Je, kuna watu ambao wako systematically prone kwa tabu na mateso na ni vigumu mikosi yao kuondolewa kirahisi kama wengine?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Hakuna mwanadamu asie kuwa na changamoto. Asilimia kubwa ya watu duniani tunapitia matatizo makubwa mbali mbali ila kuna wale watu ambao utafikiri furaha hata robo sio ridhiki kwao.

Unaweza mkuta mmama, mwenye hurka ya kuishi vyema na watu lakini anapitia mateso kutoka kwa mme wake, wifi zake kumchukia, ana magonjwa ya muda mrefu, watoto nao karibia wote wameharibika na bado mengine kuongezeka.

Unakuta mama huyu awali amepita kwa waganga wote wenye sifa lukuki ila hakuna msaada.

Then akaamua kuokoka na kujiweka katika utumishi ila unaweza ana miaka zaidi 15 katika utumishi wa kweli ila bado ni mtu wa tabu juu ya majanga.

Najua mna mifano mingi huko mitaani kwenu.

Sasa unajiuliza amekuwa mhanga wa laana za mababu zake ambazo ni unforgiven?

Je, amekingia mgongo na the higherpower yani hata afanye nini ni mateso ndio njia yake hadi kaburini?

Ni mtu wa kuzungukwa na strong negative energy zinazo mtesa??
 
Daah mada ngumu hii inahitaji mchangiaji awe ameshapata hata kikombe cha maziwa kureflesh mind..
Ila kama ameamka na sungura zake kichwani hawez kukuelewa kabisa.

Nachangia kwakusema kwamba kwa asilimia kubwa 90% maisha tunayoishi nisehemu ya chaguo letu sisi wenyewe..eidha kwakujua au kutokujua.

Mungu Alicho jivunia kwakusema ninamuumba kiumbe alie bora kabisa,nae atakua khalifa yani kiongozi mkuu atakae tawala vitu vyote vyaduniani. Ninavyo vitamtumikia yeye.Unajua hapa mungu alikusudia nini?? Mungu unajua alicho kiweka ndani ya kiumbe hicho?

Nikufumbue kidogo sana mengi ukitaka utanitafuta private, alicho kiweka mungu ndani ya mwanadamu ni +AKILI+ hii kitu inatisha si kawaida nandio maana hadi leo hakijulikani kipo sehemu gani yamwili wa mwanadamu.
Hii ni nguvu ya kiungu ndani yamwadamu,nimungu ndani ya MWANADAMU.
Mchakato upo kwenye kuifungua hii password.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Daah mada ngumu hii inahitaji mchangiaji awe ameshapata hata kikombe cha maziwa kureflesh mind..
Ila kama ameamka na sungura zake kichwani hawez kukuelewa kabisa.

Nachangia kwakusema kwamba kwa asilimia kubwa 90% maisha tunayoishi nisehemu ya chaguo letu sisi wenyewe..eidha kwakujua au kutokujua.

Mungu Alicho jivunia kwakusema ninamuumba kiumbe alie bora kabisa,nae atakua khalifa yani kiongozi mkuu atakae tawala vitu vyote vyaduniani. Ninavyo vitamtumikia yeye.Unajua hapa mungu alikusudia nini?? Mungu unajua alicho kiweka ndani ya kiumbe hicho?

Nikufumbue kidogo sana mengi ukitaka utanitafuta private, alicho kiweka mungu ndani ya mwanadamu ni +AKILI+ hii kitu inatisha si kawaida nandio maana hadi leo hakijulikani kipo sehemu gani yamwili wa mwanadamu.
Hii ni nguvu ya kiungu ndani yamwadamu,nimungu ndani ya MWANADAMU.
Mchakato upo kwenye kuifungua hii password.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Ahsante

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanadamu asie kuwa na changamoto. Asilimia kubwa ya watu duniani tunapitia matatizo makubwa mbali mbali ila kuna wale watu ambao utafikiri furaha hata robo sio ridhiki kwao.

Unaweza mkuta mmama, mwenye hurka ya kuishi vyema na watu lakini anapitia mateso kutoka kwa mme wake, wifi zake kumchukia, ana magonjwa ya muda mrefu, watoto nao karibia wote wameharibika na bado mengine kuongezeka.

Unakuta mama huyu awali amepita kwa waganga wote wenye sifa lukuki ila hakuna msaada.

Then akaamua kuokoka na kujiweka katika utumishi ila unaweza ana miaka zaidi 15 katika utumishi wa kweli ila bado ni mtu wa tabu juu ya majanga.

