Mama zetu, wanawake watu wazima, ambao hata biblia imewaasa kukaa na mabinti kuwafundisha juu ya kuomba na kuomboleza...ni muda umefika sasa wa kuwaambia binti zao ukweli wote.
Mimi sio writer mzuri naomba mnivumilie. Muwaambie mabinti mambo yafuatayo.
1. Kwenye mahusiano mpaka ndoa mabinti...