Hizbullah yaitwanga tena kwa makombora Israel, Wazayuni wakimbia kwa umati

Malaria 2

JF-Expert Member
Oct 17, 2023
2,639
3,917
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya utawala wa Kizayuni kama sehemu ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.
Televisheni ya al Mayadeen imevinukuu vyombo vya habari vya Kizayuni vikitangaza kuwa, miji na vijiji vyote vya eneo la al Khalil al A'laa pamoja na kituo kikuu cha komandi kuu ya kijeshi ya Israel wamekimbia eneo hilo kwa kuhofia mashambulizi ya wanamapambano wa Kiislamu. Vyombo hivyo vya Israel vimesema, hadi hivi sasa haijawahi kutokea wimbi kubwa kiasi hiki cha Wazayuni kukimbia maeneo yao tangu ulipounda utawala pandikizi wa Kizayuni zaidi ya miaka 75 iliyopita.
Vyombo hivyo vya Kizayuni vimesema, tangu Hizbullah ya Lebanon ilipoanzisha mashambulizi ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza, makumi ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na mpaka wa Lebanon vimebaki vitupu bila ya watu. Lakini kuondoka kikamilifu watu wote katika miji ya eneo la al Khalil al A'laa ni jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia yote ya utawala wwa Kizayuni wa Israel.

4c3q41086d84102dko1_800C450.jpg

Huku hayo yakiripotiwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeendelea kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya Israel ikiwa ni kuwaunga mkono wanamapambano wa Palestina wanaendesha mapambano ya kishujaa kwenye Ukanda wa Ghaza pamoja na wananchi madhlumu lakini wenye nguvu na subira kubwa wa ukanda huo.
Taarifa zinasema kuwa, jana pia Hizbullah iliitwanga kwa makombora kambi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Televisheni ya al Mayadeen imetangaza katika ripoti yake nyingine kwamba, Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za Israel za kushambulia hospitali za Ukanda wa Ghaza kwa kuipiga kwa makombora kambi ya kijeshi ya al Asi ya utawala wa Kizayuni, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
 

Attachments

  • 1699674128636.png
    1699674128636.png
    231.5 KB · Views: 5
Hivi ni nani aliyetoa wazo la kwenda kuanzisha nchi ya Israel juu ya ardhi ya waarabu? Ha kama alikuwa amevuta bangi alikuwa chizi. Waarabu na wafilisti ni watu wa visasi na hawasahau vizazi vyao vyote kwa chuki. 1948 wangekuja kuiteka uganda wakajenga juu yake wala kusingekuwa na shida kubwa kama hii ya sasa hivj.
Hakuna namn a yeyote Israeli wataweza wamaliza Palestina.
 
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya utawala wa Kizayuni kama sehemu ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.
Televisheni ya al Mayadeen imevinukuu vyombo vya habari vya Kizayuni vikitangaza kuwa, miji na vijiji vyote vya eneo la al Khalil al A'laa pamoja na kituo kikuu cha komandi kuu ya kijeshi ya Israel wamekimbia eneo hilo kwa kuhofia mashambulizi ya wanamapambano wa Kiislamu. Vyombo hivyo vya Israel vimesema, hadi hivi sasa haijawahi kutokea wimbi kubwa kiasi hiki cha Wazayuni kukimbia maeneo yao tangu ulipounda utawala pandikizi wa Kizayuni zaidi ya miaka 75 iliyopita.
Vyombo hivyo vya Kizayuni vimesema, tangu Hizbullah ya Lebanon ilipoanzisha mashambulizi ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza, makumi ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na mpaka wa Lebanon vimebaki vitupu bila ya watu. Lakini kuondoka kikamilifu watu wote katika miji ya eneo la al Khalil al A'laa ni jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia yote ya utawala wwa Kizayuni wa Israel.