Najua mna mifano mingi huko mitaani kwenu.

Sasa unajiuliza amekuwa mhanga wa laana za mababu zake ambazo ni unforgiven?

Je, amekingia mgongo na the higherpower yani hata afanye nini ni mateso ndio njia yake hadi kaburini?

Ni mtu wa kuzungukwa na strong negative energy zinazo mtesa??
Umeamua kunisemelea kitu ambacho namm najiuliza hivyo hivyo, sijui nakosea wapi mm.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ya mwanadam ....alipo leo ni kutokana na maamuzi ya jana.....na atakapo kuwepo kesho ni maamuzi ya leo nn anafanya


Kitu wasichokijua watu ni kwamba kila uamuzi unaoufanya una matokeo yake negative au positive


Watu wengi waliofanikiwa wamejitahidi kufanya maamuzi mazuri mengi ukijumlisha ndio unapata matokeo mazuri

The same to wasiofanikiwa
 
Mfumo uliokuwepo mwenye haki alikuwa mbolea ya waovu. Ndo maana ikaandikwa mateso ya mwenye haki ni mengi (zaburi 34:19).

Kilichosababisha ivyo ni uumbaji kutekwa nyara na waovu ndo maana ikaandikwa haki ya mwenye haki haikuwai kumsaidia

Mhubiri 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.


Mfumo (roho,nafsi,mwili,asili, mauti dunia na ulimwengu)uliokuwepo ukiwa mwenye haki ulikuwa wakuonewa tu au wakutolewa kafara.

Ndio maana ikaandikwa katika danieli 7:21 hakuna mtakatifu aliyevuka hata mmoja.

Ndo maana ikabidi Muumba mwenyewe aje alete mfumo wake kwa kuumba mbingu halisi na nchi halisi ambamo haki yakaa ndani yake.

Mika 1:2-6

2Petro 3:13

Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Isaya 65:17

Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.


Hata Yesu alikuta hiyo hali akamwambia baba yake siku zisipopunguzwa za kuja hakuna ambae angepona (Mathayo 24:22)
 
Hakuna mwanadamu asie kuwa na changamoto. Asilimia kubwa ya watu duniani tunapitia matatizo makubwa mbali mbali ila kuna wale watu ambao utafikiri furaha hata robo sio ridhiki kwao.

Unaweza mkuta mmama, mwenye hurka ya kuishi vyema na watu lakini anapitia mateso kutoka kwa mme wake, wifi zake kumchukia, ana magonjwa ya muda mrefu, watoto nao karibia wote wameharibika na bado mengine kuongezeka.

Unakuta mama huyu awali amepita kwa waganga wote wenye sifa lukuki ila hakuna msaada.

Then akaamua kuokoka na kujiweka katika utumishi ila unaweza ana miaka zaidi 15 katika utumishi wa kweli ila bado ni mtu wa tabu juu ya majanga.

Najua mna mifano mingi huko mitaani kwenu.

Sasa unajiuliza amekuwa mhanga wa laana za mababu zake ambazo ni unforgiven?

Je, amekingia mgongo na the higherpower yani hata afanye nini ni mateso ndio njia yake hadi kaburini?

Ni mtu wa kuzungukwa na strong negative energy zinazo mtesa??
It's just life, hata kwa wazungu, wachina, wa Korea, hupata changamoto za maisha, kwa wenzetu hawasubili mpaka mawifi wakutese, wakusengenye, mume akupige, dalili tu,mke anasepa maana hakuingia kwenye ndoa kuwa golikeeper, au, tegemezi, uwezo wa, uchumi anao.
Na kwa wenzetu social life and customs, haziwaweki mawifi, mashemeji karibu, kila MTU na maisha yake,
Huku kwe tu, mawifi, mashemeji wanaona Mali za, kaka Yao, kama, zao,nyumbani kwako wanaona ni haki Yao kuja wakati wowote, hapo tegemea balaa, bottom line ni umaskini, ukioa,unakuwa, kama umeoa ukoo mzima, u tegemezi Sana, hapo, lqzima mabaya,yatokee,
Niliwahi kuishi uswahilini Kawe Dar, kila siku ugomvi na ma jirani, jirani akifua, anamwaga maji, nje, nje hapo ndio kuna baraza LA, jirani yake, watoto wanacheza, hapo ni ugomvi tu, maana, nyumba zimejengwa hovyo hovyo,
Huwezi, kukuta huu upuuzi, uzunguni Dodoma, nyamkazi bukoba, masaki Dar, Kisiasa, na, area, D Dodoma.
Sio, matatizo, ya, kiroho per se, ni, uchumi duni tu, maskini ndio huwa, na, mapepo,
 
