Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Taifa, Shaban Itutu, amemtaka Rais mstaafu wa Tanzania na Mwenyekiti mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, kuomba radhi kwa umma wa Watanzania kutokana na kauli yake kuhusu ushindi wa CCM katika uchaguzi...
Mkuu wa wilaya ya Ubungo Albert Msando akizungumza kupitia kipindi cha Medani za Siasa cha StarTV kinachoongozwa na Mwandishi wa habari Edwin Odemba ameeleza suala la Wakili Mahinyila kukamatwa katika eneo la Mahakama
“Sote tunajua kuwa Tundu Lissu anajitetea mwenyewe mahakamani, lazima...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Agnesta Kaiza, amesema akichaguliwa kuwa mbunge ndani ya siku mia moja atahakikisha wakinamama wa jimbo hilo wanapata mikopo ili kuwainua kiuchumi.
Agnesta ametoa ahadi hiyo alipokuwa akiongea na wakazi wa kata ya...
Wakuu, nimekuwa na safari ya wiki zima nikikatiza mikoa kadhaa na kwa namna upepo wa sasa ulivyo nilitegemea mambo yamechangamka huko lakini ajabu ni kwamba kila mkoa nilioingia nimekuta mabango ya CCM yamechafua kila mahali na kampeni zao ndizo zinaoendelea.
Kuanzia Njombe, Iringa hadi...
MGOMBEA nafasi ya udiwani wa Kata ya Mbweni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulkadir Mgheni, ameendelea na kampeni zake leo akishirikiana na vigogo wa chama hicho wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Mstaafu Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida, na Mjumbe wa Kamati ya Ushindi Mkoa, Shyrose...
Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) akizungumza na Clouds TV leo, Septemba 29, 2025 amesema;
"Wakati tunakua miaka ya 70 hadi 80 tulikuwa tunaoga mtoni pale kijijini kwetu. Mimi natokea Bukoba Vijijini kuna kijiji kinaitwa Nyanga.
"Nina ndugu zangu wapo kijiji...
Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Alliance for African Farmers Party, Said Soud, ameendelea na kampeni zake huku akiahidi kwamba vikosi vya SMZ vitashirikishwa katika kilimo cha nazi na karafuu ili kuongeza uzalishaji na kukuza uchumi wa Zanzibar.
Pia Soma: GE2025 - Said Soud Said...
Mgombea Urais wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Yustas Rwamugira amesema chama hicho hakiungi mkono vyama ambavyo vinanadi uchaguzi usifanyike,na badala yake kuwataka wananchi wajitokeze kupiga kura kwa wingi Oktoba 29.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadahara uliofanyika viwanja vya...
Mgombea wa udiwani Kata ya Msua Jimbo la Sumbawanga Mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Juma Thomas Mnanka amezindua kampeni Septemba 28, 2025 eneo la John Kella.
Katika hali iliyowavutia wananchi mbalimbali waliojitokeza katika Mkutano huo wa kampeni, ni kitendo cha mtoto wa kwanza...
Bodaboda wa eneo la Msata Mkoani Pwani wameahidi kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwa amesaidia kuwapunguzia gharama za faini kutoka shilingi 30,000 hadi 10,000 pindi wanapopatikana na makosa ya barabarani.
Aidha, wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi...
Mkoani Arusha kuna kikundi cha vijana maarufu kwa jina la Wadudu, ambapo baadhi ya vijana kutoka kikundi hicho wamesema wapo tayari kushiriki uchaguzi mkuu ili wawachague viongozi watakaosimamia ndoto zao.
“Tunahitaji viongozi wenye maadili na utu ili watuletee maendeleo,” amesema Kenyenyo...
Vijana wa Mji wa Kibaha Mkoani Pwani wamesema watatimiza haki yao ya kupiga kura kwa kujitokeza kwenye Vituo vya kupigia kura Oktoba 29 mwaka huu.
Aidha, wameeleza kuwa Vyama vya upinzani haviwezi kushika madaraka kwa vina migogoro ya wenyewe kwa wenyewe na tamaa ya kushika dola.
Kwa umri wangu sijawahi kushuhudia kampeni za namna hii. Hivi mnajua kama kampeni za uchaguzi huu zimeanza tangu 2021? Hiyo mibango ipo tangu 2021.
Yaani umepiga kampeni kwa miaka minne lakini bado unaogopa kushindana, hii sio kawaida kabisa katika historia yetu.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kunung'unika na kufikisha ujumbe wa changamoto mbalimbali kwa njia ya maandamano kumepitwa na wakati
Amesema Watanzania wanataka maendeleo ukiwemo ujenzi wa miundombinu muhimu ambayo itarahisisha shughuli za...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa serikali yake itajenga uwanja mkubwa wa michezo katika eneo la Msoga, Chalinze, mkoani Pwani iwapo atapata ridhaa ya wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
Mtu anataka kuhalalisha uoga uliopo tayari. Ungekuwa kweli hakuna hofu, basi isingehitajika kutamka hivi.
=================
"Tunaomba kura zenu Wanamsata, la muhimu sana Wanamsata, tarehe 29 mwezi wa 10, Mwenyezimungu tumuombe atuamshe salama, ukitoka kuelekea kituo cha kura, tunasema twende...
Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa usanifu wa upanuzi wa Barabara ya Njia sita kutoka maili moja Hadi Chalinze lakini pia Kutakuwa na ujenzi wa barabara ya Mabasi yaendayo haraka kutoka Kibaha Hadi Chalinze itakayojengwa Kwa ubia...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amepokelewa kishujaa kwa mapokezi mazito na ya kihistoria Chalinze Mkoani Pwani.
Ambapo katika Mapokezi hayo Maelfu kwa Maelfu ya Wananchi Wakiongozwa Na Rais wetu...
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia (CUF) Samandito Gombo amesema siku 100 baada ya kuchaguliwa kuwa Rais atahakikisha anaanzisha mchakato wa katiba mpya na itakuwa ni siku ya kwanza baada ya kuapishwa.
Gombo aliyasema hayo leo wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.