4c3q41086d84102dko1_800C450.jpg

Huku hayo yakiripotiwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeendelea kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya Israel ikiwa ni kuwaunga mkono wanamapambano wa Palestina wanaendesha mapambano ya kishujaa kwenye Ukanda wa Ghaza pamoja na wananchi madhlumu lakini wenye nguvu na subira kubwa wa ukanda huo.
Taarifa zinasema kuwa, jana pia Hizbullah iliitwanga kwa makombora kambi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Televisheni ya al Mayadeen imetangaza katika ripoti yake nyingine kwamba, Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za Israel za kushambulia hospitali za Ukanda wa Ghaza kwa kuipiga kwa makombora kambi ya kijeshi ya al Asi ya utawala wa Kizayuni, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Wazayuni wapigwe mawe
 
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya utawala wa Kizayuni kama sehemu ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.
Televisheni ya al Mayadeen imevinukuu vyombo vya habari vya Kizayuni vikitangaza kuwa, miji na vijiji vyote vya eneo la al Khalil al A'laa pamoja na kituo kikuu cha komandi kuu ya kijeshi ya Israel wamekimbia eneo hilo kwa kuhofia mashambulizi ya wanamapambano wa Kiislamu. Vyombo hivyo vya Israel vimesema, hadi hivi sasa haijawahi kutokea wimbi kubwa kiasi hiki cha Wazayuni kukimbia maeneo yao tangu ulipounda utawala pandikizi wa Kizayuni zaidi ya miaka 75 iliyopita.
Vyombo hivyo vya Kizayuni vimesema, tangu Hizbullah ya Lebanon ilipoanzisha mashambulizi ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza, makumi ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na mpaka wa Lebanon vimebaki vitupu bila ya watu. Lakini kuondoka kikamilifu watu wote katika miji ya eneo la al Khalil al A'laa ni jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia yote ya utawala wwa Kizayuni wa Israel.

4c3q41086d84102dko1_800C450.jpg

Huku hayo yakiripotiwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeendelea kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya Israel ikiwa ni kuwaunga mkono wanamapambano wa Palestina wanaendesha mapambano ya kishujaa kwenye Ukanda wa Ghaza pamoja na wananchi madhlumu lakini wenye nguvu na subira kubwa wa ukanda huo.
Taarifa zinasema kuwa, jana pia Hizbullah iliitwanga kwa makombora kambi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Televisheni ya al Mayadeen imetangaza katika ripoti yake nyingine kwamba, Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za Israel za kushambulia hospitali za Ukanda wa Ghaza kwa kuipiga kwa makombora kambi ya kijeshi ya al Asi ya utawala wa Kizayuni, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
hilo ni jambo jema ili ipatikane sababu ya kumsawazisha baada ya kumalizana na hamas. though hezbollah na huth wanajitahidi sana kutaka kumpotezea raman israel badala ya kumaliza kabisa gaza awageukie wao. sasa israel anawaacha tu hataki wampotezee focus. wao kama wababe, wasiwe wanarusha moja, lingine wiki ijayo, wafululize asubuhi, mchana jioni kurusha rocket waone kitatokea nini. ukiona israel aanakuja anapiga pale ilipotoka roketi na kurudi kuendelea na gaza jua hao hawana madhara sana kwake na amewadharau.
 
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya utawala wa Kizayuni kama sehemu ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.
Televisheni ya al Mayadeen imevinukuu vyombo vya habari vya Kizayuni vikitangaza kuwa, miji na vijiji vyote vya eneo la al Khalil al A'laa pamoja na kituo kikuu cha komandi kuu ya kijeshi ya Israel wamekimbia eneo hilo kwa kuhofia mashambulizi ya wanamapambano wa Kiislamu. Vyombo hivyo vya Israel vimesema, hadi hivi sasa haijawahi kutokea wimbi kubwa kiasi hiki cha Wazayuni kukimbia maeneo yao tangu ulipounda utawala pandikizi wa Kizayuni zaidi ya miaka 75 iliyopita.
Vyombo hivyo vya Kizayuni vimesema, tangu Hizbullah ya Lebanon ilipoanzisha mashambulizi ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza, makumi ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na mpaka wa Lebanon vimebaki vitupu bila ya watu. Lakini kuondoka kikamilifu watu wote katika miji ya eneo la al Khalil al A'laa ni jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia yote ya utawala wwa Kizayuni wa Israel.

