Hela mwanaharamu, zinanunua mapenzi
Utapata mautamu, bila hata ya hirizi
Shingoni atakuchumu na tabasamu la kiwizi
Atasema bby tamu, na yatamtoka machozi
Bby wew mtaalam, tena anamwaga radhi
Bby unanipa hamu, anakupa na pongezi
Kumbe mwana haramu, anajifanya mwanafunzi
Jaman nyie mademu, wanaume...
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.