uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    GE2025 Prof Kitila: Pesa za mfuko wa jimbo za kwanza nitawakumbuka mabondia wa Mabibo

    Kitila aliitembelea mitaa mbalimbali ya kata hiyo kunadi sera, kueleza aliyotekeleza, kusema atakayofanya akishinda, kusikiliza changamoto na kutoa majibu ya suluhu zake. Katika kuendelea na kampeni hizo Kitila alikutana na mabondia ambao pia ni wafanyabiashara katika soko la Ndizi Mabibo na...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mihayo: Kila chombo cha habari kuwa kiungo cha ukweli, siyo propaganda, hasa katika kipindi cha mitazamo tofauti

    Vyombo vya habari nchini vimeaswa kusimamia ukweli na kuepuka propaganda kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025, katika kipindi ambacho jamii ina mitazamo, sera na itikadi mbalimbali. Wito huo umetolewa leo Septemba 25, 2025 jijini Dar es Salaam na Jaji Mstaafu Thomas Mihayo, aliyewahi kuwa Rais wa nne...
  3. Mafyangula

    GE2025 Dkt Tulia: CCM ndio wenye ahadi za kweli zinazotekelezeka

    Ujanja mwingi sana hakuna lolote hapo! Kila uchaguzi ajenda ni madawati oh matundu ya choo, tokeki hapa na sera za kishamba kila uchaguzi! ================== Mgombea wa Ubunge kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Uyole amesema kwa miaka mitano tangu 2020 mpaka 2025 Serikali imefanya...
  4. Mafyangula

    GE2025 ADC: Tutaongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar

    Chama cha Alliance For Democratic Change (ADC) kimezindua rasmi kampeni zake hii leo, ambapo mgombea wa urais wa Zanzibar kupitia chama hicho, Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kuimarisha mfumo wa uvuvi ili kuongeza kipato kwa wavuvi wa Zanzibar. Amesema hayo katika uzinduzi wa kampeni za urais wa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Polepole: Rais Samia, wananchi hawakukubali, na wanahisi unawakosea sana, makosa unafanya wewe hasara wanabeba CCM

    Polepole: Wananchi awakukubali, na wanahisi unawakosea sana, makosa unafanya wewe hasara wanabeba CCM na wahanga ni Tanzania nzima Nikusihi usirudie tena kuwatisha waTanzania kwa dhamana waliyokupa.
  6. Mafyangula

    GE2025 Wasira: Madiwani acheni kutafua Uenyekiti na Umeya kabla ya uchaguzi kuisha "Siwatishi"

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amewaonya baadhi ya wagombea udiwani katika maeneo mbalimbali ambao wameanza harakati za kusaka uenyekiti wa halmashauri na umeya, kabla ya uchaguzi. "Kwa madiwani ninawaomba sana sio hapa Mkinga, hapa sijaambiwa lakini huko...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Madeleka: Uchaguzi unafanyika kwa haki, amani, uhuru na kuaminika

    Wakili Peter Madeleka amesema uchaguzi mkuu ni takwa la kikatiba linalofanyika kila baada ya miaka mitano, ambapo wananchi hupata nafasi ya kutumia mamlaka yao chini ya Ibara ya 8 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaweka madarakani viongozi wanaowataka na kuwaondoa wasiowataka...
  8. Mafyangula

    GE2025 Doyo: Nikishika dola nitaivunja Bodi ya Pamba imekuwa kichocheo cha walanguzi wanaoathiri soko la pamba

    Wanasiasa wanasipidii kweli! Kwani kuivunja ndio soluhu? Kuliko kuiboresha zaidi na iwe imara na kuleta faida kwa wakulima wa zao hilo na nchi pia katika kuongeza pato =============== Mgombea Urais wa Chama cha NLD, Doyo Hassan Doyo, amesema chama chake kitaleta mageuzi makubwa kwenye sekta ya...
  9. Mafyangula

    GE2025 Mwalimu: Tukapige kura tuchague viongozi wa upinzani ambao watakuwa watetezi wetu

    "Tusifanye makosa hayo, kwa sababu tukifanya hivyo tutakuwa tumewaambia CCM watambe lakini pia ukiachilia nafasi ya urais, tutaacha bunge la wapiga makofi bungeni na hakutokuwa mtu wa kuwatetea wananchi," amesema Mwalimu. "Tusifanye hayo makosa, tukapige kura tuchague viongozi wa upinzani ambao...
  10. Idugunde

    GE2025 Watanzania wamepuuza kampeni za CCM? Au sababu ya ushindani wa upande mmoja?

    Unaweza kusema zimedolola. Au watu hawana mpango na siasa za uchwara? Ukiacha zile za Mgombea urais na makamu wake sababu ya watu kusombwa na malori ta mizigo. Kampeni za ubunge na udiwani zimedolola na watu hawazifuatilii kabisa. Hata zile nazo kama ni ziara za kunadi ahadi.
  11. Mafyangula

    GE2025 Wavuvi Lindi: Mama Samia hatuna cha kukulipa zaidi Octoba 29 tunatiki kwako tu!

