Viti Levu (pronounced [ˈβitʃi ˈleβu]) is the largest island in the Republic of Fiji. It is the site of the nation's capital, Suva, and home to a large majority of Fiji's population.
Hali ya demokrasia imekuwa ni mbaya kupitiliza kila kukicha
Viongozi sio chaguo la wananchi na wanafanya kila namna kuhodhi madaraka kwa dola na yeyote anaekuwa tishio kwenye nafasi zao hushughulikiwa
maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula..
nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana..
Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz.
Karibu tukupendezeshee biashara yako..
0692477610
maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula..
nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana..
Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz.
Karibu tukupendezeshee biashara yako..
0692477610
maboss zangu wale wenye pub,grosar, cafe, migahawa ya chakula..
nipeni oda niwatengenezee viti imara na vyenye muonekano mzur sana..
Nipo dar mbagala ila ad mikoani tunaenda kufanya kaz.
Karibu tukupendezeshee biashara yako..
0692477610
Katika siasa za Tanzania, tumeona mwendelezo wa mapambano ya mamlaka yanayofanana na tamthiliya maarufu ya Game of Thrones. Ingawa hatuna mapanga na mizinga ya kale, tuna hila, mikakati ya kisiasa, mapambano ya madaraka, na mapatano ya siri yasiyoeleweka kwa wananchi wa kawaida.
Kama ilivyo...
Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Ziwa, Straton Mchau (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya Stanbic Tanzania Tawi la Mwanza Geoffrey Makondo wakikabidhi moja ya viti Mwendo 4 kwa Afisa elimu maalum - Halmashauri ya mji wa Bariadi Rutherford Magayane (kulia) na...
Hili swali nimewahi jiuliza sana .sasa leo nimeona nipate ku share na wadau humu. Kilichonisukuma mpaka kujiuliza hili swali ni nyakati za hafla za kijamii au za kimichezo zinapowakutanisha viongozi na wananchi wa kawaida.
Ipo hivi mimi huwa ni good observer na ku pay attention kila jambo...
Huyo mtu yuko serious kweli na mabadiliko? Yani baada ya miaka 35 ya siasa za vyama vingi anawaambia wapinzani walenge kupata chini ya 18% ya viti vya ubunge zama hizi!
Mjumbe wa baraza la Umoja wa Vijana wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam @dorcasmshiu amechukua fomu ya ubunge wa Viti Maalumu kundi la Vijana kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akieleza kuakisi nyanja ya sayansi na teknolojia, kusaidia vijana kupata fursa mbalimbali na kufikisha hoja za...
Mwenzenu nawaza fursa tu, si unajua pesa ya kutegemea mbaya..
haya tuachane na hiyo😊
Bunge hiloo linaenda zake, je huwa wanautaratibu wa kutoa zile Samani zake? Maana ni almost 5 years nadhani wanatumia, kama wanauza tupeni network jamani tukapambanie, hata pcs 100 tu.
Kwanza tunapunguza nuksi...
Salaam!
Ule mwisho uliotarajiwa, unakuja kwa njia ngumu sana na ya kutisha.
Ni majira yameruhusiwa kutokea duniani Ili kuwakusanya watu pande kuu mbili.
Na pande hizi ni pande mbili za kiimani, SI kidini. Yameruhusiwa majira ya vita, ufunguo wa vita hii ulianza 2020 Corona iliporuhusiwa...
Nadhani watu wamechoka kuona zege tu pale kwa Mkapa. Tutafute namna ya kuufanya uwanja uonekane tofauti. Wataalamu walio decorate Amahoro Stadium ya Rwanda wapo, nje inakuwa na mfumo wa kupendeza.
Pia VIP viti viwe leather. Tusibadili viti tu.
N. B.
Media house ziombe tour ndani ya uwanja...
Wapi naweza kupata viti vya plastic kwa bei ya jumla.. either kutoka kwa supplier au manufacturer.
Nataka kwa ajili ya kufanya biashara ya kukodisha vitu, kwenye shughuli mbali mbali.
Yale ya COVID 19 kule CHADEMA ni ngumu kutokujirudia huko CHAUMMA,
Wanawake mnakwenda CHAUMMA Kwa malengo ya viti maalum fanyeni hivyo Kwa tahadhari
Sehemu sahihi ni CCM tu.
Habari
Samahani kwa mwenye uzoefu na biashara hii naomba anipe maelezo kuhusu biashara hii
1.Garama ya viti (kuvinunua pamoja na kukodisha)
2.Garama ya turubai (kuvinunua pamoja na kukodisha)
3.Jinsi ya kuendesha na kuitangaza
Kwenu BRT, sababu ya kampuni yenu kushuka viwango ni tabia ya kupakia idadi kubwa ya abiria inayozidi nafasi za viti vya kukalia (seats)
Tafadhali BRT rejeleeni muongozo wa waundaji wa basi zenu. Muongozo unasema abiria waketi katika seats na sio kusimama, vile vile eneo la milango na korido...
Huyu binti nadhani amehojiwa kimkakati na Milard Ayo. Lengo nadhani ni kuvuma kuelekea uchaguzi Mkuu na hatimaye kutia nia kwenye ubunge.
Je ni viti maalumu mkoa wa Geita au mkoa mwingine? Je ni jimboni Chato?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.