It's just life, hata kwa wazungu, wachina, wa Korea, hupata changamoto za maisha, kwa wenzetu hawasubili mpaka mawifi wakutese, wakusengenye, mume akupige, dalili tu,mke anasepa maana hakuingia kwenye ndoa kuwa golikeeper, au, tegemezi, uwezo wa, uchumi anao.
Na kwa wenzetu social life and customs, haziwaweki mawifi, mashemeji karibu, kila MTU na maisha yake,
Huku kwe tu, mawifi, mashemeji wanaona Mali za, kaka Yao, kama, zao,nyumbani kwako wanaona ni haki Yao kuja wakati wowote, hapo tegemea balaa, bottom line ni umaskini, ukioa,unakuwa, kama umeoa ukoo mzima, u tegemezi Sana, hapo, lqzima mabaya,yatokee,
Niliwahi kuishi uswahilini Kawe Dar, kila siku ugomvi na ma jirani, jirani akifua, anamwaga maji, nje, nje hapo ndio kuna baraza LA, jirani yake, watoto wanacheza, hapo ni ugomvi tu, maana, nyumba zimejengwa hovyo hovyo,
Huwezi, kukuta huu upuuzi, uzunguni Dodoma, nyamkazi bukoba, masaki Dar, Kisiasa, na, area, D Dodoma.
Sio, matatizo, ya, kiroho per se, ni, uchumi duni tu, maskini ndio huwa, na, mapepo,
MaishA daaah

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanadamu asie kuwa na changamoto. Asilimia kubwa ya watu duniani tunapitia matatizo makubwa mbali mbali ila kuna wale watu ambao utafikiri furaha hata robo sio ridhiki kwao.

Unaweza mkuta mmama, mwenye hurka ya kuishi vyema na watu lakini anapitia mateso kutoka kwa mme wake, wifi zake kumchukia, ana magonjwa ya muda mrefu, watoto nao karibia wote wameharibika na bado mengine kuongezeka.

Unakuta mama huyu awali amepita kwa waganga wote wenye sifa lukuki ila hakuna msaada.

Then akaamua kuokoka na kujiweka katika utumishi ila unaweza ana miaka zaidi 15 katika utumishi wa kweli ila bado ni mtu wa tabu juu ya majanga.

Najua mna mifano mingi huko mitaani kwenu.

Sasa unajiuliza amekuwa mhanga wa laana za mababu zake ambazo ni unforgiven?

Je, amekingia mgongo na the higherpower yani hata afanye nini ni mateso ndio njia yake hadi kaburini?

Ni mtu wa kuzungukwa na strong negative energy zinazo mtesa??
Niliangalia clip ya watu wa Goma wanayakimbia makazi yao, kuna Bibi Mzee na mkongojo wake naye anakimbia, unajiuliza hapa duniani, mbona tunatesana hivi??!!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Daah mada ngumu hii inahitaji mchangiaji awe ameshapata hata kikombe cha maziwa kureflesh mind..
Ila kama ameamka na sungura zake kichwani hawez kukuelewa kabisa.

Nachangia kwakusema kwamba kwa asilimia kubwa 90% maisha tunayoishi nisehemu ya chaguo letu sisi wenyewe..eidha kwakujua au kutokujua.

Mungu Alicho jivunia kwakusema ninamuumba kiumbe alie bora kabisa,nae atakua khalifa yani kiongozi mkuu atakae tawala vitu vyote vyaduniani. Ninavyo vitamtumikia yeye.Unajua hapa mungu alikusudia nini?? Mungu unajua alicho kiweka ndani ya kiumbe hicho?

Nikufumbue kidogo sana mengi ukitaka utanitafuta private, alicho kiweka mungu ndani ya mwanadamu ni +AKILI+ hii kitu inatisha si kawaida nandio maana hadi leo hakijulikani kipo sehemu gani yamwili wa mwanadamu.
Hii ni nguvu ya kiungu ndani yamwadamu,nimungu ndani ya MWANADAMU.
Mchakato upo kwenye kuifungua hii password.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Nakubari mkuu hakuna kitu zaidi
 
Mfumo uliokuwepo mwenye haki alikuwa mbolea ya waovu. Ndo maana ikaandikwa mateso ya mwenye haki ni mengi (zaburi 34:19).