    Naona wasanii wakiendelea kutumika kweli kweli na CCM, najiuliza muafaka wao ni upi baada ya uchaguzi huu? Lakini wananchi baadhi yao wameonyesha kumuunga mkono Samia na kusema amefanya mengi sana na wao hawana cha kumlipa zaidi ni kumpa kura za ndio Oktoba 29, 2025 ili aendeele kuwaletea...
  12. Mafyangula

    GE2025 Wahadzabe: Sisi sote tumeridhia, tutajitokeza kwa wingi kumpa Rais wetu haki yake ya msingi

    Haya sasa Washaenda hadi kuwaharibu Wahadzabe huko, usishangae hata ile siku ya uchaguzi watawapelekea kilo kilo za nyama kama walivyowafanyia uchaguzi wa Serikali za mitaa 2024 ========================== Jamii ya Wahadzabe, moja ya koo za kifugaji na wawindaji wa asili nchini Tanzania, imetoa...
  13. tonicimmobility

    GE2025 Aibu, mgombea ubunge wa CHAUMMA apiga magoti kwa Samia akiomba kupokelewa CCM, Maana yake CCM itapita bila kupingwa kwenye jimbo husika?

    Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi zinazoendelea leo Septemba 25, 2025 mkani Lindi ameonekana mgombea ubunge wa Chama cha Ukombozi wa Umma (#CHAUMMA) akipiga magoti mbele ya mkutano huo akiomba kurejea CCM na kupokelewa kama mwanachama mpya. Swali la kujiuliza ni je, kwahiyo CHAUMMA...
  14. tonicimmobility

    GE2025 Baruani CHADEMA: Mama Samia watu wa Lindi wana mimba ya mradi mkubwa wa gesi

    Aliyewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Baruani amesema watu wa Lindi wana mimba ya mradi wa gesi ambayo inamsubiria Samia aje aizalishe mimba hiyo. Ameyasema hayo leo septemba 25, 2025 katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea katika mkoa wa...
  15. Waufukweni

    GE2025 Zitto aulizwa na Wananchi, Kura za "Urais tumpe nani?"

    Mmoja wa wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, uliofanyika kata ya Buhanda, alimpa changamoto kwa kumuuliza: "Ubunge tukupe wewe, lakini urais tumpe nani endapo chama chenu hakitasimamisha mgombea wa urais?"...
  16. tonicimmobility

    GE2025 Samia: Wengine wanasema wataleta maji kwani walikuwa wapi siku zote kuleta maji?

    Katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea leo Septemba 24, 2025 mkoani Lindi, Mgombea Urais kupitia Chama hicho Samia Suluhu Hassan katika jimbo la Mchimba ameonekana akiwasema ahadi za vyama pinzani ni za maigizo bali za CCM ndizo za kweli na halisi. Soma pia: Mradi wa maji...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Nchimbi: Tutafuta kuzuia miili hospitalini kisa deni

    Mgombea mwenza wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi ameahidi kufutwa kwa utaratibu wa kuzuia miili ya Marehemu Hospitalini kwa sababu ya deni la matibabu. Dkt. Nchimbi amesema haya leo Septemba 25 katika mkutano wa kampeni uliofanyika jimbo la Kilolo, Iringa kwa...
  18. PAYE

    GE2025 Hamad: Nitapunguza gharama za mchele wa Mapembe

    Mgombea urais wa Chama cha ADC visiwani Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kupunguza gharama za mchele maarufu wa Mapembe endapo Wazanzibari watamchagua kuwa rais. Amesema kuwa moja ya vipaumbele vyake ni kuhakikisha "mchele wa Mapembe" unapatikana kwa bei nafuu ya shilingi 1,200 za...
  19. Just Pray

    GE2025 Uyole: Dkt. Tulia aahidi kujenga barabara ya lami kata ya Ilomba

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Uyole kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt Tulia Ackson ameendelea Na kampeni zake katika Kata Ya Ilomba na Kuahidi Uboreshaji wa Miundombinu ya Barabara,Afya,Elimu na Umeme
  20. W

    GE2025 Bwege: Mpina alikosea kujiunga na chama chenye walakini, ACT kuna shida na uzembe

    Wakuu Bwege anaendelea kupiga kichwani anaeleza kuwa Mpina anapambania haki lakini alikosea kujiuna na ACT wazalendo na akasisitiza chama hiko kina shida haiwezekani mara ya pili mfululizo kinakosa mgombea wa Urais ni uzembe. "Ni kweli kabisa Mpina anataka haki lakini kapotea kuingia kwenye...
Back
Top Bottom