uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    GE2025 Salma Kikwete arahisishiwa Kazi Jimboni, Mgombea Ubunge CHAUMMA, Mchinga, Yusuph Tamba atimkia CCM

    Aliyekuwa mgombea ubunge kupitia tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Jimbo la Mchinga, mkoani Lindi, Yusuph Tamba, amejiunga rasmi leo, tarehe 25 Septemba 2025, na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama hicho, Samia Suluhu Hassan, mkoani...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Majalio Kyara aahidi kupunguza foleni na kurejesha uadilifu serikalini

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara, ameahidi kushughulikia kwa haraka changamoto ya msongamano wa magari katika jiji la Dodoma, akisema tatizo hilo limekuwa likitesa wakazi wa majiji makubwa nchini na kudhoofisha shughuli za...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Salum Mwalimu aahidi 'Flyovers' Tunduma

    Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameahidi kujenga barabara za juu (flyovers) katika mji wa Tunduma ili kupunguza msongamano wa malori katika eneo hilo la mpakani. Mwalimu alitoa ahadi hiyo leo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Tunduma, kabla ya kuelekea...
  4. W

    GE2025 Nabii Geordavie aichangia CCM Arusha milioni 50 ili kuwezesha kampeni za Samia

    Nabii Mkuu wa Kanisa la Ngurumo ya Upako Dkt. Geordavie ametoa mchango wa shilingi Milioni 50 za Kitanzania kwa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha kwaajili ya kuwezesha Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania Samia anayetarajiwa kuwa na kampeni za Uchaguzi Mkuu Mkoani Arusha tarehe mbili mwezi...
  5. Waufukweni

    GE2025 Samia: Hakuna Chama kitakachoweza kwa sasa hivi kulinda na kuinua Utu wa Mtanzania kama siyo CCM

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema hakuna chama chochote cha siasa nchini kinachoweza kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama CCM. Akihutubia wananchi wa Mchinga mkoani Lindi katika mkutano wa kampeni...
  6. Waufukweni

    GE2025 Samia: Upinzani wanaiga sera za CCM

    Mgombea Urais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema wapinzani wanaiga sera za Chama Cha Mapinduzi ambazo tayari imefanya.
  7. Just Pray

    GE2025 Askofu Wolfgang Pisa anamaanisha nini anaposema kabla ya kwenda kupiga kura 'tathmini dhamiri yako'?

    "Kabla ya kwenda huko tathmini kidogo dhamiri yako, lakini dhamiri inaweza kuwa potofu isipokuwa na uelewa wa kutosha. Tuachane na dhamiri potofu, dhamiri yako itakuwaje safi na kamili? Kwanza muwe na uelewa wa kutosha kwa hicho unachoenda kufanya, Usikilize dhamiri yako kuhusu Ukweli na ile...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Salma Kikwete: Yaliyofanyika katika uongozi wako ni muujiza

    MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mchinga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salma Kikwete 'Mama Salma' amesema, maendeleo makubwa yaliyofikiwa jimboni humo chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ni kama muujiza kwani kwa muda mfupi tu amegusa nyanja mbalimbali. Amesema hayo leo Septemba 25...
  9. PAYE

    GE2025 Samia: Tutatoa ruzuku ya Pembejeo bure na kutafuta masoko ya korosho ili kuongeza tija kwa wakulima

    Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa endapo atapata ridhaa ya wananchi, serikali yake itaendelea kutoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima ili kuendeleza sekta ya kilimo nchini. Dkt. Samia ametoa ahadi hiyo leo Septemba 25, 2025 wakati akinadi sera...
  10. Waufukweni

    Roma kuishtaki CCM: Mnatumia beat yangu kwenye Kampeni bila idhini, Nilipeni Stahiki zangu!