4c3q41086d84102dko1_800C450.jpg

Huku hayo yakiripotiwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeendelea kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya Israel ikiwa ni kuwaunga mkono wanamapambano wa Palestina wanaendesha mapambano ya kishujaa kwenye Ukanda wa Ghaza pamoja na wananchi madhlumu lakini wenye nguvu na subira kubwa wa ukanda huo.
Taarifa zinasema kuwa, jana pia Hizbullah iliitwanga kwa makombora kambi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Televisheni ya al Mayadeen imetangaza katika ripoti yake nyingine kwamba, Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za Israel za kushambulia hospitali za Ukanda wa Ghaza kwa kuipiga kwa makombora kambi ya kijeshi ya al Asi ya utawala wa Kizayuni, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Waongopee hao hao wa Vigwaza wenzio. Israel inamalizia malizia Gaza aichukuwe yote iwe yake. Usijipe matumaini kuwa Gaza itarudi tena hilo halipo
 

Attachments

  • 45892C7B-E104-42FB-9793-BC214F53301A.jpeg
    45892C7B-E104-42FB-9793-BC214F53301A.jpeg
    13.7 KB · Views: 8
  • 44739F07-38C2-4E08-A82D-5DF55837CDCA.jpeg
    44739F07-38C2-4E08-A82D-5DF55837CDCA.jpeg
    10.4 KB · Views: 5
  • CFDC872E-3751-4E9C-B4CB-060FE76BBE23.jpeg
    CFDC872E-3751-4E9C-B4CB-060FE76BBE23.jpeg
    18.5 KB · Views: 5
  • 412149D4-45DE-4F06-A179-FF1EFDACF3BF.png
    412149D4-45DE-4F06-A179-FF1EFDACF3BF.png
    39.2 KB · Views: 6
  • DF39A90D-F385-478B-8BA4-087E3AFF2430.jpeg
    DF39A90D-F385-478B-8BA4-087E3AFF2430.jpeg
    15.7 KB · Views: 7
  • 6EC63E6B-10DE-4012-B1B0-1051C3D70BAA.jpeg
    6EC63E6B-10DE-4012-B1B0-1051C3D70BAA.jpeg
    13.6 KB · Views: 6
Hospital ya Makao makuu ya Hamas huenda ikashushiwa Kitu Kizito sana
Jamaa awabahatishi. Na inavyoonekana ata mateka wapo nao humo chini ya hospital pamoja na mabosi wa Hamas. Walichokuwa wanafanya for all last week ni kuziba na kubomoa mahandaki yalio na njia za kutoka. Hamas wanatumia oxygen system za hospital hii ambayo sasa ipo mikononi mwa Israel. Ndani Ntiti nje ntiti
 

Attachments

  • 4425E681-0436-46BB-ADDF-DDD15E8D2FF8.gif
    4425E681-0436-46BB-ADDF-DDD15E8D2FF8.gif
    620.3 KB · Views: 8
  • 8D3484AD-869F-466A-8F1A-DECE2F617749.jpeg
    8D3484AD-869F-466A-8F1A-DECE2F617749.jpeg
    41.6 KB · Views: 4
  • F64E5D36-8DDD-4D07-B016-D95D58C22B6B.png
    F64E5D36-8DDD-4D07-B016-D95D58C22B6B.png
    39.2 KB · Views: 4
hilo ni jambo jema ili ipatikane sababu ya kumsawazisha baada ya kumalizana na hamas. though hezbollah na huth wanajitahidi sana kutaka kumpotezea raman israel badala ya kumaliza kabisa gaza awageukie wao. sasa israel anawaacha tu hataki wampotezee focus. wao kama wababe, wasiwe wanarusha moja, lingine wiki ijayo, wafululize asubuhi, mchana jioni kurusha rocket waone kitatokea nini. ukiona israel aanakuja anapiga pale ilipotoka roketi na kurudi kuendelea na gaza jua hao hawana madhara sana kwake na amewadharau.
Hakika
 
