uzalendo

Chama Cha Uzalendo (English: The Patriotic Party) is a Kenyan political Party that was one of several affiliates of Mwai Kibaki's Party of National Unity in the 2007 general election. It is currently headed by veteran politician and former Nakuru North Constituency Member of Parliament Koigi Wamwere and had two elected Members of Parliament in Central Imenti's Gitobu Imanyara and Wavinya Ndeti in kenya's 10th Parliament.

View More On Wikipedia.org
  1. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Kuvujisha nyaraka za ufisadi ndio uzalendo uliotukuka, tuongeze juhudi.

    Kama kunamtu atanilaumu kwa kuvujisha nyaraka za wahujumu basi na iwe kwani na yeye huenda ni sehemu ya wahujumu. Katika nchi makini mtu anayefichua hujuma husifiwa na kuzawadiwa badala ya kusakwa ili aadhibiwe.
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Watumishi wa Umma wanakosa uzalendo, unateua mtu anakwenda kupiga picha nyaraka za siri na kusambaza

    Rais Samia Suluhu Hassan, akiapisha viongozi wateule ikiwemo wa Tume ya Maadili leo Mei 24, amewataka kusimamia maadili kwa watumishi wa umma kwa nguvu na uadilifu. "Sisi viongozi ni watu na wanadamu, kuna miiko tumewekewa. Ukitufanyia tathmini leo unaweza ukatukuta asilimia 30 tu kweli...
  3. kavulata

    JamiiForums Tanzania Namna bora ya kujenga uzalendo kwa njia rahisi.

    Mbwa anafundishwa akiwa mdogo, samaki anakunywa angali mbichi na udongo unapatwa ukiwa na umajimaji. Uzalendo hauna mbadala kwenye kila taifa. Kama kwenye gari uzalendo ni kama usukari(stearing). Hata mtoto mdongo anaijua usukani ndio unaoelekeza gari liielekee wapi, Hata bila gari mtoto...
  4. Uzalendo Club Tanzania

    JamiiForums Tanzania Mchakato wa uanzishaji wa Taasisi ya Uzalendo na Malezi Tanzania (TUMT)

    TAARIFA RASMI | MCHAKATO WA KUANZISHA TAASISI YA KITAIFA YA UZALENDO NA MALEZI TANZANIA (TUMT) Kwa mujibu wa haja ya dharura ya taifa katika kujenga msingi imara wa maadili, uzalendo wa kweli, na malezi chanya ya kizazi kijacho, Klabu ya Uzalendo Wilaya ya Kibaha imeanza rasmi mchakato wa...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Tuirudishe nchi kwenye kujenga wazalendo kwa Taifa na sio wazalendo kwa mtu au chama, hii itasaidia sana kulirudisha Taifa kwenye mstari

    Kwa sasa naona serikali iko busy sana kuzalisha wazalendo wengi wawe na uzalendo kwa mtu au watu au chama,badala ya kuzalisha wazalendo kwa Taifa, naiona hatari sana kwenye hili Taifa letu hapo baadae. Ikiwa Kila mwenye nguvu iwe ya fedha au ya dola akiweza kujitengenezea wazalendo wake kama...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa CHADEMA ni kielelezo kizuri cha uzalendo

    Mimi siyo CHAWA wa chama chochote lakini nitoe pongezi Kwa viongozi wa CHADEMA kwani kazi Yao ni kazi iliyotukuka. CHADEMA wanaonekana ni wanaharakati uchwara kwasabab ya upeo mdogo wa akili wa WATANZANIA tulio wengi. Familia za viongozi wakubwa wa CHADEMA hazipo NCHINI na hazina njaa lakini...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Teuzi na tenguzi ni chanzo cha uchawa na ukosekanaji wa uzalendo

    Binafsi naona kuna haja ya kupitia upya swala la maswala ya teuzi. Rais hapaswi kuwa na power Pana namna hiyo ya kuteua na kutengua kiasi hiki. Ningeshauri kwa positions nyeti kama za kiusalama (tiss na police na jeshi) hapa power irudishwe Kwa wananchi Yani kuwe na kampeni kabisa watu wanadi...
  8. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Trump anaipambania Marekani kwa faida ya kina nani, mbona hata Ibrahim Traore anaonekana kumshinda uzalendo?!

    Niaje wakuu Leo ningependa kujua haya anayoyafanya Trump sasa ivi hapa duniani na nchini kwake kwa ujumla anayafanya kwa faida ya nani? 1. Nchi? 2. Wananchi 3. Au yeye na genge lake? Nauliza hivi kwa sababu toka amekamata wahamiaji, na kuwarudisha kwao kwa nguvu hakuna mabadiliko yoyote ya...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania FT: Al Masry SC 2-0 Simba SC | Robo Fainali CAF CC | New Suez Stadium | 02.04.2025

    Mnyama Simba SC anaanzia ugenini Misri kwa kuvaana na Al Masry SC katika mechi ya mkondo wa kwanza ya Robo Fainali ya Shirikisho Afrika. Mchezo huu unapigwa saa 1:00 usiku 🏟️ New Suez Stadium Kaa karibu kwa Live updates Vikosi vya timu zote (Team news) Mechi imeanza 4' Mashambulizi kwa...
  10. P J O

    JamiiForums Tanzania Tanzania uzalendo ni sifuri

    Umewahi kununua Bendera ya Tanzania kuweka ghetto au kwenye gari? Umewahi kufanya maandamani ya amani ya kumbukizi ya uhuru ukiwa na shati hata ya Tanzania? Wimbo wa taifa mara ya mwisho kuuimba ilikua lini? Sherehe za kimkoa za uzalendo, nje ya zile za chama lini umewahi kushiriki? Je...
  11. Infropreneur

    JamiiForums Tanzania Uzalendo ni kwa ajili ya watu maskini. Patriotism is for the poor people.