    Msanii wa Hip Hop, Roma Mkatoliki, ameibuka hadharani akilalamikia kile alichokiita uvunjifu wa sheria za hakimiliki baada ya kuona mdundo wake (beat) ukitumika katika mikutano ya kampeni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) bila ruhusa yake. Kupitia andiko lake kwenye mitandao ya kijamii, Roma...
  11. Waufukweni

    GE2025 Hemed Suleiman: Hakuna mbadala wa Rais Mwinyi katika nchi hii ya Zanzibar

  12. Waufukweni

    GE2025 Hemed Suleiman: Vyama vya Upinzani havina cha kueleza Wananchi, wanahubiri Chuki na Fujo

    Hemed Suleiman Abdulla, akihutubia mkutano wa kampeni Septemba 24, 2025 katika eneo la Makombeni, Mkoani, amesema tofauti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vingine ni kwamba vyama hivyo havina cha kueleza walichokifanya kwa wananchi, na bahati mbaya havielezi pia nini vitakavyofanya...
  13. Just Pray

    GE2025 Kanisa Katoliki: Marufuku kwa watawa kujihusisha na kampeni za siasa

    Kanisa katoliki nchini limeweka marufuku kwa watawa wa kike na kiume na kiongozi yeyote wa kanisa katoliki kujihusisha na kampeni za siasa au kutambulishwa na chama chochote cha kisiasa kama mshirika wao. Na kukumbushwa kwamba jukumu lao ni kuinjilisha kadiri ya wito wao Katazo hilo...
  14. R

    GE2025 Watawa Katoliki Lindi: Tunamuunga Mkono Rais Samia, Tunamuombea Miaka 5 tena

    Watawa wa Shirika la Masista wa Afrika wa Benedektina Bikra Maria Msaada wa Kristo Ndanda wamesema wanamuunga mkono Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwa wana imani na uongozi wake Wameahidi kuendelea kumuombea Dkt. Samia ili ashinde katika Uchaguzi Mkuu...
  15. W

    GE2025 Monalisa ACT: Rais Samia anafanya kazi nzuri kuliko wanaume

    Kada wa Chama cha Act-Wazalendo Monalisa ndala amesema kwa maoni yake Rais Samia anafanya vizuri kuliko hata wanaume akibainisha kuwa wasiokubali kazi zake wanaendekeza mfumo dume. Monalisa Ndala, ameyasema hayo kupitia kipindi cha One on One cha Wasafi TV. Huyu bado ni mwanachama wa ACT...
  16. PAYE

    GE2025 Dkt. Mwinyi: Nimetekeleza mengi yanaonekana, sina haja ya kusema sana

    Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema endapo akipata ridhaa ya kuiongoza tena Zanzibar ataendelea kuboresha zao la karafuu. Kauli hiyo ameitoa wakati akihutubia maelfu ya wananchi ambao wamejitokeza katika uwanja wa...
  17. Just Pray

    GE2025 Zitto: Nikishinda Ubunge, kujifungua itakuwa bure

    Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameahidi kuwa akichaguliwa hakuna mwanamke atakayelipa fedha wakati wa kujifungua. Akizungumza leo katika Kata ya Buhanda, Kigoma, Zitto pia ameahidi kuboresha miundombinu ya barabara za kuunganisha Buhanda na mjini...
  18. Mafyangula

    GE2025 Mgombea urais Ada Tadea: Nitaanzisha kituo maalum cha teknolojia ya akili mnemba katika uzalishaji wa bidhaa na huduma

    Hakika hii moja ya hoja nzuri sana kutoka kwa gombea urais wa ADA TADEA. ============== Mgombea Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama cha Ada Tadea Georges Bussungu ameahidi kuwa iwapo atapata ridhaa ya kuongoza, ataanzanisha kituo maalum cha teknolojia ya akili bandia...
  19. Mafyangula

    GE2025 Dk. Mwinyi atembelea soko la Chake Chake kuomba kura, aahidi mikopo kwa wafanyabiashara Zanzibar

    Mgombea nafasi ya Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.Hussein Ali Mwinyi amewahakikishia wafanyabiashara ambao hawajapata mkopo unatolewa Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi(ZEEA) watapata endapo akipata ridhaa ya kuiongoza tena Zanzibar. Kauli hiyo ameitoa...
  20. Just Pray

    GE2025 Amkeni huu unyenyekevu ni wakati kuomba kura tu, Huyu ni Fyandomo amepiga na magoti jimbo la Uyole

    Watu wa Uyole na kwingineko amkeni, huu unyenyekevu ni wakati kuomba kura tu, Huyu ni Fyandomo amepiga na magoti jimbo la Uyole lakini wakishazipata wanawasahau wananchi na badala yake ndiyo tunakuwa wapiga magoti. Hii Picha ya Jenista Mhagama ni mfano mzuri Mbunge Wa Viti Maalumu Mkoa wa...
Back
Top Bottom