uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salma Kikwete: Yaliyofanyika katika uongozi wako ni muujiza

    MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mchinga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salma Kikwete 'Mama Salma' amesema, maendeleo makubwa yaliyofikiwa jimboni humo chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ni kama muujiza kwani kwa muda mfupi tu amegusa nyanja mbalimbali. Amesema hayo leo Septemba 25...
  2. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Tutatoa ruzuku ya Pembejeo bure na kutafuta masoko ya korosho ili kuongeza tija kwa wakulima

    Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa endapo atapata ridhaa ya wananchi, serikali yake itaendelea kutoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima ili kuendeleza sekta ya kilimo nchini. Dkt. Samia ametoa ahadi hiyo leo Septemba 25, 2025 wakati akinadi sera...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Roma kuishtaki CCM: Mnatumia beat yangu kwenye Kampeni bila idhini, Nilipeni Stahiki zangu!

    Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, ameibuka hadharani akilalamikia kile alichokiita uvunjifu wa sheria za hakimiliki baada ya kuona mdundo wake (beat) ukitumika katika mikutano ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila ruhusa yake. Kupitia andiko lake kwenye mitandao ya kijamii, Roma...
  4. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hemed Suleiman: Hakuna mbadala wa Rais Mwinyi katika nchi hii ya Zanzibar

  5. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hemed Suleiman: Vyama vya Upinzani havina cha kueleza Wananchi, wanahubiri Chuki na Fujo

    Hemed Suleiman Abdulla, akihutubia mkutano wa kampeni Septemba 24, 2025 katika eneo la Makombeni, Mkoani, amesema tofauti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vingine ni kwamba vyama hivyo havina cha kueleza walichokifanya kwa wananchi, na bahati mbaya havielezi pia nini vitakavyofanya...
  6. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kanisa Katoliki: Marufuku kwa watawa kujihusisha na kampeni za siasa

    Kanisa katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa kanisa katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama mshirika wao. Na kukumbushwa kwamba jukumu lao ni kuinjilisha kadiri ya wito wao Katazo hilo...
  7. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Watawa Katoliki Lindi: Tunamuunga Mkono Rais Samia, Tunamuombea Miaka 5 tena

    Watawa wa Shirika la Masista wa Afrika wa Benedektina Bikra Maria Msaada wa Kristo Ndanda wamesema wanamuunga mkono Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa wana imani na uongozi wake Wameahidi kuendelea kumuombea Dkt. Samia ili ashinde katika Uchaguzi Mkuu...
  8. W

    JamiiForums Tanzania GE2025 Monalisa ACT: Rais Samia anafanya kazi nzuri kuliko wanaume

    Kada wa Chama cha Act-Wazalendo Monalisa ndala amesema kwa maoni yake Rais Samia anafanya vizuri kuliko hata wanaume akibainisha kuwa wasiokubali kazi zake wanaendekeza mfumo dume. Monalisa Ndala, ameyasema hayo kupitia kipindi cha One on One cha Wasafi TV. Huyu bado ni mwanachama wa ACT...
  9. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dkt. Mwinyi: Nimetekeleza mengi yanaonekana, sina haja ya kusema sana

    Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema endapo akipata ridhaa ya kuiongoza tena Zanzibar ataendelea kuboresha zao la karafuu. Kauli hiyo ameitoa wakati akihutubia maelfu ya wananchi ambao wamejitokeza katika uwanja wa...
  10. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Nikishinda Ubunge, kujifungua itakuwa bure

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameahidi kuwa akichaguliwa hakuna mwanamke atakayelipa fedha wakati wa kujifungua. Akizungumza leo katika Kata ya Buhanda, Kigoma, Zitto pia ameahidi kuboresha miundombinu ya barabara za kuunganisha Buhanda na mjini...
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mgombea urais Ada Tadea: Nitaanzisha kituo maalum cha teknolojia ya akili mnemba katika uzalishaji wa bidhaa na huduma

