uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Chama cha UDP inaendelea kunadi Sera ya Kujaza Watanzania Fedha

    Mgombea wa Urais kupitia Chama cha United Democratic Party (UDP) Saumu Rashidi ameendelea na kampeni zake mkoani Mara na kunadi sera za chama hicho, huku akiahidi kuwajaza fedha mifukoni Watanzania wote kwa kuwafungulia fursa za kiuchumi Soma pia GE2025 - Mgombea Urais UDP: Lengo kubwa ya chama...
  2. tonicimmobility

    Tulia: Yamkini simu ni zao na bando zimeshuka bei watu wanatumia mitandao wanaongea wanayojiskia wao

    Mgombea ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (#CCM) jimbo la Uyole mkoani Mbeya Dkt. Tulia Ackson akiwa katika kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2025 ameeleza namna ambavyo watu wanatumia mitandao kutukana na kuwasema Rais Samia kuwa hajafanya maendeleo ilhali reforms zimefanyika bungeni kwa kutumia...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea ubunge Hai atumia chopa kupita Kata kwa Kata kutambulisha Madiwani

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Hai Mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Saashisha Mafuwe leo Ijumaa Septemba 5,2025 amefanya ziara yakuwatambulisha kwa wajumbe na wanachama wa chama hicho, wagombea wa Udiwani wa Halmashauri ya Hai waliopitishwa na CCM kugombea nafasi hiyo. Saashisha...
  4. Waufukweni

    GE2025 Deo Sanga: Polepole amechanganyikiwa

    Mwenyekiti wa CCM mkoani Njombe, Deo Sanga amesema Humphrey Polepole amechanganyikiwa kutokana na utendaji mzuri wa Rais Samia Suluhu ambao hakuutegemea. Akiongea leo Septemba 05, 2025, mjini Njombe, katika kampeni za mgombea wa Urais wa CCM, aliyekuwa Mbunge wa Makambako, Deo Sanga, amemkosoa...
  5. tonicimmobility

    Almas (NRA): Nitawalipa Watanzania wote GB 200 kama fidia ya bando walizowaibia kwa miaka yote, mkinichagua kuwa Rais

    Mgombea uraisi kupitia ticket ya Chama cha National Reconstruction Alliance (#NRA) Hassan Almas amewaahidi watanzania kuwa baada ya kuwa Rais atawalipa watanzania wote GB 200 kama fidia kwa wizi wa bando uliokuwa ukifanyika miaka yote ya nyuma. Ameyazungumza hayo leo Septemba 05, 2025 alipokuwa...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea Urais Zanzibar kupitia chama AAFP: Msajili afute vyama vinavyoashiria fujo

    Mgombea wa Kiti cha Urais Zanzibar kupitia chama AAFP, Said Soud alisema hayo tarehe 3/09/2025 wakati anamjibu Mgombea wa Urais Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha ACT wa Wazalendo Othaman Masoud Othman anayedaiwa kutoa kauli za kichochezi na kukejeli sheria za...
  7. tonicimmobility

    Mbunge wako ameshawahi kuwasilisha hoja kama hizi bungeni? Utamfananisha na nani hapa Tanzania?

    Mbunge wako ameshawahi kuwasilisha hoja kama hizi bungeni? Huyu ni mmoja wa aliyewahi kuwa mbunge katika bunge la kenya miaka iliyopita na hapa alikuwa akiwasilisha hoja zilizolenga kuboresha huduma za wananchi na maisha yao na kusimama kinyume na mifumo uliyokuwepo ambayo ilikuwa inawanufaisha...
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mgombea wa Urais Chama cha AAFP: Othman Masoud hana uwezo wa kuvaa viatu hata vya chooni vya Marehemu Maalim Seif

    Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha AAFP, Said Soud Said, amemshukia mgombea wa ACT Wazalendo, Othman Masoud, akidai hana uwezo wa kufikia hata kwa mbali hadhi ya kisiasa ya marehemu Maalim Seif Sharif Hamad. Said alitoa kauli hiyo akijibu maneno ya uchochezi na ya kubeza sheria za...
  9. Common Folk

    GE2025 Kenani Kihongosi: Kusafirisha watu ni hoja dhaifu hatuna muda kuijibu

    Hapa inaonekana hakuna proper communication flow kati ya wana kampeni. Ina maana huwa hawafanyi briefing kuambiana nini cha kujibu na nini siyo cha kujibu!
  10. T

    GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Baada ya jitihada za CCM Taifa kumbembeleza Ndugu Jackson Kangoye ajitoe kugombea Ubunge Tarime ili kumrahisishia Esther Matiko kushindikana, Tume ya Uchaguzi isiyo huru imeamua kumeungua mgombea huyo. Esther alimuwekea pingamizi ambalo lilitupiliwa mbali. Na akakata rufaa. Lakini rufaa ya...
  11. Maya Angelou

    Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha. Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa...
  12. tonicimmobility

    GE2025 Mgombea urais CUF aahidi elimu bure hadi Chuo Kikuu

    Mgombea wa urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, ameahidi kuwa endapo atashinda Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu, serikali yake itahakikisha elimu inatolewa bure kuanzia darasa la awali hadi chuo kikuu. Akizungumza jana katika mkutano wa kampeni...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Sio shida wala aibu kwa chama kuwasafirisha wanachama wake

    Akizungumza leo Septemba 5, 2025 mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan akiwa, Tukuyu (Rungwe) mkoani mbeya katika mwendelezo wa kampeni za chama hicho amesema ''Ni hakika lakini hatutoi kutoka Wilaya moja kwenda nyingine, tunatoa ndani ya Wilaya hiyo hiyo,,,siyo aibu kwa Chama...
  14. Stephano Mgendanyi

    GE2025 Dkt Samia: Nawaomba Wanambeya twende tukapigie kura Chama cha Mapinduzi

    TUKAPIGIE KURA CHAMA CHA MAPINDUZI - DKT. SAMIA DKT. SAMIA - NAWAOMBA WANAMBEYA TWENDE TUKAPIGIE KURA CHAMA CHA MAPINDUZI Maelfu ya Wananchi waliojitokeza katika mkutano wa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tiketi ya Urais ambaye ni Dkt. Samia Suluhu Hassan Mbalizi, Mbeya Kwenye Video ni...
  15. Waufukweni

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Yeyote atakayezungumza jambo lolote lenye viashiria vya uvunjifu wa Amani huyo hatufai

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefungua rasmi Soko na Kituo cha Mabasi cha Kisasa Chuini, Wilaya ya Magharibi A, Mkoa wa Mjini Magharibi. Katika hotuba yake, Rais Dkt. Mwinyi ameagiza kuimarishwa kwa usafi, kuzuia biashara nje ya maeneo...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Gombo: Nikiwa Rais namwachia huru Tundu Lissu,Atengeneze katiba mpya

    Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Mhe. Gombo Samandito Gombo, ameahidi kumuachia huru mwanasiasa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, endapo atashinda uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza leo Septemba 4, 2025 katika mkutano wa kampeni...
  17. A

    GE2025 ACT Wazalendo jitoeni kwenye uchaguzi

    ACT wazalendo bado hamjachelewa jitoeni kwenye uchuguzi kwa upande wa Bara. Hamna chochote mnatakachopata kwenye uchaguzi huu, mbele ya hii CCM maslahi. Mtapigwa kila pembe hadi mchakae. Tunajua muhasisi wenu Zitto anawapelekesha kwenye chama chenu, lakini kwa hali inavyokwenda ni vyema...
  18. T

    GE2025 CCM inahitaji vyama shirika vya upinzani kuliko chochote. Tishieni kujitoa kuwa hamuwezi mudu tena ghalama za kampeni. Mtanishukuru

    CCM wana 100b na zaidi. Hawajazipeleka mikoani kusaidia kampeni za wabunge. Zinatumika kwenye timu ya Nchimbi na Samia tu. Kupewa magari, mafuta na posho za madereva haitoshi si unaona hata majukwa ya mbao yamewashinda. Tengeneze umoja wa vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi. Itisheni...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Edwin Kachoma Ajiondoa Kugombea Ubunge Sumbawanga Mjini Kupitia ACT-Wazalendo

    Mgombea wa Chama cha ACT-Wazalendo Jimbo la Sumbawanga Mjini, Edwin Kachoma, ametangaza kujiondoa katika kinyang’anyiro cha Ubunge kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza na waandishi wa habari, Kachoma amesema sababu kuu ya kujitoa ni kukosa ushirikiano kutoka makao makuu ya...
  20. KAOROGOMA

    GE2025 Je kwenye kura watapiga wafuasi wa CCM pekee? Je huu ni uchaguzi wa chama au wa taifa.?

    Ili kuthibitisha kuwa mikutano ya CCM inajaa, ingefaa tuone na mikutano ya CHADEMA. Hapo ndo tungejua kuwa mikutano ya CCM haina watu. Nilihudhuria ufunguzi wa mkutano wa CCM mahali. Kwenye picha ilionekana watu ni wengi sana kwasababu picha zilipigwa tokea mbele. Mkutano ulifanyikia kwenye...
Back
Top Bottom