Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi, leo Septemba 27 katika mahojiano ya Cafe Talk Jijini Dar es salaam, akijibu swali lililoulizwa na Mwaandishi wa Habari Charles William, amesema utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote utasaidia kuondoa changamoto...
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amehoji utendaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, akieleza kuwa yeye tayari ameonesha dira (vision) yake kwa Ujiji na kueleza mambo ya msingi yanayopaswa kufanyika ili mji...
Kwa miaka na miaka umekuwa ukitumia neno "uzalendo" katika muktadha wa kumaanisha mtu aliyetayari kumtetea kiongozi au raisi (hasahasa UOVU wake: wizi, ufisadi, utekaji n.k) na sio nchi yake. Hapa umekuwa ukikosea RUDI DARASANI.
Umekuwa pia ukitumia neno "UTU" nalo wakati katika uongozi wako...
Katika kuelekea mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika (CAF Champions League) kati ya Mlandege FC ya Zanzibar na Insurance FC ya Ethiopia, unaotarajiwa kuchezwa kesho Jumamosi katika Uwanja wa New Amaan Complex kuanzia saa 10:15 jioni, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...
Jeshi la Polisi Mkoani Tanga limesema litaendelea kushirikiana na waandishi wa habari,ikiwemo kuangalia usalama wao wanapokuwa kazini hasa kwa muda huu wa uchaguzi.
Hayo yamebainishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Almachius Mchunguzi kwenye mdahalo wa ulinzi na usalama kwa waandishi wa...
Vijana waliopata Mafunzo ya Kijeshi katika Kikosi cha Jeshi la kujenga taifa (843KJ) Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi wametakiwa kutumia vizuri matumizi ya Mitandao ya kijamii kwa faida yao na taifa kwa ujumla.
Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya Operesheni Okoa Nishati safi, Mgeni rasmi...
Mgombea udiwani kata ya Vibaoni halmashauri ya Mji Handeni mkoani Tanga Marry Chambuya amewaahidi wananchi wa eneo hilo endapo watampa ridhaa ya kuwa diwani wao kwa kumchagua,atasimamia kupatikana kwa kituo cha mabasi jambo ambalo ni moja ya changamoto yao
Akizungumza kwenye mkutano wake...
Chama cha Democratic Party (DP) kimemsimamisha uachamaa Makamu Mwenyekiti Zanzibar Peter Agaton Magwira pamoja na wanachama wengine saba kwa tuhuma za kumuunga mkono mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Alhaji Dk. Husein Ally Mwinyi.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama...
Gharama zinatumika kubwa sana! Na ninachokiona na kujiuliza je hizi bwebwe zote hizi Makonda anazozifanya katika kampeni hizi pesa zote anazitoa wapi?
Je anahuwakika wa kushinda na baada ya kushinda anauhakika wa kula uteuzi mkubwa wa uwaziri? Na hapo ndipo atakapozirejesha hizo pesa zote...
Mimi binafsi siwezi kutoka kwenda kusikiliza Mgombea yoyote yule. Naona hakuna jipya wanaloweza kunieleza nikawaelewa. Miaka yote ya uhuru matatizo ni yale yale ambayo yameshidwa kutatulika.
Kama tu nchi yenye watu milion 65 tumeshidwa kuendesha mradi tu mdogo wa mwendo kasi. Hapo naweza...
Mgombea Ubunge Jimbo la Nyamagana kupitia chama cha ACT Wazalendo, Ester Thomas amewataka wananchi wasikubali kutumika na wanasiasa kipindi hiki cha uchaguzi na badala yake siku ya uchaguzi wachague viongozi watakaokwenda kuwatumikia.
"Msikubali kuambiwa mmebadilishiwa mgombea ili hali...
Chama cha Siasa cha UDP (United Democratic Party) kimeahidi mageuzi makubwa ya kiuchumi na kiutawala, ikiwemo kutoa asilimia 50 ya mshahara wa Rais moja kwa moja kwa wananchi kwa ajili ya kutekeleza shughuli za maendeleo.
Ahadi hiyo ya kufurahisha, pamoja na ile ya kutoa umeme na maji bure kwa...
Hivi hawa watu wanagombea nafasi mbali mbali za kisiasa wanatuonaje.
Mmoja kasema akipata urais vijana wataruhusiwa kulima bhangi, mwingine kasema kila mtanzania atapewa simu janja na vocha bure, mwingine atamleta mcheza cinema maarufu Arusha, mwingine anasema vitanda vya sita kwa sita itakua...
Mnatuonaga sisi ni mafala sana sio?
Unaiba hela zetu tunawauliza "kwanini wewe mnaiba hela zetu", mnaanza kujitetea "Nyie mmetumwa na UPINZANI, mnataka kuondoa AMANI nchini, hamuwezi"
Okay sawa
“Toka nimeingia Mtwara kila jimbo nasikia watu wanashukuru kwa maendeleo. Wale wanaosema hakuna maendeleo, elimu, afya, umeme na maji kwao si maendeleo kwa sababu wameshazoea. Lakini kwa sisi vijijini hayo mambo ni maendeleo tena makubwa. Hatuwezi kuyapuuza,” amesema Dkt. Samia.
Amesisitiza...
Hadi leo bado tunapiga porojo za sera za maji? 🤔 Hii ni aibu kweli! Nchi nyingine wanasonga mbele na teknolojia za kisasa, sisi bado tunajadili kama maji yatamiminika kwenye bomba au kwenye ndoo. Kwa kweli safari yetu ni ndefu kuliko hata msafara wa ngamia jangwani! 🐪
=================
“Lengo...
Mgombea Urais wa CCM Dk. Samia Suluhu Hassan amesema tangu kuanza kwa mpango wa serikali wa kutoa ruzuku za mbolea pamoja na pembejezo za Kilimo mwaka 2021/22, serikali imetumia takribani Sh. Bilioni 726 kwaajili ya kunufaisha wakulima wa Tanzania.
Akiomba kura kwa mamia ya wananchi wa Mtwara...
Mgombea Udiwani wa Kata ya Muleba Mjini, Muhaji Bushako, amejibu tuhuma za baadhi ya watu waliodai kwamba hajafanya lolote muhimu kwa maendeleo ya kata hiyo.
Akizungumza mbele ya mgeni rasmi, Mgombea Ubunge wa Buchosa Eric Shigongo, Bushako alisema kwamba alipoanza kazi yake kama diwani alikuta...
Baadhi ya vyama vya siasa visiwani Zanzibar vimesitisha mikutano yake ya kampeni kufuatia kifo cha mgombea ubunge wa Jimbo la Fuoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abass Ali Mwinyi, kilichotokea jana.
Miongoni mwa vyama vilivyositisha shughuli zake ni CCM pamoja na Chama cha ACT Wazalendo...
Mgombea urais kupitia Chama cha ADA TADEA, George Bussungu, amesema iwapo atachaguliwa, serikali yake itajenga mji maalum wa teknolojia unaoitwa Bongo Technological City, ambapo vijana wenye vipaji kutoka mikoa yote watapelekwa kwenda kuvumbua na kuendeleza miradi mbalimbali ya kiteknolojia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.