vikwazo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. profesawaaganojipya

    JamiiForums Tanzania Vikwazo kwa Urusi vinaumiza Ulaya-Waziri wa Italia

    Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani wa Italy, amesema vikwazo dhidi ya Urusi havina maana, maana Urusi haiathiriki pakubwa kulinganisha na walioiwekea vikwazo(Ulaya).
  2. Suzy Elias

    JamiiForums Tanzania Kwa hali inavyoendelea ni vigumu mno kwa Ujerumani kuendelea kuiwekea vikwazo Urusi

    Ujerumani ndiyo itakuwa nchi ya kwanza kuomba poo kwa Urusi kwa namna hali ya mfumuko wa bei unavyo hatarisha uchumi wa nchi yao. Kwa mfano kuanzia leo mabango yote ya matangazo yatawashwa mwisho saa nne za usiku huku gharama za nishati ya gesi na mafuta zikipanda maradufu hali inayopelekea...
  3. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Sensa kumalizika leo, vikwazo tele mikoani

    Wakati kazi ya sensa ikitarajiwa kumalizika leo, baadhi ya viongozi wameendelea kueleza changamoto katika kufanikisha kazi hiyo. Changamoto hizo ni wizi wa vishikwambi, kukosekana mtandao kwenye baadhi ya maeneo, kuisha kwa chaji za vishikwambi na baadhi ya watu kuchelewesha kazi hiyo kwa...
  4. Gama

    JamiiForums Tanzania Vikwazo vyafanya maisha ya Warusi kuzidi kuwa magumu

    Maisha ya raia wa Urusi yamezidi kuwa magumu kufuatia Taifa hilo kuingia vitani na jirani yake Ukrain. Hali hii imefanya mataifa mbalimbali kuiwekea vikwazo kadhaa ikiwemo baadi ya raia kuziwa kusafiri na hivyo kudumaza biashara na upatikanaji wa boidhaa. Yasemekana raia wamebaki kimya kwakuwa...
  5. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Rais wa Liberia awasimamisha Kazi maafisa 3 wa Serikali baada ya Kuwekewa Vikwazo na Marekani kwa ufisadi

    Rais George Weah amewasimamisha kazi maafisa watatu baada ya serikali ya Marekani kutangaza kuwawekea vikwazo kwa madai ya Rushwa na Ufisadi wa mali za Umma Maafisa hao ni pamoja na Nathaniel McGill, Waziri wa nchi na Mkuu wa wafanyakazi wa Rais, anashutumiwa kwa kutishia wapinzani wa kisiasa...
  6. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania China yawawekea vikwazo Maafisa 7 wa Taiwan

    China imewawekea vikwazo maafisa hao ikiwemo marufuku ya kuingia China na maeneo ya Hong Kong na Macau, na kuzuiwa kufanya kazi na maafisa wa China, kwa madai ya kuunga mkono uhuru wa kisiwa hicho kinachojitawala. Maafisa saba wanaolengwa na vikwazo hivyo ni pamoja na Bi-khim Hsiao, mwakilishi...
  7. dubu

    JamiiForums Tanzania Marekani kuiwekea Vikwazo mirambo Kampuni ya Rostam Aziz?

    Salaam Wakuu, Inadaiwa kuwa, kampuni ya Rostam Aziz, LPG/C Mirambo, ilinunua Gesi kutoka Iran na kuleta Tanzania wakati ambapo Marekani imeiwekea Vikwazo vya Gesi ya LPG Nchi ya Iran. Inadaiwa Kampuni ya Mirambo imeingiza gesi hiyo kutoka Iran na kuingiza Zanzibar. Hivyo Benki za Tanzania...
  8. MK254

    JamiiForums Tanzania Museveni aiomba Marekani itafute namna ya kuisaidia Afrika kutokana na vikwazo vyake dhidi ya Urusi

    Aomba Marekani itafute namna ya kuitenganisha Afrika na vikwazo vyake kwenye ugomvi ambao hauhusu Afrika..... Shukrani Museveni kwa kutusemea, jameni mafuta yamepanda bei Afrika kisa ubabe wa Mrusi kutaka kuonea kainchi kadogo jirani yake japo kamempa shida sana.............. “The problem here...
  9. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Licha ya vikwazo kadhaa, hatimaye nimefanikiwa kuianza ile safari. Asanteni kwa sala zenu zimesaidia ila bado zinahitajika sana! Mungu nisaidie

    Wanabodi, Ukiwa na jambo lako, ukaomba msaada wa usaidizi kwa public ili usaidiwe, the public ulioomba msaada ika respond positive, ukasaidiwa kwa michango ya hali na mali, baadhi yetu ni huwa wanyenyekevu wakati wa kuomba tuu, lakini tukisha fanikiwa, tunatabia ya kujisahau. Haturejei...
  10. Mrengwa wa kulia

