uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Samia: Bandari ya Tanga kuwa bohari ya mafuta na gesi, hatua ambayo inatarajiwa kuzalisha ajira mpya 2,100

    Wakuu! Namuonea sana huruma Samia na hizi ahaadi zake! Naona anavyoendelea kujichimbia shimo refu sana kwa wananchi. Na sioni kama atafanikiwa kutekeleza hata kwa asilimia 20. Mimi nipo siti ya mbele nasubiri kuona :cool: ================== Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  2. Lord Denning

    GE2025 Wito kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama: Simameni na Wananchi tarehe 29 Oktoba, 2025

    Sote tunafahamu kuwa Taifa letu hivi sasa linaangamizwa kwa kutisha na rushwa kubwa zinazofanywa na Wanasiasa na familia zao bila kusahau Viongozi wachache wa Serikali na vyombo ya Ulinzi na Usalama. Haya yanafanyika huku Watanzania wengi wakikosa huduma bora za msingi kama Maji safi na salama...
  3. baz kaiza

    GE2025 Tarehe 29 Oktoba hakuna Maandamano. Ila serikali iwe makini hizi sauti zinazodai maandamano ni Nyingi

    Watawala wa Tanzania wamekua na tabia ya kuishi na kutawala kwa mazoea. Kwa sasa serikali iwe makini na CCM sauti zinazodai maandamano ni nyingi na zinazidi kuongezaka zinazotaka mabadiliko. Usipo ziba ufa utajenga ukuta. Watanzania sasa hivi mazindiko yenu hayawashiki tena wananchi watanzania...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Kamanda Masejo: Arusha yajipanga kulinda amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, ameeleza kuwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, mkoa huo umejiandaa kikamilifu zaidi kuliko wakati mwingine wowote, kwa kuwa Mkoa wa Arusha ni kivutio cha utalii hivyo kulinda usalama na amani ni mambo ya kipaumbele. Kamanda...
  5. R

    GE2025 Wakili Dickson Matata: Unaingiaje kwenye uchaguzi ambao Rais ambaye ni Mgombea ndiye anayeteuwa Mwenyekiti, Makamu na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi

    Wakili Dickson Matata akizungumza katika Mdahalo wa "Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025" kipindi cha Star TV ameelezea Suala la Uteuzi wa watendaji wa Tume huru ya Uchaguzi ambapo Katiba inasema Rais ndiye mwenye Mamlaka ya kuteuwa Mwenyekiti, Makamumwenyekiti na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi...
  6. PAYE

    GE2025 Dorothy Semu: Mpina akigombea tutashinda, tuna imani na uwezo wake

    Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, amesema chama hicho hakina wasiwasi kuhusu muda uliosalia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, endapo Luhaga Mpina ataruhusiwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dorothy amezungumza hayo leo, Septemba 29, 2025, katika...
  7. R

    GE2025 Wakili William Maduhu: Tunakwenda kwenye Uchaguzi ikiwa bado kuna Vilio vya Kutotendewa haki, uchaguzi wa Mwaka huu hauna Uhalali wa Kisiasa

    Wakili William Maduhu Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa akizungumza katika Mdahalo wa Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025 kipindi cha Star TV ameelezea Taswira halisi kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 kwamba bado kuna vilio vingi sana na malalamiko ya wadau wengine kutotendewa haki na...
  8. DuaZaMama

    GE2025 Baba Levo: Sitaki kuahidi vitu ambavyo ni ngumu kutekelezeka

    Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Mjini Clayton Revocatus Chipando maarufu Baba Levo amesema “Sisi hatutaki kuahidi vitu ambavyo havitekelezeki ndio na kama vibanda hivyo havitajengwa basi nikija tena mnifukuze” Pia Soma: Baba Levo: Kama nitashindwa kuleta barabara, 2030 nifukuzeni
  9. tonicimmobility

    GE2025 Mbona kama wameanza kuogopa kuhusu oktoba 29?