    Hakika hii moja ya hoja nzuri sana kutoka kwa gombea urais wa ADA TADEA. ============== Mgombea Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha Ada Tadea Georges Bussungu ameahidi kuwa iwapo atapata ridhaa ya kuongoza, ataanzanisha kituo maalum cha teknolojia ya akili bandia...
  12. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dk. Mwinyi atembelea soko la Chake Chake kuomba kura, aahidi mikopo kwa wafanyabiashara Zanzibar

    Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia wafanyabiashara ambao hawajapata mkopo unatolewa Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi(ZEEA) watapata endapo akipata ridhaa ya kuiongoza tena Zanzibar. Kauli hiyo ameitoa...
  13. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Amkeni huu unyenyekevu ni wakati kuomba kura tu, Huyu ni Fyandomo amepiga na magoti jimbo la Uyole

    Watu wa Uyole na kwingineko amkeni, huu unyenyekevu ni wakati kuomba kura tu, Huyu ni Fyandomo amepiga na magoti jimbo la Uyole lakini wakishazipata wanawasahau wananchi na badala yake ndiyo tunakuwa wapiga magoti. Hii Picha ya Jenista Mhagama ni mfano mzuri Mbunge Wa Viti Maalumu Mkoa wa...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia aahidi Bima ya Afya kwa wote ndani ya Siku 100 za kwanza

    Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Mtama Mkoani Lindi kujiandaa na ujio wa Bima ya afya kwa wote, ambayo amesema ndani ya siku mia moja za uongozi wake ikiwa atapewa ridhaa na watanzania, zoezi hilo la bima...
  15. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Majaliwa ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu amewaahidi wananchi wa Ruangwa mkoani Lindi kwamba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mbunge mstaafu wa Jimbo hilo, ataendelea kuwa msaidizi muhimu serikalini ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake.
  16. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Majaliwa: Rais Samia ana nia thabiti kwa Watanzania

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Watanzania wanayo sababu ya kumchagua Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu kwakuwa nia yake ni thabiti kwa Watanzania.
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi Kati Unguja Walalamikia Serikali kwa Kunyang’anywa Ardhi Zao kwa Ajili ya Wawekezaji

    Wananchi wa wilaya ya kati Unguja wamelalamikia Serikali wakidai ya kunyanganywa ardhi zao na kupewa wawekezaji. Akizungumza katika mkutano maalumu wa kusikiliza shida za wananchi, Mkaazi wa eneo hilo, Ali Suleiman Abdallah amesema wao wanasumbuliwa na uwekezaji ambapo baadhi ya maeneo yao...
  18. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Shigongo: Kazi ya maendeleo itafanywa Rais Samia, mimi pamoja na ninyi wananchi wa Buchose

    “Kazi ya maendeleo itafanywa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, mimi pamoja na ninyi wananchi. Ninatakiwa kuwa na wasaidizi wengine ambao ni madiwani wa CCM, hivyo kazi kubwa kwetu ni mwezi Oktoba kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura,” alisema Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo...
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Msimu wa korosho unakuja, Mungu atujalie tuuze kwa bei kubwa. Serikali yenu haipumziki

    “Msimu wa korosho unakuja, Mungu atujalie tuuze kwa bei kubwa. Serikali yenu haipumziki. Tunajua biashara ni mashindano, wakati tunazalisha wengine pia wanazalisha na bei hushuka, lakini tunajitahidi kuhakikisha wakulima wanapata bei kubwa,” alisema Dkt. Samia. Aidha, aliwahimiza wananchi wa...
  20. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Olengurumwa akosoa tamko la Mawakili wa Serikali kwa Kupinga Uamuzi wa TLS Kuhusu Maandamano ya Mawakili

    Mratibu Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa, amekosoa tamko la Chama cha Mawakili wa Serikali (PBA) lililopinga uamuzi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kuwataka wanachama wake kuandamana nchi nzima kulaani tukio la kukamatwa kwa...
Back
Top Bottom