    JamiiForums Tanzania Vikwazo vyaathiri uchumi wa Urusi

    Kupanda mchongoma Kushuka ndio Ngoma. Wachinjaji walienda Machinjioni kuchinja Ngombe walipo fika wakakuta Ngombe wameshika Visu na Kuwasubiri wachinjaji. Watafiti katika Chuo Kikuu cha YALE nchini Marekani wanasema uchumi wa Urusi unakabiliwa na uharibu mkubwa kutokana na vikwazo vya nchi za...
  11. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Nigeria kuiwekea vikwazo BBC kwa kuonesha filamu ya magenge ya uhalifu

    Serikali ya Nigeria imetishia kuweka vikwazo kwa Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na Trust TV kwa kile walichodai kutukuza ugaidi kutokana na kuonesha filamu kuhusu wababe wa kivita wa magenge ya uhalifu Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo. BBC Africa ilifanya mahojiano na wahalifu wa...
  12. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Ulaya waidhinisha awamu ya 7 ya Vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Urusi

    Wanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana vikwazo vipya dhidi ya Russia kwa sababu ya RussiaUkraineWar ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku kuagiza dhahabu kutoka nchini humo na kuzuia mali za Sberbank Vikwazo hivyo vinakusudia kuadhibu na kudhoofisha uchumi wa Urusi ambapo Usafirishaji wa...
  13. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania EU imejipiga "risasi ya ya kwenye mapafu" kwa kuiwekea vikwazo Urusi

    The European Union has “shot itself in the lungs” with ill-considered economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economy, Hungary’s prime minister has said...
  14. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Hatua ya kwanza ya makubaliano kati ya UN, UKRAINE na URUSI inaiwezesha URUSI kuuza nafaka na mbolea bila vikwazo

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema hatua muhimu ya kwanza imefikiwa katika juhudi za kuwezesha nafaka kusafirishwa kutoka Ukraine. Guterres ameeleza kwamba hatua hiyo imefikiwa kwenye mazungumzo ya mjini Istanbul kati ya wajumbe wa Urusi na Ukraine. Wajumbe wa Umoja wa...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Marekani inaionea wivu Urusi, Pamoja na vikwazo bado inapata pesa zaidi sasa kuliko hapo kabla. Sasa inawaza kuweka ukomo wa bei ya mafuta ya Urusi

    Marekani imesusia mafuta ya urusi bado urusi inapeta! Nchi za magharibi zimeiwekea urusi vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000 lakini ndo sasa inapata pesa zaidi! Marekani inaumiza kichwa kuwaza waifanyieje Urusi ili kuikomoa kiuchumi? Marekani imekuja na wazo lisilotekelezeka!! Inasema itaweka...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Ujerumani yaipigia magoti Canada irejeshe injini (ipo kwenye vikwazo) ya mitambo ya gesi ya Urusi Ujerumani, ili kuiokoa Ujerumani na uhaba wa gesi

    EU+NATO washindwa tena ktk kutekeleza vikwazo walivyokubaliana na kuviweka wao wenyewe juu ya kuminya matumizi ya gesi ya Urusi ili kuipunguzia Urusi pesa ipatazo toka kwenye biashara hiyo. Mabeberu waliweka vikwazo ktk vipuri vya miundombinu ya gesi. Ujerumani ilipeleka injini fulani Canada...
  17. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania ECOWAS yasitisha vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Mali

    Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) wameondoa vikwazo vya kiuchumi na kifedha vilivyowekwa dhidi ya Mali, baada ya watawala wake wa kijeshi kupendekeza mabadiliko ya demokrasia ya miezi 24 na kuchapisha sheria mpya ya uchaguzi Umoja huo uliiwekea Mali vikwazo...
  18. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Uingereza yatangaza vikwazo vipya vya Kibiashara dhidi ya Urusi

    Serikali imetangaza awamu mpya ya Vikwazo vya kibiashara dhidi ya #Russia ikiwa ni mwendelezo wa Vikwazo kutoka nchi nyingi Duniani kutokana na kuendelea kwa #RussiaUkraineWar Vikwazo hivyo vinajumuisha marufuku ya kusafirisha bidhaa na teknolojia mbalimbali nchini humo, usafirishaji wa mafuta...
  19. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Putin: Vikwazo wanavyotuwekea vitawaumiza wao wenyewe

    Licha ya kuwekewa vikwazo na mataifa ya Magharibi, Rais wa Urusi, Vladimir Putin akizungumza katika Kongamano Jijini St Petersburg amesema vikwazo hivyo ni vya ovyo na havina malengo, pia haviwezi kufanikiwa kuwarudisha nyuma. Amedai kuwa vizuizi hivyo vinawaumiza wale walioviweka, akidai kuwa...
  20. THE SPIRIT THINKER

    JamiiForums Tanzania Mustakabali wa kituo cha anga cha ISS mara baada ya Russia kuwekewa vikwazo

    UPI MUSTAKABALI WA KITUO CHA ANGA CHA ISS MARA BAADA YA RUSSIA KUWEKEWA VIKWAZO LUKUKI NA WASHIRIKA WENZAKE EU NA MAREKANI Maswali Mengi tumekuwa tukijiuliza Sana juu mustakabali wa kituo Cha iss ambapo kituo hichi kimekuwa kikishirikisha ushirikiano wa mataifa kadhaa makubwa katika pande...
Back
Top Bottom