Maadui wa Israeli hawako salama popote.
Kiongozi wa Namba 1 wa Hamas, Sinwar, aliangamizwa Gaza 🇵🇸.
Kiongozi wa namba 2 wa Hamas, Haniyeh, aliangamizwa Iran 🇮🇷.
Kiongozi nambari 1 wa Hezbollah, Nasrallah, aliondolewa nchini Lebanon 🇨🇦. Israeli itaendelea kuwawinda magaidi popote walipo!!