usingizini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. econonist

    Ushauri kwa Simba: Kipigo Cha Leo kitutoe usingizini.

    Naomba kuwapa pole mashabiki wa Simba kwa kipigo Cha Leo. Sio lelemama. Kutokana na kipigo hicho Simba inatakiwa ikitumie kipigo hicho Kama changamoto ya mabadiliko. Ila Simba Kama Klabu ikichukulia kipigo hiki Kama kawaida, basi yatakuja makubwa zaidi. Naomba nishauri yafuatayao: 1. Kwanza...
  2. S

    Kungekuwa na sumu ya kujidunga kisha unakufa usingizini wengi tungeshatoweka duniani

    Hali ya maisha ni ngumu sana Kuna wakati unatamani hata kungekua na simu ambayo unajidunga wakati unaingia kulala kisha inakuondoa baada ya masaa matatu baada ya kupitiwa na usingizi Tatizo tunawaza wanaotutegemea tutawaacha kwenye hali gani Unakuta familia inakutegemea lakini wewe...
  3. Money Penny

    Unaruhusiwa kunipenda, ila usinibake usingizini...

    heylo guys! nawashukuru sana mnaosoma hadithi zangu nawapenda mno, la mwisho: Wote nawapenda Wote mnaruhusiwa kunipenda, Mungu ameagiza tupendane na kumpenda jirani yako Ila naomba wale wanaoenda extra mile ya kunipenda msiniote maana hizo ndoto ndio naziogopa, I love you tooo turubbo Thank...
  4. Mnada wa Mhunze

    Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu

    Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya... Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyonayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO. Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa...
  5. S

    Tatizo la Kupiga kelele usingizini na kujing'ata ndani ya mdomo

    Hilo tatizo mhusika anapiga kelele usingizini na hata kujing'ata ndani ya mdomo kwa magego. Pia anaweza kujiumiza kwa kujigonga kitandani maana husumbuka. Naomba mwenye ufahamu wa tiba atoe msaada. Asante.
  6. FRANCIS DA DON

    Maajabu: Niliamka katikati ya ndoto lakini bado nikabaki usingizini, na nikijaribu kujiamsha inashindikana kabisa

    Baada ya kujaribu mara kadhaa ili niamke na kushindikana nikaona isiwe tabu, wacha nitulie tu labda nitaamka mwemyewe tu, lakini ikawa inashindikana. Baada ya kuwaza kidogo, nikaona nijaribu ku-imagine naendesha V8 nione itakuwaje, kweli bhana, kugeuza shingo naona V8 nyeusi kalii imeandikwa...
  7. Notorious thug

    Amkata mumewe korodani ya kushoto akiwa usingizini

    Songea. Helena Mchauru (40) Mkazi wa Mabatini Tunduru anashikiliwa na Jeshi la Polisi akidaiwa kumkata mumewe korodani ya kushoto akiwa usingizini. Akizungumza na Mwananchi kamanada wa polisi mkoa wa Ruvuma, ACP Joseph Konyo alisema tukio hilo lilitokea mwishoni mwa mwezi uliopita majira ya...
  8. D

    Wanaokoroma usingizini kumbe na wao huusikilizia mlio wakiamini unatokea kwa jilani

    wanaokoroma kwa sauti usingizini inasadikiwa kwamba hata wao huusikia mlio kwa mbaaali wakiamini kuwa unatoka kwa jilani au sauti ya melodi inayobembeleza, kitendo hiko cha kuamini sauti inatoka kwa jilani huwaburudisha na kuwanogeshea utamu wa usingizi wao kuwa mzito. Hivyo kuwaamusha au...
  9. Nyuki Mdogo

    Hivi kumbe kuna maisha mengine yanaendelea huko Usingizini? Inashangaza sana

    Kila siku huwa nawaza sana hili suala! Nalala nahisi maisha yamesimama mpaka pale ntakapoamka kumbe wapi😅😅 Nimejikuta ndotoni nina mwanamke nisiemjua, nimeshiriki nae mapenzi nikamaliza na nikaendelea kulala nae kitandani. Huyu mwanamke alikuwa amenikatalia lakini nimalazimisha mpaka akatoa...
  10. F

    Mtoto kufa baada ya saa 3 toka kuzaliwa

    Habari wakuu Kuna binti kajifungua salama kwa njia ya kawaida leo saa 10 alfajiri akaruhusiwa kurudi nyumbani punde tu baada ya kujifungua. Aliporudi nyumbani akapumzika kwa kulala yeye na mtoto kwa uchovu wa uzazi. Saa 1 asubuhi akaamka na alipojaribu kumuamsha mtoto alikuta ameshafariki...
Back
Top Bottom