile😌

    Mwenzenu nawaza fursa tu, si unajua pesa ya kutegemea mbaya.. haya tuachane na hiyo😊 Bunge hiloo linaenda zake, je huwa wanautaratibu wa kutoa zile Samani zake? Maana ni almost 5 years nadhani wanatumia, kama wanauza tupeni network jamani tukapambanie, hata pcs 100 tu. Kwanza tunapunguza nuksi...
  13. R

    Majira yametimia ambapo viongozi watakataa viti vyao…

    Salaam! Ule mwisho uliotarajiwa, unakuja kwa njia ngumu sana na ya kutisha. Ni majira yameruhusiwa kutokea duniani Ili kuwakusanya watu pande kuu mbili. Na pande hizi ni pande mbili za kiimani, SI kidini. Yameruhusiwa majira ya vita, ufunguo wa vita hii ulianza 2020 Corona iliporuhusiwa...
  14. chiembe

    Mnaokarabati uwanja wa Benjamin Mkapa, msisahau kuu-pimp kwa kuuwekea urembo/decorations, bustani za nje, viti vya V. i. P viwe leather. Pitch vipi?

    Nadhani watu wamechoka kuona zege tu pale kwa Mkapa. Tutafute namna ya kuufanya uwanja uonekane tofauti. Wataalamu walio decorate Amahoro Stadium ya Rwanda wapo, nje inakuwa na mfumo wa kupendeza. Pia VIP viti viwe leather. Tusibadili viti tu. N. B. Media house ziombe tour ndani ya uwanja...
  15. The ice breaker

    Nahitaji viti vya plastic

    Wapi naweza kupata viti vya plastic kwa bei ya jumla.. either kutoka kwa supplier au manufacturer. Nataka kwa ajili ya kufanya biashara ya kukodisha vitu, kwenye shughuli mbali mbali.
  16. Small letter

    CHAUMMA hata ikipata viti viwili maalum vya Ubunge vitakuwa vya Mke wa Mwalimu na Kigaila akina mama wengine pambaneni Kwa tahadhari

    Yale ya COVID 19 kule CHADEMA ni ngumu kutokujirudia huko CHAUMMA, Wanawake mnakwenda CHAUMMA Kwa malengo ya viti maalum fanyeni hivyo Kwa tahadhari Sehemu sahihi ni CCM tu.
  17. JOSEPHAT_07

    Biashara ya kukodisha viti na maturubai

    Habari Samahani kwa mwenye uzoefu na biashara hii naomba anipe maelezo kuhusu biashara hii 1.Garama ya viti (kuvinunua pamoja na kukodisha) 2.Garama ya turubai (kuvinunua pamoja na kukodisha) 3.Jinsi ya kuendesha na kuitangaza
  18. Uhuru24

    Bodi na viti vyake vya toyota hilux vinauzwa

    Toyota Hilux pick up na viti vyake vinauzwa
  19. Mr Why

    Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)

    Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats) Tafadhali BRT rejeleeni muongozo wa waundaji wa basi zenu. Muongozo unasema abiria waketi katika seats na sio kusimama, vile vile eneo la milango na korido...
  20. F

    PreGE2025 Jesca Magufuli anajipanga kugombea ubunge viti maalumu Geita au jimbo la Chato?

    Huyu binti nadhani amehojiwa kimkakati na Milard Ayo. Lengo nadhani ni kuvuma kuelekea uchaguzi Mkuu na hatimaye kutia nia kwenye ubunge. Je ni viti maalumu mkoa wa Geita au mkoa mwingine? Je ni jimboni Chato?
Back
Top Bottom