Je, una ndoto za kusoma nje ya nchi hususan Sweden? Niulize swali nitakujibu ninachokifahamu

Heaven Seeker

JF-Expert Member
May 12, 2017
478
1,046
Amani iwe nanyi Wakuu,

Maisha ya sasa imekuwa adimu binadamu kumtendea wema binadamu mwingine. Imekuwa ni nadra sana kumsaidia mtu mwingine hata tu kwa mawazo. Yaani wivu, utapeli, chuki na mambo mengine mabaya yanayofanana na hayo imekuwa ndio sehemu ya walio wengi. Imekuwa ngumu zaidi kupeana "michongo" ya hapa na pale.

Namshukuru Mungu, hata kabla sijafika Ulaya nikiwa home kwetu huko kijijini ndanindani ñilitamani siku moja Dunia iwe sehemu ya kukaliwa na watu wenye Tabia njema, wenye kuaminiana na kupendana. Hasahasa kupeana michongo ama kuhabarishana kuhusu mambo kadha wa kadha. Msukumo wa mambo haya upo ndani yangu, na ninafurahia kuwatendea mema binadamu wengine siku zote. Wakifanikiwa ndio furaha yangu.

Huko nyuma nimewahi kuleta uzi wa kutoa taarifa kwa wahitaji kuhusu fursa ya kimasomo Sweden hasahasa Scholarship ktk level ya Masters. Ni matuamaini yangu kuwa nilijitahidi kujibu maswali kadri yalivyoulizwa.

Ila si mbaya siku ya leo tena nikakumbushia jambo lilelile; ama huenda unahitaji kujua wenzetu Ulaya wanaishije. Nimeishi Sweden kwa miaka miwili sasa. Nilibahatika kufika kutokana na Scholarship niliyoipata mwaka 2019.

Kwa sasa nimehitimu salama masomo yangu. Na sasa nina muda mzuri wa kujibu maswali ya wadau hapa jukwaaani. Nitatumia uzoefu na uelewa wangu wa machache niliyonayo kujibu maswali endapo yatajitokeza.

Kama ilivyo ada; sihitaji kulipwa wala kujipatia faida binafsi kwa kuanzisha uzi huu. Naomba maswali yaulizwe hapahapa na nitajitahidi kuyajibu. Niwe muwazi kuwa maswali "personal" ni ridhaa yangu kuyajibu ama kuyaacha. Hivyo ukiuliza swali lenye nature hiyo na usipate majibu naomba unielewe.

Zaidi ya yote, sihitaji kuulizwa au kufuatwa inbox(PM). Naomba niulizwe hapahapa. Wala sihitaji kubadilishana contacts na mtu yeyote. Ikitokea hivyo basi ni nadra sana! Karibuni Wakuu!
 
Mademu wa ki swidish wanatoa mbususu kwa blacks kweli.

Mkuu sie blacks tumebarikiwa nguvu nyingi za kiume.ujue binti wa kizungu anashangaa inaendaje round hata 5 at once.

So huwa wanahitaji kutujaribu.vipi klub zao huko wale wa under 18 wanaenda usiku na waweza nyonya chuchu kidogo na kula mate Mana wazungu sio wachoyo wa mate Kama dada zetu Hawa blacks.
 
napenda sana niongeze elimu yangu kwa level ya master hasa kwenye mambo ya social dev. ila kwa sasa nafanya kazi kwenye ngo moja hivi inayojihusisha na elimu je naweza kupata full scholarship huko na nichuo/vyuo vipi vinaweza kutoa hiyo full scholarship ya social dev kupitia NGO niliyopo sasa?
 
Schalarship znapatkanaje au conneection?
Ni kozi zpi ambazo zinapewa scholarship?
Ni full funded scholarship?
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom