Habari wakuu,, Salamu ki ufupi tuu,
Leo nilienda kwenye Ibada katika kanisa la arise and shine, Kwa Imani yangu Mimi binafsi ninamkubali sana Tena sana huyu bwana Bulldoza mwamposa.( Kila MTU na Imani yake kwa hili tusilijadili)
Kama kawaida baada ya Ibada kuisha Kuna jambo moja kwangu...