Kilichosababisha ivyo ni uumbaji kutekwa nyara na waovu ndo maana ikaandikwa haki ya mwenye haki haikuwai kumsaidia

Mhubiri 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.


Mfumo (roho,nafsi,mwili,asili, mauti dunia na ulimwengu)uliokuwepo ukiwa mwenye haki ulikuwa wakuonewa tu au wakutolewa kafara.

Ndio maana ikaandikwa katika danieli 7:21 hakuna mtakatifu aliyevuka hata mmoja.

Ndo maana ikabidi Muumba mwenyewe aje alete mfumo wake kwa kuumba mbingu halisi na nchi halisi ambamo haki yakaa ndani yake.

Mika 1:2-6

2Petro 3:13

Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Isaya 65:17

Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.


Hata Yesu alikuta hiyo hali akamwambia baba yake siku zisipopunguzwa za kuja hakuna ambae angepona (Mathayo 24:22)
Kwa maana hiyo mkuu kwahii dunia ilivyo na tunavyo ishi hatupaswi kuishi kwa haki kwani si salama kuishi kwa weny haki
 
Kwa maana hiyo mkuu kwahii dunia ilivyo na tunavyo ishi hatupaswi kuishi kwa haki kwani si salama kuishi kwa weny haki

Ndivyo ilivyokuwa, msema kweli anachukiwa na wengi ndo maana mjini kukawa na msemo chema hakidumu, maana yake atendae kwa haki.

Ila sasa Mfumo ni wa Muumba mwenye haki anapata raha ishu tu ni kutoka kwenye utumwa wa fikra maana hapo napo pameteka wengi.
 
Mfumo uliokuwepo mwenye haki alikuwa mbolea ya waovu. Ndo maana ikaandikwa mateso ya mwenye haki ni mengi (zaburi 34:19).

Kilichosababisha ivyo ni uumbaji kutekwa nyara na waovu ndo maana ikaandikwa haki ya mwenye haki haikuwai kumsaidia

Mhubiri 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.


Mfumo (roho,nafsi,mwili,asili, mauti dunia na ulimwengu)uliokuwepo ukiwa mwenye haki ulikuwa wakuonewa tu au wakutolewa kafara.

Ndio maana ikaandikwa katika danieli 7:21 hakuna mtakatifu aliyevuka hata mmoja.

Ndo maana ikabidi Muumba mwenyewe aje alete mfumo wake kwa kuumba mbingu halisi na nchi halisi ambamo haki yakaa ndani yake.

Mika 1:2-6

2Petro 3:13

Lakini, kama ilivyo ahadi yake, mnatazamia mbingu mpya na nchi mpya, ambayo haki yakaa ndani yake.

Isaya 65:17

Maana, tazama, mimi naumba mbingu mpya na nchi mpya, na mambo ya kwanza hayatakumbukwa, wala hayataingia moyoni.


Hata Yesu alikuta hiyo hali akamwambia baba yake siku zisipopunguzwa za kuja hakuna ambae angepona (Mathayo 24:22)
Hakik hii ndio Sawa. Yaani wewa utende mema Dunia na ulimwengu vikuchekee!! Na ukitenda isivyo haki pia unaumia hata kama unampendeza Nyoka.

Ni kumpisha aliyeumba kila kitu chema maana yuko na amekuja mwenyewe kuishi na aliowaumba na kuwazaa. Mimi nilkuwa wa kulia kusikitika kusalitiwa, ila sasa nacheka na kufurahi katikati ya wanaoomboleza kwa kutofanya uamuzi sahihi.
 
Mi nadhani kuna watu tu wana bahati nzuri na wengine wana bahati mbaya haijalishi ni wema au wabaya kiasi gani. Sasa hiyo bahati nzuri au mbaya unaipataje ndio sijui.
Ingekuwa ni uchapa kazi basi wabeba zege wangekuwa na maisha mazuri sana maana ni wachapa kazi haswaa. Sio kwamba watu ni wavivu, wana bidii sana ila hawana bahati, chochote wanachojaribu hakiendi. Wameshachanganya maombi mpaka ya kufunga kavu lakini hola. Kuna watu wanalima maheka kibao kuvuna gunia moja. Wakati wengine wanatokea hapo hapo. Bado naendelea kuamini kuwa ni issue ya BAHATI, NYOTA, NEEMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom