Ushauri wenu unaitajika,

kigwenje

JF-Expert Member
Sep 13, 2018
235
183
Ipo hivi uyu ni Dada kabisa,anamfalakano kwenye ndoa yake. Yeye alianza na uyu mwanaume toka shuleni,toka wanasoma mpaka sasa, na wamebalikiwa kupata watoto, wawili na uyo mwanamme,yeye ni mfanyabihashara, ya kuuza bizaa kwenye masoko uko mkoani,na anazunguka masoko mbali mbali,kwakweli apo nyuma walikua wanaishi vizuri sana mpaka wakajenga, maisha yalikua pw,sana .Sasa uyu mwanamme akaanza kubadilika,ukawa ndani ugomvi,ahuwishi,pesa aiyonekani,mwanamke akimwambia hivi yeye anajibu vile,yani nimfarakano,sasa ikabidi,mkewe ahanze kumfatilia,mwisho wa siku,akaja akajua,kwamba kapata mwanamke,tena uyo mwanamke,yeye ni mama ntilie,yani mama lishe,tena akaendelea kufunguka kamfanyia madawa,kamchanganyia kwenye chakula ili apendwe,yani tafulani, na pia uyo dada,kafanikisha kupata namba ya uyo muhizi wa mume wake, na pia uyo muhizi wake,yeye uyo dada,alishatonywa na mama mmoja,walionekana nyumba za kulala wageni,yani kwakifupi uzibitisho ni mkubwa sana.Na mpaka sasa uyo dada kakimbia ndoa yake,yupo,kwa shangazi yake, na watoto amemuachia mume, pamoja na mwanaume anamuomba aludi, yeye nafsi inakataa,kabisha kuludi, sasa wanajamvi,ushauri wenu unaitajika apa, kwenye jukwaa, ukijiona uwezi toa ushauli upite,asanteni
 
Ipo hivi uyu ni Dada kabisa,anamfalakano kwenye ndoa yake. Yeye alianza na uyu mwanaume toka shuleni,toka wanasoma mpaka sasa, na wamebalikiwa kupata watoto, wawili na uyo mwanamme,yeye ni mfanyabihashara, ya kuuza bizaa kwenye masoko uko mkoani,na anazunguka masoko mbali mbali,kwakweli apo nyuma walikua wanaishi vizuri sana mpaka wakajenga, maisha yalikua pw,sana .Sasa uyu mwanamme akaanza kubadilika,ukawa ndani ugomvi,ahuwishi,pesa aiyonekani,mwanamke akimwambia hivi yeye anajibu vile,yani nimfarakano,sasa ikabidi,mkewe ahanze kumfatilia,mwisho wa siku,akaja akajua,kwamba kapata mwanamke,tena uyo mwanamke,yeye ni mama ntilie,yani mama lishe,tena akaendelea kufunguka kamfanyia madawa,kamchanganyia kwenye chakula ili apendwe,yani tafulani, na pia uyo dada,kafanikisha kupata namba ya uyo muhizi wa mume wake, na pia uyo muhizi wake,yeye uyo dada,alishatonywa na mama mmoja,walionekana nyumba za kulala wageni,yani kwakifupi uzibitisho ni mkubwa sana.Na mpaka sasa uyo dada kakimbia ndoa yake,yupo,kwa shangazi yake, na watoto amemuachia mume, pamoja na mwanaume anamuomba aludi, yeye nafsi inakataa,kabisha kuludi, sasa wanajamvi,ushauri wenu unaitajika apa, kwenye jukwaa, ukijiona uwezi toa ushauli upite,asanteni



Kama huyo mwanamke Ana umri kuanzia 30s mwambie ayajenge na Mme wake kwa utulivu


Huo umri 30s akiingia mtaani anakuwa singo maza, mshangazi na ataishia kuwa depressed woman na mwisho hatashindwa hata kulea watoto wake katika mazingira bora.


pia ili tutoe ushauri mzuri mpaka tumsikilize na huyo mwanaume wake
 
Mwanamke kumkimbia mwanaume kisa anatoka na mwanamke mwengine huo ni udhaifu wao.... Hakupaswa kukimbia, yeye ni dhaifu... Alitakiwa apambane aone nini kitatokea
 
kama ilivyo kwa nchi kutoingilia mambo ya nchi nyingine
hatuingilii mambo ya familia ya watu. wayamalize wenyewe
 
Ushsuri wangu;Mleta uzi ufuate kanuni za uandishi baada ya kujua kuandika vema kwa lugha ya kiswahili.
NB;Njoo nikupatie kitabu kiitwacho..."Someni kwa furaha"...!Utasoma jinsi Makari alivyo hodari.
 
uyu...anamfalakano...uyu...wamebalikiwa...uyo mfanyabihashara... bizaa...uko mkoani... apo nyuma...ugomvi,ahuwishi...pesa aiyonekani...mwanamkeahanze...namba ya uyo muhizi wa mume...na pia uyo muhizi wake...yeye uyo dada... uzibitisho....uyo dada...aludi...kuludi...unaitajika apa, ukijiona uwezi toa ushauli upite...
Kwa uandishi huu yawezekana wewe ni huyo mama ntilie.

Jitahidi sana usivunje hiyo ndoa ya hao wapendwa maana gharama yake itakuwa kubwa sana kwako. Angalau waonee huruma hao watoto watakavyoteseka.

#HayanagaMwongozo 📌📌📌
 
Back
Top Bottom