Wadau hii nchi ipo hapa ilipo kwa sababu viongozi wa kisiasa wengi ni vilaza. Mtu kama Shilole anakuwa mbunge kwa akili gani?
Mtu kama baba Levo akiwa mbunge anaweza kuongoza watu lakini sio kukaa kusoma vifungu vya kimataifa vya mikataba.
Kiukweli inabidi mabadiliko yafanyike lazima tuwe na...
"Vijiji vyote vya Wilaya hii 101 vina umeme na tunaendelea na kazi ya kuunganisha Vitongoji. Mbele tunakokwenda mkitupa ridhaa tunakwenda kumaliza kazi yote Tanzania nzima kila mtu awe na umeme…kwa upande wa elimu, mbali na yaliyofanyika tutaendelea na sera yetu ya elimu bila malipo pamoja na...
Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu amefunguka kuwa "Kuna watu wanakuzodoa, eti CCM imekosea kukuteua, nampa Polepole taarifa CCM, tulisema tunakuhitaji"
Aliyekuwa mbunge wa viti maalumu Mkoa wa Arusha, Cecilia Paresso, amewataka wananchi wa Kilimanjaro kumpa kura za kishindo mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ifikapo Oktoba 29, akisema ameweka mazingira bora kwa wafanyabiashara nchini.
Akizungumza jana Jumatatu...
Wito wangu kwa viongozi wa maeneo mbalimbali, na hasa viongozi wa matawi na mashina, kuhakikisha kila mtu kwenye eneo lake ametoka kwenda kupiga kura. Tukifanya hivyo, tutasema ahadi tunazozitoa zote zitafanya kazi. Tukilala majumbani, wengine wakatoa watu wao kwenda kupiga kura, ahadi zetu...
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan akiendelea na Kampeni ya Uchaguzi Manyoni Mkoani Singida leo tarehe 09 Septemba, 2025 ameahidi kuboresha usikivu wa Redio ya Taifa (TBC Taifa) ili wananchi waweze kupata habari zenye ukweli na uhakika.
Hii ni fedhea, aibu na kuporomoka Kwa ukuaji wa Demokrasia.
Kwa kuwa ni Uchaguzi wa maigizo ata media zinalipoti kiutani utani.
By the way Kuna international observers mwaka huu?
Mto wa Mbu
Mahakama kuu-DSM
---
Bila shaka wanahistoria wanaendelea kukusanya takwimu za namna uchaguzi mkuu wa...
Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi Mjini , kupitia chama cha Mapinduzi (CCM), Ibrahim Shayo amezungumza na Wananchi katika ufunguzi wa Kampeni za ubunge wa jimbo hilo uliofanyika katika Uwanja wa Mandela Kata ya Bomambuzi Manispaa ya Moshi.
Ibrahim Shayo maarufu kama Ibraline ametoa ahadi mbalimbali...
Huu ni umati wa watu waliojitokeza katika kongamano la kuombea uchaguzi mkuu 2025 utakaofanyika oktoba 29 lililoandaliwa na baadhi ya taasisi za kidini katika mji wa kasulu mkoani kigoma leo septemba 9, 2025 kwa lengo la kuombea amani, utulivu na kutoibuka kwa vurugu zozote wakati wote wa...
Akiwa wilayani Bahi mkoani Dodoma leo Jumanne Septemba 09, 2025 kwenye muendelezo wa kampeni zake kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa wanafikiria kujenga mabweni kwa shule za Sekondari...
Shamra shamra za kampeni ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kushika kasi!
Leo magari yenye chata la mtia nia kupitia Jimbo la Arusha Mjini, Paul Christian Makonda yameonekana yakizunguka mitaa mbalimbali ya jiji la Arusha yakitoa hamasa na ishara ya uzinduzi mkubwa wa kampeni.
Soma...
Wazee wa Mila katika eneo la Kalenga Mkoani Iringa wameeleza matumaini makubwa waliyonayo kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba tayari wamemkubali kuendelea na wadhifa wake baada ya Uchaguzi Mkuu.
Pia, wamewaasa vijana kuweka imani kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili waendelee kunufaika na...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelalamikia kile ilichodai kuwa uwepo wa askari wanaovaa kiraia wanaojazana kwenye chumba cha Mahakama huku wananchi (makada wa CHADEMA) waliojitokeza kusikiliza kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Taifa Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya...
Aliyetia nia nafasi ya Ubunge Jimbo la Mbeya Mjini, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Wakili wa kujitegemea Sambwee Shitambala, amekanusha tuhuma za kuhama chama hicho na kwenda Chama kingine cha upinzani kama uvumi unavyosema.
Wakili Shitambala amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa...
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amefikishwa tena leo katika Mahakama Kuu, kwa ajili ya usikilizwaji wa mapingamizi katika kesi ya uhaini inayomkabili.
Leo Septemba 9, 2025 ni mara ya pili kwa kiongozi huyo wa CHADEMA kufikishwa mahakamani hapo, baada ya...
Baada ya Siku kadhaa kupitia aliyekuwa Mgombea wa Ubunge Jimbo la Sumbawanga Mjini kupitia Chama Cha ACT Wazalendo, Edwin Kachoma kutangaza kujitoa katika kinyang'anyiro cha Ubunge kutokana na kutopata ushirikiano kutoka ndani ya chama, hatimaye Uongozi wa Chama Mkoa wa Rukwa umefunguka...
Mhadhiri mwandamizi kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT) kilichopo mkoani Mwanza, Dkt. Dotto Bulendu amesema waandishi wa habari wametekeleza wajibu wao katika kutangaza kampeni kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu.
Dkt. Bulendu amesema waandishi...
Mjumbe wa NEC Richard Kasesela, amesema kama una mpango wa kumnyima Kura Mgombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassani basi usiende hospitali, usipite kwenye barabara zetu
Hivi ndivyo wananchi wa Kigoma walivyojitokeza kwenye ufunguzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma mjini.
Soma Pia: - GE2025 - Clayton Chipando (Baba Levo) ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini kupitia CCM
Akiwa kwenye kipindi cha Dakika 45 ITV, Professor Kitila Mkumbo ambaye pia ni Mwenyekiti kamati ndogo iliyoandaa Ilani ya CCM, ametoa ufafanuzi kulingana na utafiti kuwa Chama kinafahamu wapiga kura wao
"chama chochote chenye akili duniani huwa vinafanya kitu kinaitwa 'Opinion Poll research'...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.