vifaa

  1. JamiiForums Tanzania Vifaa vya Aluminium Kiwandani

    Habari, Naomba msada wa kufahamishwa sehemu ntayopata au kununua vifaa vya Aluminium Kwa Bei ya jumla. Ahsante
  2. V

    JamiiForums Tanzania Polisi Wavamia Nyumbani kwa Mbyella, Wachukua T-Shirt, Kofia, Nguo na Bendera za CHADEMA

    Nimepata taarifa kwamba usiku wa kuamkia leo mida ya saa nane, Jeshi la Polisi limevamia nyumbani kwa Yoromu Mbyella, mfanyabiashaa ambae huwa anauza sare za CHADEMA wakidai wanamtafuta kwa kosa la kutengeneza Tshirt zenye maandishi “FREE TUNDU LISSU” Kwa mujibu wa mtoa taarifa, Mbyella...
  3. JamiiForums Tanzania Bado mnatumia Excel kufuatilia mali (Asset) za kampuni?

    kampuni nyingi bado kufuatilia laptop, printer, furniture au vifaa vya kazi kwa makaratasi au Excel. Changamoto inaanza vifaa vinapopotea au kukosekana kwa taarifa nani anatumia kifaa gani. Asset Management System inasaidia, 1. Kufuatilia vifaa vyote kwa urahisi 2. Kujua nani amepewa kifaa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Changamoto Vyuo Vya Ufundi Stadi na Marekebisho kwa Vijana wenye Ulemavu: Ukosefu Walimu na Vifaa

    Habari Wana nzengo Mimi ni mdau wa maendeleo ya watu wenye ulemavu nimekuwa nikifuatilia vyuo vya watu wenye ulemavu vilivyokuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu ambako kwa Sasa vimehamia katika wizara ya elimu sayansi na teknolojia vyuo hivi vipo Singida (sabasaba) Dar es salaam (yombo),Mwanza...
  5. JamiiForums Tanzania Nassoro Techtz: Mabingwa wa Vifaa vya Kompyuta, Accessories & Vifaa vya Ufundi Madishi – Mapinga Mtambani, Bagamoyo!

    Habari za majukumu wana-JamiiForums!Je, wewe ni mkazi wa Mapinga, Bunju, Boko, Tegeta, au maeneo ya Bagamoyo na unatafuta vifaa bora vya kompyuta na accessories? Au wewe ni fundi wa madishi ya TV (Azam, DStv, Zuku, StarTimes) unayetaka vifaa imara vya kazi bila kusafiri umbali mrefu hadi mjini...
  6. JamiiForums Tanzania Kampuni ya Samsung yaacha kuuza vifaa vyake vyote vya kielektroniki vya nyumbani nchini China

    Kampuni ya Samsung hivi karibuni ilitangaza kuwa itaacha kuuza vifaa vyake vyote vinavyotumika nyumbani nchini China. Chapa ya Samsung ilikuwa alama ya vifaa vya kielektroniki vya nyumbani vya hali ya juu na vyenye ubora wa juu zaidi, lakini sasa imeshindwa kabisa na kampuni za ndani za China...
  7. B

    JamiiForums Tanzania DOKEZO MWANZA: Vijana wanafanya kazi ghorofani bila kuwa na vifaa maalum, OSHA mpo au hii haiwahusu?

    Nipo Mwanza nimekuja kutembea kutoka Jiji lenye miti mingi, nimefika Wilaya ya Ilemela, Kata ya Nyamanoro, jana tarehe 28.04.2026 nilikuta vijana wanne walionekana kwenye eneo la ujenzi wakiwa wananing'inia huku wakipandisha vifaa vya ujenzi kwenye jengo hilo ambalo inadaiwa kuwa linatarajia...
  8. JamiiForums Tanzania TANROADS: Taa za eneo la Tripple A haziwaki kutokana na hitilafu, Tunaomba radhi, tutafunga vifaa vya kisasa

    Jana Aprili 21, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Taa za Barabarani zilizopo Sakina Triple A / Arusha Technical College hazifanyi kazi kwa zaidi ya miezi minne hali inayoongeza hatari ya usalama wa watumiaji”. Hoja ya Mdau ipo hapa ~ Taa za Barabarani za Sakina Triple A ni zaidi ya miezi...
  9. JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme

    🎯CHIMBO LA VIFAA VYA UMEME KARIAKOO Rafiki Electrical & Tech Solutions ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA ZA JUMLA NA REJAREJA💫 Tupo Kwa Ajili Yako💡 ✅ TUNAUZA NA KUTENGENEZA VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME WA MINARA, VIWANDA, UMEME WA NYUMBANI, VISIMA, MOTORS N.K JUMLA NA REJAREJA Tupo Dar es...
  10. JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Tanzania

    🎯CHIMBO LA VIFAA VYA UMEME KARIAKOO Rafiki Electrical Solutions 🤝 ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA! Kwa Mahitaji ya Vifaa Vya Umeme Bora na Vya Ukakika (Original) Rafiki Electrical & Tech Solutions Tupo Kwa Ajili Yako💡✅ TUNAUZA NA KUTENGENEZA VIFAA BORA NA IMARA VYA UMEME WA MINARA...
  11. JamiiForums Tanzania Fursa Kwa mafundi, clients na wauzaji wa vifaa vya Ujenzi......Kuna link kujiunga na sisi

