ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Naomben ushauri natak kwenda chuo na nilikuw natak kusoma mechanical engineering na kama kun cozi nyingin bora ninayowez kujiari mnisaidie

    Kisw B Eng C Geo C Civi C Hist C Bios C Chem C Math D Phys D
  2. Moscow, Urusi: Shambulio la kigaidi laua Watu zaidi ya 130

    Watu 115 waliuawa na zaidi ya 140 kujeruhiwa wakati watu wenye silaha waliposhambulia ukumbi wa tamasha uliojaa watu eneo la pembeni mwa Moscow, Urusi inasema. Moto mkubwa uliteketeza paa la jengo hilo na video ya kusisimua inaonyesha watu waliokuwa kwenye tamasha wakipata hifadhi huku milio ya...
  3. Mdau anaomba ushauri kuhusu tabia ya jirani yake

    Unadili vipi na jirani ambaye hakusalimii wewe ila anamsalimia mkeo?
  4. Ushauri kwa watumishi wa TPA

    Hello! Kutokana na notice mbili za mfululilizo zilizotolewa na uongozi wa Mamlaka ya usimamizi wa Bandari (TPA) nawashauri watumishi wa TPA kutumia akili na kuwa fast. Mambo yananadilika, hakuna mtu au kikundi cha watu kinaweza kushindana na serikali. Acheni kusikiliza watu wa nje, acheni maneno...
  5. K

    PreGE2025 Msipoleta Katiba Mpya, mtatuletea Utawala wa Jeshi huko mbele

    Tatizo la viongozi wengi ni kulewa madaraka bila kusoma nyakati. Msije hata siku mmoja kujidanganya kwamba Watanzania watabaki hivi hivi miaka hii ya mitandao. Serikali isikojirudi na kutengeneza idara imara za kidemokrasia itatoa mwanya huko mbele kama zile nchi tunazoona wananchi wameona...
  6. K

    Kuhusu uchaguzi nashauri kianzishwe kitengo maalumu ya ushauri nasaha kushauri wanaoshindwa

    Uchaguzi halijawahi kuwa jambo dogo Kwa wanaoshindwa duniani kote ,hata aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump aliwahi kulalamika kuchezewa faulo iliyopelekea kushindwa na Joe Biden Rais wa Sasa wa Taifa Hilo lenye demokrasia kubwa zaidi duniani. Kutokana na mfano huo wa Trump na Marekani...
  7. U

    Nifanye nini kupata pesa zangu nilizodhurumiwa na huyu kigogo?..

    Habarini ndugu, kuna mwamba namdai pesa about 100m.. jamaa nilimkopesha na tuliandikishana mkataba. Ni muda mrefu miaka 5 sasa. Nilimpeleka police, lakini haikuzaa matunda kwa kuwa jamaa alikuwa na wadhifa fulani ndani ya chama na kaka yake ni mteule wa raisi hivyo nikagonga mwamba.. nikaenda...
  8. Anaomba ushauri: Dogo anataka kurudi Dar

    Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani. Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi. Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?
  9. D

    Natamani kusoma Mechanical Engineering, naomba ushauri

    Mimi mdogo wenu nimemaliza kidato cha nne mwaka Jana na ufaulu wangu ni kama ifuatavyo Phy D math D chemia C Biology C. Huo ndio ufaul wang na Nia yangu ilikuwa ni kwenda chuo nikasomee mechanical engineering badala ya kwend advance maan combination zinabalance arts na mm Sina Nia ya kusoma arts
  10. K

    Ushauri kwa Waziri wa Ardhi na Makazi: Sikiliza pande zote mbili za mgogoro kabla ya kutoa maamuzi

    Tunakupongeza sana kwa juhudi zako katika kutatua migogoro ya ardhi katika nchi hii lakini ninakushauri uende pole pole na usikilize pande zote mbili yaani mlalamikaji na mlalamikiwa. Juzi ulikuwa hapa Mwanza na uliamuru nyumba ya Wakili msomi kuvunjwa. Wakati nyumba inavunjwa Wakili...
  11. Ushauri: Nataka ninunue baiskeli kwa mazoezi na safari fupi fupi

    Wakuu kwema. Mkazi wa Dar, nataka ninunue baiskeli kwaajili ya mazoezi na siku moja moja hali ya hewa ikiwa nzuri natumia kwenda nayo kazini (3KM kutoka nyumbani). Naomba ushauri wenu, kwa budget ya mwisho Laki 1.5 naweza kupata aina gani ya baiskeli? Itatosha au niongeze?Je kuna brand ya...
  12. Ushauri: Anataka kuchagua sehemu ya kuishi kati ya hizi mbili

    Hataki tena ushauri.....
  13. Ushauri: Anataka kumzuia mkewe asifanye kazi

    Mke wangu amepata kazi mshahara wake ni mkubwa zaidi yangu na mkataba wake unasema atakuwa anatembelea gari ya kampuni wakati mimi sina hata gari. Nataka kumkataza asikubali hiyo kazi, je niko sahihi?
  14. Ushauri wa bure kwa abiria wa Bodaboda; Usipande bodaboda kama...

    Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya MJINI pitia hapa! 1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni...
  15. P

    Nisaidieni ushauri kuhusu pesa ya kujikidhi(boom) niliyokuwa naitunza

    Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, naomba ushauri wenu. Mimi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu hapa Duce nachukua bachelor of science with education biology na geography. (Umri wangu ni miaka 23) Wakuu nimetunza boom toka nipo mwaka wa kwanza hadi sasa na milioni nne na laki Saba kama reserve yangu...
  16. Alianza kusoma BSc In Mechanical Engineering aka-drop out baada ya kuumwa. Je, kuna ofisi private zinazoweza kumpa kazi?

    Kuna kijana hapa alisoma BSc In mechanical Engineering, mwaka wa 3 semister ya 2 akaugua sana akashindwa kuendelea akaomba kuahirisha, mwaka uliofuata akaahirisha tena akae sawa kabisa. Alipotaka kurudi aendelee na masomo chuo walimpokea lakini bodi ya mikopo wakasema hana sifa kuendelea kupata...
  17. Ushauri na msaada; Je asomee kitu gani? Ana D kwa masomo yote kasoro Math's F na Kiswahili C

    Binti ana Four ya 28 (arts pure) sasa anataka kujua anachoweza kusomea >>>Ameambiwa aingie humu achague kozi zinazoendana na ufaulu wake>>> NIT DIT NACTE
  18. Ushauri kwa ndugu yangu!

    Jamaa yangu kaomba ushauri
  19. Jamaa Yupo sahihi?

    "After hustling all your life just to become successful, it will be a taboo to settle for a woman who used her prime jumping for one bed to another while you were busy grinding". "Kings, settle for a virgin"
  20. K

    Ushauri kwa ACT Wazalendo

    Natoa ushauri kwa ACT Mzalendo. Kwa mawazo yangu chama chenu kina nguvu kuliko nyie mnavyo jichukulia. Tatizo lenu ni kukubali kidogo bila kujua mkikomaa vizuri mnaweza kupata zaidi na nitawapa mifano. Kila mtu anajua ACT mlishinda Zanzibar sasa ni kwanini mlikubali kuwa na mawaziri wachache...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…