uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchange: Kulazimisha kususia uchaguzi ni kupora haki za wananchi

    Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) kimekemea vikali tabia za baadhi ya vyama vya siasa kuwalazimisha wananchi kususia uchaguzi ni kuwanyima haki ya msingi kwa mujibu wa katiba. Chama husika hakishiriki uchaguzi hatua hiyo ambapo ni kinyume cha demokrasia ya...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia na Watu wake , hawana Mamlaka Tena ya kuliponya Taifa dhidi ya haya yanayoendelea Nchini !!

    Hawezi Kaa Mezani na Upinzani zaidi ya vibaraka wake wa ACT na CHAUMA. Hawezi Kukaa na TEC Hawezi Kukaa na Viongozi wa Dini wa Kikristo Hawezi Kukaa na Jumuiya za Kimataifa Hawezi Kukaa na Taasisi za Haki za Binadamu Ndani ya Nchi Hawezi Kukaa na Wananchi, Tena Hawa ndo kabisa wamemnyima...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo: Nataka kulifufua Soko la Ujiji ili nikiwa napita wanione kama Nyerere wao!

  4. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea wa CCK: Tutalipia mahari vijana wanaotaka kuoa

    Kumbe vijana wengi tunachelewa kuoa kwa sababu ya mahari? Lakini tukipewa mahari ndio inatosha? Vipi kutunza familia? =============== Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Kijamii (CCK) David Mwaijojele amesema iwapo atapata ridhaa ya kuwa...
  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo: Kama nitashindwa kuleta barabara, 2030 nifukuzeni

    Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo amesema, "Kama nitashindwa kuleta barabara hapa Ujiji, 2030 nikitokea mbele yenu nifukuzeni. Barabara zitakuja kivyovyote, iwe kwa Uchawa, kwa kufoka ama kubembeleza lazima nilete...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baba Levo afanyiwa maombi na Wachungaji 100 Kigoma

    Mgombea Ubunge wa Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo, amefanyiwa maombi maalum na wachungaji zaidi ya 100 mkoani Kigoma.
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tupeni kazi, tukafanye kazi ili kuinua utu wa Mtanzania

    "Tupeni kazi, tukafanye kazi ili kuinua utu wa Mtanzania." Amesema Dkt. Samia wakati wa Mkutano wake wa Kampeni leo Septemba 23, 2025 Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Rais Samia akisisitiza kupewa kazi ili akasimamie utu wa Mtanzania, amebainisha kuwa ataendelea kusimamia suala la mitaji, masoko...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baraza la Wazee Namtumbo: Samia amekuwa kielelezo cha uongozi wenye dira, huruma na usikivu

    Wazee wangu nawaona huruma hivi. Pesheni vipi? au ndio mmeshalambisha asali ================ Baraza la Wazee wa Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, limetoa tamko rasmi likionesha uungwaji mkono wao kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, kuelekea Uchaguzi Mkuu ujao...
  9. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Agness Kaiza: Nakwenda kuwa msemaji wa Wana Segerea kuhusu changamoto zao

    Nakwenda kuwa msemaji wa Wana Segerea kuhusu changamoto zao"-Agness Kaiza - Mgombea ubunge jimbo la segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA).
  10. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu, amempa 'maua yake' Aida Kenani, Amepambana sana jimbo la Nkasi Kaskazini

    Haaa! Mwalimu umeyatoa ya moyoni kwa Aida, ila furshi huyu dada alijatihdi sana kuwatumikia wananchi wake wa Jimbo Nkasi Kaskazini na ukizangatia katika uchaguzi wa 2020 yeye ndiye alikuwa mgombea pekee aliyeshinda ubunge kutoka vyama vya upinzani Tanzania nzima. Anarekodi yake...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Majalio Kyara: Nikipewa Urais Nitaimarisha Soko la Mbaazi kwa Wakulima

