uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Mwenyekiti wa ADC Shaban Itutu: Kauli ya Rais Mstaafu Kikwete ya 'Pumba na Mchele' inakejeli Upinzani na kuumiza Demokrasia, ajitokeze aombe radhi

    Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Taifa, Shaban Itutu, amemtaka Rais mstaafu wa Tanzania na Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuomba radhi kwa umma wa Watanzania kutokana na kauli yake kuhusu ushindi wa CCM katika uchaguzi...
  2. R

    GE2025 Albert Msando: Tundu Lissu anajitetea mwenyewe, Je, Mahinyila alikamatwa pale kama Wakili au Mwenyekiti wa BAVICHA?

    Mkuu wa wilaya ya Ubungo Albert Msando akizungumza kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba ameeleza suala la Wakili Mahinyila kukamatwa katika eneo la Mahakama “Sote tunajua kuwa Tundu Lissu anajitetea mwenyewe mahakamani, lazima...
  3. tonicimmobility

    GE2025 Mambo atakayoyafanya Agnesta Kaiza ndani ya siku 100 akiwa mbunge Segerea

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Kaiza, amesema akichaguliwa kuwa mbunge ndani ya siku mia moja atahakikisha wakinamama wa jimbo hilo wanapata mikopo ili kuwainua kiuchumi. Agnesta ametoa ahadi hiyo alipokuwa akiongea na wakazi wa kata ya...
  4. tonicimmobility

    GE2025 Kwani vyama vingine havifanyi kampeni mikoani? Au ndio wamechukua hela za ruzuku na kutia mfukoni?

    Wakuu, nimekuwa na safari ya wiki zima nikikatiza mikoa kadhaa na kwa namna upepo wa sasa ulivyo nilitegemea mambo yamechangamka huko lakini ajabu ni kwamba kila mkoa nilioingia nimekuta mabango ya CCM yamechafua kila mahali na kampeni zao ndizo zinaoendelea. Kuanzia Njombe, Iringa hadi...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Vigogo CCM wapita 'chocho' kwa 'chocho' kusaka kura

    MGOMBEA nafasi ya udiwani wa Kata ya Mbweni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulkadir Mgheni, ameendelea na kampeni zake leo akishirikiana na vigogo wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mstaafu Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Mkoa, Shyrose...
  6. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa TEF, Balile: Watu mtandaoni wanajizima data au sijui hamnazo? Tanzania kuna maendeleo hadi vjijini

    Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) akizungumza na Clouds TV leo, Septemba 29, 2025 amesema; "Wakati tunakua miaka ya 70 hadi 80 tulikuwa tunaoga mtoni pale kijijini kwetu. Mimi natokea Bukoba Vijijini kuna kijiji kinaitwa Nyanga. "Nina ndugu zangu wapo kijiji...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Said Soud: Nikipata urais Zanzibar vikosi vya SMZ vitafanya kazi ya kulima minazi na mikarafuu

    Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for African Farmers Party, Said Soud, ameendelea na kampeni zake huku akiahidi kwamba vikosi vya SMZ vitashirikishwa katika kilimo cha nazi na karafuu ili kuongeza uzalishaji na kukuza uchumi wa Zanzibar. Pia Soma: GE2025 - Said Soud Said...
  8. Waufukweni

    GE2025 Mgombea urais TLP: Uchaguzi upo, yeyote anayesema hakuna Uchaguzi Mitandaoni atachukuliwa hatua

    Mgombea Urais wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira amesema chama hicho hakiungi mkono vyama ambavyo vinanadi uchaguzi usifanyike,na badala yake kuwataka wananchi wajitokeze kupiga kura kwa wingi Oktoba 29. Akizungumza kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika viwanja vya...
  9. Waufukweni

    GE2025 Sumbawanga: Mtoto wa mgombea udiwani Kata ya Msua apanda jukwaani kumnadi baba yake

    Mgombea wa udiwani Kata ya Msua Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Juma Thomas Mnanka amezindua kampeni Septemba 28, 2025 eneo la John Kella. Katika hali iliyowavutia wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Mkutano huo wa kampeni, ni kitendo cha mtoto wa kwanza...
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Bodaboda Msata: Tutamchagua Rais Samia ametupunguzia faini za barabarani