    🏗️ FURSA YA UJENZI & CONNECTIONS TANZANIA NZIMA! 🇹🇿 Je, wewe ni Fundi stadi, Muuzaji wa vifaa, au Mwenye nyumba unayetafuta huduma bora? Huu ndio mchongo wako! Tumeanzisha Group la UJENZI & CONNECTIONS TZ kwa lengo la kuunganisha wataalamu na fursa nchi nzima. 🛠️ KWA MAFUNDI (Fani Zote)...
  12. JamiiForums Tanzania Vifaa bora vya umeme, Kariakoo

    ⚡ VIFAA VYA UMEME ORIGINAL NA BEI POA! Unatafuta vifaa vya umeme vya uhakika kwa matumizi ya nyumbani au viwandani? Sisi tupo kwa ajili yako 💯 📍 Kariakoo 🚚 Delivery mikoa yote Tanzania Tunapatikana na brand kubwa kama: ✅ ABB ✅ SCHNEIDER ✅ SIEMENS ✅ LEGRAND ✅ CHINT ✅ TRONIC ✅ HAVELL Tunauza: 🔌...
  13. JamiiForums Tanzania Vifaa bora vya umeme Kariakoo

    Je, Umekuwa ukijiuliza wapi utapata vifaa bora vya umeme kwaajili ya mahitaji yako? 💫SASA UMEPATA SULUHISHO KAMILI Rafiki Electrical & Tech Solutions 💡 ni watengenezaji, wauzaji na wasambazaji wa vifaa bora na salama vya umeme mkubwa na mdogo. Kutoka Kampuni zote mahiri kama vile; ABB, TRONIC...
  14. JamiiForums Tanzania Vifaa bora vya umeme

    Tunauza na kutengeneza vifaa bora na imara vya umeme wa minara, viwanda, umeme wa nyumbani, visima, motors n.k jumla na rejareja Tunafanya delivery ndani na nje ya Tanzania Tupo Kariakoo 📍 Kwa huduma za kuridhisha, wasiliana nasi sasa Kwa whatsapp namba +255764379293
  15. JamiiForums Tanzania Hivi ni vifaa muhimu kuwa navyo nyumbani kwako

    Nyumbani kwako ni muhimu uwe na vifaa hivi, kwani vinahitajika sana. 1.Star screw drivers kubwa na ndigo 2.Flatted screw drivers ndogo na kubwa 3.Tester ya umeme 4.Plier au plaiz 5.Nyundo 6.msumeno wa mbao 7.msumeno wa chuma 8.tupa inanolea vifaa vya chuma. 9.Futi 10.Jembe 11.Panga 12.Koleo...
  16. JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya vifaa vya kufundishia kwa course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering inaferisha vijana kwenye soko la ajira

    Habari wakuu, Course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering inayotolewa katika chuo cha ufundi arusha (ATC) ambayo ina miaka 5 toka iyanzishwe inapitia magumu sana kwa wanafunzi wanayosoma kwasababu hakuna mitambo ya kujifunzia uliopo ni fuvu tu haifanyika kama ilivyo hapo...
  17. JamiiForums Tanzania Vifaa bora vya umeme vya kisasa, Kariakoo

    📍Rafiki Electrical & Tech Solutions ni solution kwa mahitaji yako ya vifaa bora na vya kisasa vyenye usalama Mkubwa. Tunauza, kusambaza na kutengeneza Vifaa bora vya umeme wa: 🎯Viwanda 🎯Majumbani 🎯Minara n.k Tunapatikana Kariakoo, Narung'ombe na Gogo. Tunatuma Tanzania na nje ya Tanzania...
  18. JamiiForums Tanzania INAUZWA Vifaa bora vya umeme wa majumbani, minara, viwanda, pump za visima, n.k

    Je, Umekuwa ukijiuliza utapata wapi vifaa bora vya umeme kwa bei nafuu zaidi? Rafiki Electrical & Tech Solutions, Niwauzaji, wasambazaji na watengenezaji wa vifaa bora sana vya umeme wa Nyumbani, Minara, Viwanda n.k hapa Tanzania na Nje ya Tanzania. Tunapatikana Kariakoo, Mtaa wa Narung'ombe na...
  19. JamiiForums Tanzania Mchengerwa anamjibu Mamba Dudubaya kuhusu mashine ya MRI

    https://www.youtube.com/live/46Sy9QdFj7Y?is=de5o1xbYrhPjwSgH Yupo Live TBC. Anawaambia wana habari wawe makini wanaporipoti hiyo taarifa ni kinyume na sheria za nchi Naona Dudubaya kachangiwa
  20. JamiiForums Tanzania Unatafuta Vifaa vya Ujenzi? Karibu VN Warehouse Limited – Tunauza Jumla na Rejareja

    Unatafuta vifaa bora vya ujenzi kwa bei nzuri? Karibu VN Warehouse Limited, kampuni iliyosajiliwa kisheria inayojihusisha na uuzaji wa vifaa mbalimbali vya ujenzi kwa jumla na rejareja. Tunatoa bidhaa zenye ubora wa uhakika kwa mafundi, wakandarasi, na wateja wa kawaida wanaojenga au kufanya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…