    Mgombea urais kupitia Chama Cha Sauti ya Umma Mh. Majalio Kyara amesema endapo wananchi watampa ridhaa ya kushika nafasi hiyo atahakikisha anafungua fursa ya soko la mbaazi kwenye mikoa ambayo wakulima wanazalisha kwa wingi. Kyara ameyasema hayo wakati akiwahutubia wananchi wa Kibaigwa jijini...
  12. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Samia awahakikishia umeme wa uhakika Masasi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan ametangaza kujengwa kwa Njia ya kusafirisha umeme kutoka Mkoani Ruvuma- Tunduru mpaka Masasi Mkoani Mtwara ili kutoa uhakika wa upatikanaji wa umeme wa kutosha na wa uhakika...
  13. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Halima Mhando: Kususia Uchaguzi ni kosa, ni sawa kususia maendeleo

    Halima Mhando Rajab, akizungumza kupitia Crown FM, amegusia kuhusu athari za vijana kutoshiriki katika uchaguzi na jinsi hali hiyo inavyoathiri utendaji wa vyama vya siasa, akisema wazi, 'Kususia uchaguzi ni kosa, ni sawa kususia maendeleo.''
  14. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nondo: Kigoma hatupeleki wagonga meza (Baba Levo), Tunapeleka Wapambanaji (Zitto)

    Abdul Nondo, Meneja wa Kampeni wa Zitto Kabwe na Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT Wazalendo, amecheza sauti za zamani za msanii Baba Levo mbele ya wananchi wa Kata ya Bangwe, zikionesha kauli zake za kumsifia Zitto Kabwe Akizungumza na wakazi hao, Nondo amesema “Zitto amekuwa sauti ya...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Dkt. Bagonza: Tusipochukua hatua, tunaelekea kubaya

    Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe Dkt. Benson Bagonza ametoa wito kwa Watanzania hususani wanasiasa kutafakari mustakabali wa Taifa ulivyo, akidai kuwa endapo mambo yatabaki kama ilivyo sasa huenda 'kama Taifa' tukaelekea kubaya zaidi kutokana na mgawanyiko uliopo sasa hapa nchini Akihojiwa na...
  16. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea urais NRA ashindwa kunadi sera Zanzibar

    Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha NRA, Almas Hassan ameshindwa kufanya mkutano wa kampeni kwa muda baada ya maafisa wa polisi kufika eneo lake la mkutano na kumtaka ashuke katika gari alilokuwa akilitumia kuzungumza na wananchi. Hata hivyo mgombea mwenzake kwa nafasi ya Urais...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tarimba: Wananchi ndio wenye mamlaka yakutoa viongozi

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tarimba Gulam Abbas, amesema wananchi ndio wenye mamlaka ya kuchagua viongozi wanaowataka kwa ajili ya maendeleo yao. Akihutubia wananchi wa Kata ya Hanasif katika kampeni zake leo Septemba 19, 2025, Tarimba amesema...
  18. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 BAKWATA yampatia Rais Samia tuzo maalum ya Mufti Tanzania

    Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limeipa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tuzo maalum ya Mufti Tanzania, ambayo iliwasilishwa na kupokelewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwa niaba ya Rais, tarehe 20 Septemba 2025. Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania amkabidhi tuzo hii Samia, akitambua...
  19. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia asitisha hotuba kwa dakika 1 kupisha Adhana

    PEMBA: MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba 20 amesimamisha hotuba yake ya kampeni kwa dakika moja katika Uwanja wa Gombani, Wilaya ya Chakechake, Pemba kupisha wito wa sala kwa Waislamu (adhana). Tukio hilo limeakisi uongozi unaoheshimu na...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tanzania sasa kutumia umeme utokanao na upepo

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kwamba miongoni mwa malengo yaliyopo kwenye mkakati wa utekelezaji ni pamoja na kutengeneza umeme wa upepo ambao utategwa na kuingizwa kwenye Grid ya Taifa. Dkt. Samia ameyasema hayo Visiwani Zanzibar katika Mkutano...
Back
Top Bottom