Asalaam aleykum,
Ama baada ya salamu hizo, rejea kichwa cha habari, chahusika.
Uhuru ni kitu muhimu ambacho kila mmoja anakitamani. Lakini kwa bahati mbaya sana katika historia ya binadamu, imekuwa ni hulka ya baadhi ya watu furaha yao kukamilishwa kwa kuwanyonya/kuwakandamiza wenzao.
Hili...