Ushawahi kusikia kitu kinaitwa Ruqyah?,
Ingawa Waislamu wanadai Ruqyah ni njia ya "kukinga na sihirk", ukweli mchungu ni kwamba sehemu kubwa ya sura zinazotumika (kama Surah Al-Falaq, An-Nas, Ayatul Kursi,Surah Al- Jinn) zinasomwa kwa nia ya kuwasiliana na ulimwengu wa majini.
Mfano,Surah...