Nilichogundua kuwa, baadhi ya vijana wanaweza kupata mitaji hata kama sio mikubwa sana kama wangekuwa na uhakika wakipata hiyo mitaji wafanyie nini na kiwape faida
Sasa nakaribisha watu hasa wafanya biashara wawasaidie vijana wenye mitaji ya kawaida…
Mfano mtu aseme; Kama kuna kijana/vijana...