Mbunge Amina Mzee atoa Mafunzo ya Vijana dhidi ya Dawa za Kulevya

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,890
939
WhatsApp Image 2023-03-06 at 17.47.44.jpeg


Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mjini Magharibi Amina Ali Mzee alikuwa mgeni rasmi katika kufungua mafunzo ya vijana dhidi ya dawa za kulevya yaliyoandaliwa na taasisi ya vijana Mwembetanga Youth Organization (MYO)​

WhatsApp Image 2023-03-06 at 17.47.43.jpeg

Amina Mzee amewapongeza sana taasisi ya vijana ya Mwembetanga Youth Organization (MYO) kwa kuandaa mafunzo haya kwa vijana kwani wimbi kubwa wanaoathirika na dawa za kulevya ni vijana

WhatsApp Image 2023-03-06 at 17.47.46.jpeg

"Niwaombe taasisi hii ya Mwembetanga Youth Organization (MYO) na taasisi nyingine waendeleee kutoa mafunzo na sisi viongozi wao wenye dhamana ya kusimamia vijana tutawaunga mkono ili kuhakikisha vijana katika jamii zetu wimbi la vijana wenye kutumia dawa za kulevya linapungua kwa asilimia kubwa" - Amina Mzee
 
Back
Top Bottom