Hivi ni nani aliyetoa wazo la kwenda kuanzisha nchi ya Israel juu ya ardhi ya waarabu? Ha kama alikuwa amevuta bangi alikuwa chizi. Waarabu na wafilisti ni watu wa visasi na hawasahau vizazi vyao vyote kwa chuki. 1948 wangekuja kuiteka uganda wakajenga juu yake wala kusingekuwa na shida kubwa kama hii ya sasa hivj.
Hakuna namn a yeyote Israeli wataweza wamaliza Palestina.
Kumbe kwa hii sababu sioni ubaya kwa israel kuiteketeza Gaza wawauwe wote ili baadaye wawe salama.
 
Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimetangaza kuwa, wakazi wa miji na vitongoji vya walowezi wa Kizayuni vilivyoko kwenye mpaka wa Lebanon wanakimbia kwa umati kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Israel sambamba na kuendelea Hizbullah ya Lebanon kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya utawala wa Kizayuni kama sehemu ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza.
Televisheni ya al Mayadeen imevinukuu vyombo vya habari vya Kizayuni vikitangaza kuwa, miji na vijiji vyote vya eneo la al Khalil al A'laa pamoja na kituo kikuu cha komandi kuu ya kijeshi ya Israel wamekimbia eneo hilo kwa kuhofia mashambulizi ya wanamapambano wa Kiislamu. Vyombo hivyo vya Israel vimesema, hadi hivi sasa haijawahi kutokea wimbi kubwa kiasi hiki cha Wazayuni kukimbia maeneo yao tangu ulipounda utawala pandikizi wa Kizayuni zaidi ya miaka 75 iliyopita.
Vyombo hivyo vya Kizayuni vimesema, tangu Hizbullah ya Lebanon ilipoanzisha mashambulizi ya kuwaunga mkono wananchi wa Ghaza, makumi ya vitongoji vya walowezi wa Kizayuni karibu na mpaka wa Lebanon vimebaki vitupu bila ya watu. Lakini kuondoka kikamilifu watu wote katika miji ya eneo la al Khalil al A'laa ni jambo ambalo halijawahi kutokea katika historia yote ya utawala wwa Kizayuni wa Israel.

4c3q41086d84102dko1_800C450.jpg

Huku hayo yakiripotiwa, harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeendelea kuyapiga kwa makombora maeneo tofauti ya Israel ikiwa ni kuwaunga mkono wanamapambano wa Palestina wanaendesha mapambano ya kishujaa kwenye Ukanda wa Ghaza pamoja na wananchi madhlumu lakini wenye nguvu na subira kubwa wa ukanda huo.
Taarifa zinasema kuwa, jana pia Hizbullah iliitwanga kwa makombora kambi ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni huko kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.
Televisheni ya al Mayadeen imetangaza katika ripoti yake nyingine kwamba, Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za Israel za kushambulia hospitali za Ukanda wa Ghaza kwa kuipiga kwa makombora kambi ya kijeshi ya al Asi ya utawala wa Kizayuni, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Kila siku hali inakuwa mbaya na wakubwa wadunia baada ya kusuluhisha wanaamua kusupport upande mmoja na mpaka kufikia hatua ya kuwapa msaada wa silaha.

UN kama kawaida yako yupo yupo tu hana makali anaishia kulalamika.
 
Hamas ni majoga yanajificha hospital za raia...kama ndio shield yao ....raia wote wanaombwa watoke humo ......ngoma wanashusha kutu kizito walio mahandaki watajua .........ndio kaburi lao milele
 

Attachments

  • 35C9FCD9-E415-4276-9A07-5B9D33134D63.jpeg
    35C9FCD9-E415-4276-9A07-5B9D33134D63.jpeg
    84.9 KB · Views: 4

Similar Discussions

Back
Top Bottom