    Bodaboda wa eneo la Msata Mkoani Pwani wameahidi kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa amesaidia kuwapunguzia gharama za faini kutoka shilingi 30,000 hadi 10,000 pindi wanapopatikana na makosa ya barabarani. Aidha, wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi...
  11. Mafyangula

    GE2025 Wadudu: Tunahitaji viongozi wenye maadili na utu ili watuletee maendeleo

    Mkoani Arusha kuna kikundi cha vijana maarufu kwa jina la Wadudu, ambapo baadhi ya vijana kutoka kikundi hicho wamesema wapo tayari kushiriki uchaguzi mkuu ili wawachague viongozi watakaosimamia ndoto zao. “Tunahitaji viongozi wenye maadili na utu ili watuletee maendeleo,” amesema Kenyenyo...
  12. Mafyangula

    GE2025 Vijana Kibaha waahidi kujitokeza kwenye vituo vya kupigia kura

    Vijana wa Mji wa Kibaha Mkoani Pwani wamesema watatimiza haki yao ya kupiga kura kwa kujitokeza kwenye Vituo vya kupigia kura Oktoba 29 mwaka huu. Aidha, wameeleza kuwa Vyama vya upinzani haviwezi kushika madaraka kwa vina migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na tamaa ya kushika dola.
  13. Kipenzi Changu

    GE2025 Kampeni za Samia Suluhu zimevunja rekodi, hazijawahi kutokea

    Kwa umri wangu sijawahi kushuhudia kampeni za namna hii. Hivi mnajua kama kampeni za uchaguzi huu zimeanza tangu 2021? Hiyo mibango ipo tangu 2021. Yaani umepiga kampeni kwa miaka minne lakini bado unaogopa kushindana, hii sio kawaida kabisa katika historia yetu.
  14. W

    GE2025 Samia: Mkinichagua nitamalizia ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo

  15. BigTall

    GE2025 Wasira: Wewe unanung'unika tu maandamano utakula maandamano?

    MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kunung'unika na kufikisha ujumbe wa changamoto mbalimbali kwa njia ya maandamano kumepitwa na wakati Amesema Watanzania wanataka maendeleo ukiwemo ujenzi wa miundombinu muhimu ambayo itarahisisha shughuli za...
  16. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Tutajenga uwanja mkubwa wa michezo Msoga kumuenzi Kikwete

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa serikali yake itajenga uwanja mkubwa wa michezo katika eneo la Msoga, Chalinze, mkoani Pwani iwapo atapata ridhaa ya wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Hakutakuwa na tishio lolote la kiusalama siku ya Uchaguzi

    Mtu anataka kuhalalisha uoga uliopo tayari. Ungekuwa kweli hakuna hofu, basi isingehitajika kutamka hivi. ================= "Tunaomba kura zenu Wanamsata, la muhimu sana Wanamsata, tarehe 29 mwezi wa 10, Mwenyezimungu tumuombe atuamshe salama, ukitoka kuelekea kituo cha kura, tunasema twende...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Usanifu wa barabara njia 6 ya Maili moja- Chalinze unaendelea

    Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa usanifu wa upanuzi wa Barabara ya Njia sita kutoka maili moja Hadi Chalinze lakini pia Kutakuwa na ujenzi wa barabara ya Mabasi yaendayo haraka kutoka Kibaha Hadi Chalinze itakayojengwa Kwa ubia...
  19. L

    GE2025 PICHA: Maelfu kwa maelfu ya Wananchi wakiongozwa na mstaafu Kikwete wamempokea kwa kishindo Rais Samia Chalinze

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amepokelewa kishujaa kwa mapokezi mazito na ya kihistoria Chalinze Mkoani Pwani. Ambapo katika Mapokezi hayo Maelfu kwa Maelfu ya Wananchi Wakiongozwa Na Rais wetu...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Gombo: Nikuwa Rais katiba mpya itakuwa ndani ya siku 100

    MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia (CUF) Samandito Gombo amesema siku 100 baada ya kuchaguliwa kuwa Rais atahakikisha anaanzisha mchakato wa katiba mpya na itakuwa ni siku ya kwanza baada ya kuapishwa. Gombo aliyasema hayo leo wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari...
Back
Top Bottom