Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Hakuna mwanadamu asie kuwa na changamoto. Asilimia kubwa ya watu duniani tunapitia matatizo makubwa mbali mbali ila kuna wale watu ambao utafikiri furaha hata robo sio ridhiki kwao.
Unaweza mkuta mmama, mwenye hurka ya kuishi vyema na watu lakini anapitia mateso kutoka kwa mme wake, wifi zake kumchukia, ana magonjwa ya muda mrefu, watoto nao karibia wote wameharibika na bado mengine kuongezeka.
Unakuta mama huyu awali amepita kwa waganga wote wenye sifa lukuki ila hakuna msaada.
Then akaamua kuokoka na kujiweka katika utumishi ila unaweza ana miaka zaidi 15 katika utumishi wa kweli ila bado ni mtu wa tabu juu ya majanga.
Najua mna mifano mingi huko mitaani kwenu.
Sasa unajiuliza amekuwa mhanga wa laana za mababu zake ambazo ni unforgiven?
Je, amekingia mgongo na the higherpower yani hata afanye nini ni mateso ndio njia yake hadi kaburini?
Ni mtu wa kuzungukwa na strong negative energy zinazo mtesa??
Unaweza mkuta mmama, mwenye hurka ya kuishi vyema na watu lakini anapitia mateso kutoka kwa mme wake, wifi zake kumchukia, ana magonjwa ya muda mrefu, watoto nao karibia wote wameharibika na bado mengine kuongezeka.
Unakuta mama huyu awali amepita kwa waganga wote wenye sifa lukuki ila hakuna msaada.
Then akaamua kuokoka na kujiweka katika utumishi ila unaweza ana miaka zaidi 15 katika utumishi wa kweli ila bado ni mtu wa tabu juu ya majanga.
Najua mna mifano mingi huko mitaani kwenu.
Sasa unajiuliza amekuwa mhanga wa laana za mababu zake ambazo ni unforgiven?
Je, amekingia mgongo na the higherpower yani hata afanye nini ni mateso ndio njia yake hadi kaburini?
Ni mtu wa kuzungukwa na strong negative energy zinazo mtesa??