    Penda nchi yako! Jivunie nchi yako! Thamini nchi yako! Tangaza nchi yako! Kuwa mzalendo wa nchi yako! Kauli kama hizi si ngeni midomoni mwa wanasiasa na viongozi barani Afrika wanaokula kwa mrija, huku wakiwahubiria uzalendo raia wao ambao wengi ni maskini choka mbaya pangu pakavu tia mchuzi...
  12. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Global Peace Foundation (GPF) Tanzania Wazindua Mradi wa Jamii Shirikishi Katika Uzalendo na Ulinzi

    "Tunaamini ndani ya ushirikiano na tunapongeza taasisi ya Global Peace Foundation na ubalozi wa Uholanzi nchini Tanzania kwa kufadhili mradi huu wa “Jamii Shirikishi katika Uzalendo na Ulinzi”. ~ Mh Victoria Mwanziva, Mkuu wa Wilaya ya Lindi. "Sisi kama viongoizi hatutakuwa vikwazo, na...
  13. Arafati Kilongola

    JamiiForums Tanzania “Klabu ya Uzalendo: Daraja la Kuimarisha Maadili, Mshikamano, na Uongozi wa Kesho”

    Ndugu wanajamii, Katika mazingira ya sasa, uzalendo na maadili ya Taifa yamekuwa masuala muhimu sana yanayohitaji kufanyiwa kazi kwa bidii, hasa miongoni mwa vijana. Kama taifa, tunahitaji kizazi kinachothamini maadili, mshikamano, na uwajibikaji kwa maendeleo ya jamii. Kutokana na hali hii...
  14. Arafati Kilongola

    JamiiForums Tanzania Klabu ya Uzalendo: Daraja la Kuimarisha Maadili, Mshikamano, na Uongozi wa Kesho

    Ndugu wanajamii, Katika mazingira ya sasa, uzalendo na maadili ya taifa yamekuwa masuala muhimu sana yanayohitaji kufanyiwa kazi kwa bidii, hasa miongoni mwa vijana. Kama taifa, tunahitaji kizazi kinachothamini maadili, mshikamano, na uwajibikaji kwa maendeleo ya jamii. Kutokana na hali hii...
  15. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Kongamano la Mwinyi Baraka: Uislam na Uzalendo

    https://youtu.be/vMA8MAZBB2Y?si=RWfDDfmV8WrzNacW
  16. Arafati Kilongola

    JamiiForums Tanzania Tuwalee vijana kwa uzalendo: Wazo la kuanzisha klabu za uzalendo katika shule za Sekondari

    Ndugu wanajamii, Kama kijana mwenye mapenzi makubwa kwa taifa langu, nimebuni wazo la kuanzisha Klabu ya Uzalendo Mashuleni. Lengo kuu ni kuwajengea wanafunzi maadili, uzalendo, na dhamira ya kuchangia maendeleo ya taifa letu. Klabu hiii zinalenga: 1. Kukuza uzalendo kupitia elimu ya...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Uzalendo kwanza:Tunaomba 'CAF' wairuhusu Simba iwape Yanga alama mbili ili wafuzu kuingia robo fainali!

    Habari wana jukwaa... Kwa heshima na taadhima tunaliomba shirikisho linalosimamia mpira wa miguu Afrika 'CAF' waturuhusu tuwape utopolo alama mbili Ili wafuzu hatua ya robo fainali. Yanga atakuwa na jumla ya alama kumi ambazo zitaiwezesha timu hiyo kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa...
  18. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Konganano la Mwinyi Baraka: Uislam, Waislam na Uzalendo

    https://youtu.be/flAHcqxtR2s?si=PHKyLVAvpsOunFa5
  19. The Supreme Conqueror

    JamiiForums Tanzania Nimeitazama hii video ya Hayati Reginald Mengi ni tajiri aliyekuwa na Uzalendo na Uchungu na Taifa hili tofauti na wengine wanaotumika kuhujumu Nchi

    Hii video inajieleza kwa mengi sana japo alikuwa na makando kando yake ya kibiashara hasa figisu za masoko kwa wafanya biashara wenzake ambapo katika ushindani wa soko kwa Wafanya biashara ni jambo la kawaida. Lakini hapa ukimsikiliza Mengi alikuwa na uchungu kwa namna Taifa letu lilivyokuwa...
  20. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Mafunzo ya JKT yanaleta uzalendo?

    Inawezekana sijui kwa usahihi tafsiri sahihi ya neno uzalendo. Lakini najua dhima mojawapo ya kuwepo kwa mafunzo ya JKT ni kujenga uzalendo kwa vijana wa Tanzania! Hilo lengo limefikiwa? Mimi naamini Mzalendo hachukui rushwa. Naamini Mzalendo hawezi kuihujumu nchi yake! Lakini mbona kuna watu...
Back
Top Bottom