Sasa tunaingia kwenye kesi ya pili ya Uhaini
Hakimu anaingia ile sauti ya askari courtttttttttt inasikika
Watu wote wanasimama, Hakimu anaketi then kila mtu anaketi.
Anasimama Karani wa Mahakama anasoma kesi namba PI no. 8607/2025 Rvs Tundu Lissu
Hakimu wa kesi hii anaitwa Mh. Kiswaga...