    Wakuu ukiiskiliza hii video kwa makini ni kama wameanza kuogopa kuhusu kutoka oktoba Walidhani wananchi tunatania, sasa hivi kila anapoenda kusoma risala lazima agusie kuhusu oktoba tunatoka. Wakuu tukazie hapohapo hadi kufika 29 oktoba tutakua tumeelewana tu Soma pia: Haji Manara: Hii nchi...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea urais SAU: Serikali yangu itatoa vifaa bure kwa walemavu

    Mgombea urais kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Majalio Kyara, amesema endapo atapewa ridhaa ya kuchaguliwa kuongoza nchi serikali yake itatoa vifaa bure kwa walemavu wa aina zote ili viwasaidia katika maisha. Soma > Mgombea urais SAU aahidi ajira milion 10 kwa watanzania Akizungumza na...
  11. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa TEF, Balile: Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu, Polisi hawashushi wagombea kwenye majukwaa

    Kizungumza kupitia Clouds TV, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema: “Kampeni za mwaka huu zina ustaarabu, polisi hawashushi wagombea kwenye majukwaa.”
  12. Criss

    Kauli ya Mzee Kikwete ni dharau kubwa sana kwa Taifa

    Heshima ya Rais mstaafu hupaswa kuwa ni ya kiwango cha juu sana kwenye Taifa lolote alilowahi kulitumikia na kimataifa kwa ujumla . Lakini kwa ile kauli ya Kikwete iliyotolewa jana akiwa huko Pwani inadhihirisha siyo tu ameshindwa kuheshimu thamani ya demokrasia na vilio vya watu waliyonyimwa...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Nape: Hatukukurupuka kumpitisha Samia kuwa mgombea urais

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema kuwa katika vikao vyake CCM haikukurupuka kumpitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali walijiridhisha kuwa mgombea huyo anatosha...
  14. Waufukweni

    GE2025 Wananchi Pangani wasafisha barabara kumshukuru Samia kwa mradi kutekelezwa

    Wakuu Huko Pangani Wananchi wamesafisha barabara kumshukuru Samia kwa mradi kutekelezwa wakisema Oktoba ''Tunatiki'' na Mgombea hana deni kwao
  15. W

    GE2025 Zainabu: Rais Samia amedumisha Amani na Nchi ina maendeleo

    Mgombea Ubunge wa Viti maalumu akiwakilisha kundi la Vijana Zainabu Abdallah amesema kuwa watanzania wanataka vitu viwili pekee ambavyo ni Amani na Maendeleo na Kueleza kuwa Dkt. Samia ameweza kudumisha Amani nchini na Nchi Ina maendeleo hivyo kuwataka wananchi Oktoba 29 kwenda kupiga Kura.
  16. M

    GE2025 Pangani: Aliyesema Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na kutangaza, ataka wanaoshawishi maandamano kupuuzwa

    Nape Nnauye, amempongeza Mgombea Urais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa kwa kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita amethibitisha kuwa na utu pamoja na uwezo wa kipekee wa kuongoza taifa. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo, Jumatatu Septemba 29...
  17. DuaZaMama

    GE2025 Juma Aweso aomba bandari ya mifugo Pangani

    Mgombea wa Ubunge Jimbo la Pangani Mkoani Tanga Jumaa Aweso amemuomba Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan atakapopata Ridhaa ya kuongoza Tena Serikali awajengee Wakazi wa Pangani Bandari ya Mifugo Awesome ameyasema hayo Leo Sept 29,2025...
  18. PAYE

    GE2025 Wafugaji waahidi kumchagua Samia Oktoba 29, 2025

    Wafugaji waliojitokeza kusikiliza mkutano wa Kampeni za mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan wamesema watamchagua kwa kuwa amelisaidia kundi hilo kwa kuwapatia ruzuku bure ya dawa na utekelezaji wa mpango wa kujenga majosho katika vijiji vyote vilivyo na wafugaji.
  19. R

    GE2025 Shetta: Tuilinde amani yetu kwa wivu Mkubwa Kwa kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 tukachague viongozi bora kutoka CCM

    Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram Mgombea Udiwani kata ya Mchikichi Kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nurdin Bilal Juma (Shetta) ameandika: "Tuilinde amani yetu kwa wivu mkubwa ndugu zangu watanzania ! Kwa kujitokeza kwa wingi tarehe 29 oktoba tukapige kura kwa amani tukawachague...
  20. Waufukweni

    GE2025 Mwenyekiti wa TEF, Balile: Kampeni za mwaka huu zina hoja zaidi

    Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) amedai kuwa Kampeni za uchaguzi huu wa Oktoba 29, 2025 zimejaa hoja; "Nimeshuhudia kampeni za miaka mingi lakini kampeni za mwaka huu zina hoja zaidi lakini mazingira yamebadilika watu wana Smart phone na bahati mbaya hizi (simu)...
Back
Top Bottom