uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 INEC yatoa Uamuzi wa Rufaa 38, kwa Ubunge zimekubaliwa nne na saba zimekataliwa

    Kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 53 na 65 vya Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024 vikisomwa pamoja na kanuni ya 29(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ilipokea jumla ya rufaa hamsini na moja...
  2. N

    GE2025 ACT Wazalendo: Uchaguzi Mkuu 2025 umekithiri uonevu, mizengwe, na ubabaifu

    Chama cha ACT Wazalendo kimetoa taarifa kikilalamikia misukosuko kinayokutana kwenye michakato ya uchaguzi Mkuu 2025 inayoendelea. "Uchaguzi Mkuu 2025 umekithiri uonevu, mizengwe, na ubabaifu lakini tutaendelea na mapambano." Naibu Mwenezi Taifa Shangwe Ayo
  3. DuaZaMama

    GE2025 Tulia: Reforms zilishaafanyika Bungeni kuwezesha uchaguzi kuwa Huru na Haki

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Uyole, Dkt. Tulia Ackson amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu imefanya marekebisho yatakayowezesha uchaguzi wa mwaka huu kuwa huru na haki zaidi, sawa na maoni ya wananchi. Soma Pia: GE2025 - Tulia achukua Fomu kugombea ubunge Uyole
  4. Robert Heriel Mtibeli

    GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Hamjambo! Sijui hatua gani zichukuliwe lakini kwa ninachokion huku mitaani. Ni wazi siku ya uchaguzi itakuwa siku ya aina yake. Mwaka 2020 nilibahatika siku ya uchaguzi kutembea kuanzia Arusha mjini, Moshi mjini, mwanga Mjini, Same Mjini mpaka nilipofika Makanya kwenye kituo changu cha kupigia...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Geho: ADA TADEA hawana fedha za kuanza kampeni

    Ikiwa ni takribani siku nane tangu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ifungue rasmi dirisha la kampeni za Udiwani, Ubunge na Urais, Chama cha ADA TADEA mkoani Ruvuma bado hakijaanza rasmi kampeni zake kutokana na hali ngumu ya ukata wa fedha. Akizungumza na TVE Habari, Katibu wa ADA TADEA...
  6. tonicimmobility

    GE2025 Wakimaliza kutumbuiza wanapewa bahasha zao halafu wanakuja kutukana mitandaoni kuwa hatufanyi kazi

    Wasanii Diamond Platinum, Rayvany na Ommy Dimpoz wamekuwa kivutio katika mkutano wa kampeni za chama cha Mapinduzi (CCM) zinazofanyika mkoani Mbeya. Soma pia: Rais Samia kugawa bahasha kwa watumbuizaji ni sawa na kununua watu, anatuonesha hakubaliki bila 'zawadi'? Hata hivyo, wakati mastaa...
  7. Waufukweni

    GE2025 Msako magari yenye 'plate number SSH 2530' wanasa 15 Dar

    Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za kukutwa wakitumia namba za SSH 2530 kwenye magari. Kukamatwa kwa watuhumiwa hao ni sehemu ya utekelezaji onyo la kutotumia namba hizo baada ya Septemba Mosi, 2025. Awali, Jeshi la Polisi Tanzania kupitia Msemaji...
  8. tonicimmobility

    GE2025 KIGWEA: Tulipewa TSH. 20,000 ili tuonekane tumejivua CHAUMMA kutoka CHADEMA

    Baadhi wanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (#CHAUMMA) kutoka Jimbo la Segerea wakielezea jinsi walivyorubuniwa na mmoja wa viongozi wa Chama hicho ili waonekane kama wamejiondoa kwenye chama chao na kujiunga na CHADEMA. Soma pia: Ofisi ya CHADEMA Same Magharibi yabadilishwa kuwa ya CHAUMMA
  9. Waufukweni

    GE2025 Bwege: Vyama vyote vya upinzani vilipaswa kuungana kususia uchaguzi kudai reforms

    Kada wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa zamani wa jimbo la Kilwa Kusini Selemani Saidi Bungara (Bwege) amesema anaamini kwamba Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kiko sahihi kusimamia 'No Reforms, No Election' na kwamba vyama vyote vya upinzani nchini ikiwemo chama chake ilipaswa...
  10. tonicimmobility

    GE2025 Samia: CCM inajali utu wa watu

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu amesema Watanzania wanapaswa kukichagua chama hicho kwakuwa kinajali utu wa wananchi. Soma pia: Kazi na utu, elewa maana ya “utu” tanzagiza!
  11. A

    GE2025 Hivi CCM, hekaheka zote hizi za nini kwenye Self election?

