Nebuchadneza
JF-Expert Member
- Oct 6, 2023
- 415
- 1,032
Tumekuwa tukiangalia movies zenye story za kiafrica na kizungu pia, kama
Sisi Tanzania tunastory nzuri sana,yani endapo serikali ikahamka kutoka ndotoni,na wakaamua kweli kuweka hizo story kwa mfumo wa movies watapiga pesa sana, mfano story kama Vita vya Maji Maji na wale wazee wa kichaga kukatwa vichwa.
Mapinduzi ya zanzibar. Story ya mtu wa kale. Kama kweli wakiamua kuzitengenezea movie kali zenye hadhi ya rates zitauzika all over the world.
Tanzania tuna fursa kibao za kupiga pesa ila vichwa vyetu vimejaa mipira ndo maana utashangaa BUNGENI wanazungumzia hamsa ni ujinga wa hadhi ya fly over.
Tubadilike banaaa
- Hotel Rwanda
- Tears of the sun
- Sometimes April
- Border
- Sarafina
- Shaka ilembe
- Roots
Sisi Tanzania tunastory nzuri sana,yani endapo serikali ikahamka kutoka ndotoni,na wakaamua kweli kuweka hizo story kwa mfumo wa movies watapiga pesa sana, mfano story kama Vita vya Maji Maji na wale wazee wa kichaga kukatwa vichwa.
Mapinduzi ya zanzibar. Story ya mtu wa kale. Kama kweli wakiamua kuzitengenezea movie kali zenye hadhi ya rates zitauzika all over the world.
Tanzania tuna fursa kibao za kupiga pesa ila vichwa vyetu vimejaa mipira ndo maana utashangaa BUNGENI wanazungumzia hamsa ni ujinga wa hadhi ya fly over.
Tubadilike banaaa