Kuishi bila presha zama hizi ni mtihani mzito. Kila nikiangalia, naona wenzangu wanatamba na maisha ya mikopo, magari, majumba, bata na mademu... mpaka wakati mwingine naanza kujiona mjinga kwa kuchagua kuishi kulingana na uwezo wangu.
Ukiamua kujenga maisha yako taratibu, watu wanakuita...