    Hii nchi ina vituko sijawahi kuona. CCM inasumbua watu sana huku matawini. As I speak, Nimeshangaa Nimekutana na wanafunzi wameagizwa wafuate vitambulisho vyao vya kura majumbani, wawapelekee walimu. Nikawauliza nyie mmefikisha miaka 18? wakanyamaza. Nikawauliza tena mlijiandikisha na mkapewa...
  12. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea urais (AAFP): Ukifanya Fujo Zanzibar upelekwe Guantanamo

    Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha Wakulima (AAFP) Said Soud, amekiaasa chama cha ACT Wazalendo kuacha kuhamasisha fujo kwa kisingizio cha kura ya mapema kwani kufanya hivyo ni kuonesha kwamba wana uchu wa madaraka. Mgombea huyo ameutaka Umoja wa mataifa, Jumuiya ya madola SADC...
  13. tonicimmobility

    Wenje: Ambao bado wamebaki CHADEMA ni mashujaa

    Kuelekea kilele cha maadhimisho kuwakumbuka mashujaa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Septemba 7 mwaka huu, Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Victoria Ezekiah Wenje, amesema watu wote ambao bado wapo ndani ya chama hicho ni mashujaa. Soma pia: Tuhuma alizozitoa Wenje na majibu...
  14. Waufukweni

    GE2025 Polepole awashangaa viongozi wa CCM kutangaza maridhiano baada ya uchaguzi: 'Turidhiane sasa'

    Aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole, akizungumza kwa njia ya mtandao usiku wa Septemba 3, 2025, amesema, "Turidhiane sasa, na Mtanzania yeyote mwenye mapenzi mema na nchi hii atasimama imara kusema turidhiane sasa na siyo baadaye. Watakaoridhiana baadaye na matendo...
  15. alexjosephat

    GE2025 Komesha ahadi feki kipindi cha kugombea

    Kila mwaka wa uchaguzi, tunaahidiwa miujiza – shule mpya, ajira kwa vijana, hospitali kila kata… lakini ikishapita miaka miwili, hakuna hata kokoto moja iliyosogezwa. Na wananchi tunaambiwa tusubiri. Mpaka lini? Ni muda sasa tuanzishe sheria mpya – sheria ya kuwalazimisha wagombea kutekeleza...
  16. Mkweliii

    GE2025 Mwl. Mbelwa Petro asema ikiwa Rais Samia hatapata 99.9% ya kura zitakazopigwa Biharamulo oktoba 29 ashitakiwe mahakamani

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi, Mwl. Mbelwa Petro baada ya kuidhinishwa na Halmashauri kuu ya chama hicho kuongoza timu ya kampeni ya kusaka kura kwa wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu wa 2025 amesema ikiwa kura za Dkt. Samia Suluhu Hassan hazitafika...
  17. Mkweliii

    GE2025 Mwl. Mbelwa Petro ateuliwa kuongoza timu ya kampeni za CCM Uchaguzi Mkuu 2025

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi, Mwl. Mbelwa Petro ameteuliwa na Chama hicho kuongoza timu ya kampeni ya kusaka kura kwa wagombea wa CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu wa 2025. Akizungumza baada ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo, Mwl. Mbelwa Petro alisema...
  18. Poppy Hatonn

    Polepole,Sauti ya Wananchi na Gwajima ndio wanazuia kupatikana muafaka wa kitaifa

    Watu wanaamini kwamba tarehe 29 Oktoba,wataandamana watabeba bakora,watarusha mawe, halafu eti watazuia Uchaguzi. Watu wanaongea kuhusual maandamano,kuhusu civil disobedience; tutarudi kule kule tulikotoka. Ishara zote zinaonyesha kwamba Uchaguzi utakuwa wa amani. Kukosekana kwa washindani...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Said Soud: ACT Wazalendo hawana uwezo wa kuitoa CCM Madarakani, hivyo AAFP itakubali kumpa ushirikiano Dk. Hussein

    Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha Wakulima (AAFP) Said Soud, amekiaasa chama cha ACT Wazalendo kuacha kuhamasisha fujo kwa kisingizio cha kura ya mapema kwani kufanya hivyo ni kuonesha kwamba wana uchu wa madaraka. Pia Said Soud amewaambia ACT WAZALENDO hawana nuwezo wa kuitoa...
  20. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Cecilia Paresso aeleza sababu za kujiunga CCM ambazo ni pamoja na kuvutiwa na sera pamoja na siasa za maridhiano

    Mwanasiasa machachari na aliyewahi kuwa Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Cecilia Paresso, ambaye pia aliweka nia ya kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivi karibuni, ameeleza sababu za kujiunga na chama hicho ambazo ni...
Back
Top Bottom