Wanaokoroma usingizini kumbe na wao huusikilizia mlio wakiamini unatokea kwa jilani

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
wanaokoroma kwa sauti usingizini inasadikiwa kwamba hata wao huusikia mlio kwa mbaaali wakiamini kuwa unatoka kwa jilani au sauti ya melodi inayobembeleza,
kitendo hiko cha kuamini sauti inatoka kwa jilani huwaburudisha na kuwanogeshea utamu wa usingizi wao kuwa mzito.
Hivyo kuwaamusha au kuwatikisatikisa ili wasikorome kwao huwa ni sawa na kuwakata stimu tu.
 
Kuna jamaa yeye alikuaga anajua ni jirani anawashaga ka-jenereta usiku kumbe ni yeye anakoroma na anaskia muungurumo kwa mbali
 
wanaokoroma kwa sauti usingizini inasadikiwa kwamba hata wao huusikia mlio kwa mbaaali wakiamini kuwa unatoka kwa jilani au sauti ya melodi inayobembeleza,
kitendo hiko cha kuamini sauti inatoka kwa jilani huwaburudisha na kuwanogeshea utamu wa usingizi wao kuwa mzito.
Hivyo kuwaamusha au kuwatikisatikisa ili wasikorome kwao huwa ni sawa na kuwakata stimu tu.
Tuwaanzishie kijiji chao
 
wanaokoroma kwa sauti usingizini inasadikiwa kwamba hata wao huusikia mlio kwa mbaaali wakiamini kuwa unatoka kwa jilani au sauti ya melodi inayobembeleza,
kitendo hiko cha kuamini sauti inatoka kwa jilani huwaburudisha na kuwanogeshea utamu wa usingizi wao kuwa mzito.
Hivyo kuwaamusha au kuwatikisatikisa ili wasikorome kwao huwa ni sawa na kuwakata stimu tu.

Kukoroma kunavuruga ndoa pia
 
wanaokoroma kwa sauti usingizini inasadikiwa kwamba hata wao huusikia mlio kwa mbaaali wakiamini kuwa unatoka kwa jilani au sauti ya melodi inayobembeleza,
kitendo hiko cha kuamini sauti inatoka kwa jilani huwaburudisha na kuwanogeshea utamu wa usingizi wao kuwa mzito.
Hivyo kuwaamusha au kuwatikisatikisa ili wasikorome kwao huwa ni sawa na kuwakata stimu tu.
Kwa hiyo, ulishawahi wakinadiligi gear?? Maana yake na wao pale hujisikiaje..sikiliza nguruwe anavyonusa nusa, mlio wa kubadili gia hufanana
 
Snoring....there are myth that if you wake up the Man who snore you will also start to snore....well I don't know if it's true or not.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom