uchaguzi mkuu 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Khadija Rungwe aahidi kipaumbele kwa Elimu, Afya, Ajira na miundombinu Kibaha Mjini

    Mgombea Ubunge jimbo la Kibaha Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Khadija Rungwe amesema wakaazi wa jimbo hilo wanahitaji maendeleo ya elimu, afya, ajira na miundombinu. Amesema wanahitaji kuichagua Chaumma ili kupata maendeleo hayo hivyo waachane na Chama cha Mapinduzi CCM...
  2. Inside10

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenyekiti UVCCM Mohamed Kawaida: Tumesikitishwa Na Kauli Ya Rais Wa TEC

    Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) umekosoa tabia ya baadhi ya viongozi wa dini kuwazuia waumini wao kushiriki kwenye shughuli za kisiasa. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Ali Kawaida, katika mkutano na waandishi wa habari mkoani Tanga, ambapo alisema...
  3. L

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia ni Mgombea mwenye mvuto na ushawishi mkubwa kwa Wapiga kura tangia mfumo wa vyama vingi uanze hapa Nchini

    Ndugu zangu Watanzania, Katika historia ya Taifa letu na tangia kuanza kwa mfumo wa Vyama vingi hapa Nchini. Rais wetu Mpendwa na Mama yetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anakuwa Mgombea wa kwanza Mwenye Mvuto na shawishi Mkubwa sana kwa wapiga kura. Ni...
  4. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ukiukwaji wa haki za binadamu kuelekea 29/10/2025 waangaziwa na Human Rights Watcho. Ama kwa hakika si kwa roho ngumu hizi!

    Siyo siri, kuna watu wana roho ngumu, si mchezo! Kipi si kweli katika makala hiyo? Yanatokea Tanzania leo haya? Kwamba ni kwa uchu tu wa madaraka? Looh! Tukiwashangaa kina M7 na wenzao, kumbe hao walikuwa cha mtoto! ====== Tanzania: Deepening Repression Threatens Elections Stop Wrongful...
  5. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lyata: Uchaguzi ukifanyika kwa mazingira ya sasa tutarajie Tanzania iliyogawika

    Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Sikonge, Felix Lyata amesema kama uchaguzi ukifanyika kwa mazingira ya sasa tutegemee kuiona Tanzania iliyo gawika kwasababu itatokea kundi la watu litasema huyu ni Rais wetu, mbunge wetu kwa sababu tulimchagua sisi na wengine watasema huyu hatukumchagua sisi kila mtu...
  6. The Watchman

    JamiiForums Tanzania GE2025 Lyata: Uchaguzi umepoa, No reforms No election Imeeleweka

    Katibu wa Chama Cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora Felix Lyata amesema uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 umepoa kwa sababu ajenda ya 'No Reforms no Election imeeleweka kwa wananchi huku akisisitiza kwamba ili uchaguzi uweze kuitwa uchaguzi ni lazima kuwepo na...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwananchi: Zitto ni mbinafsi wa juu lakini Baba Levo ni mtumishi wa wananchi

    Vita ya siasa inazidi kuwa tamu huko jimbo la Kigoma Mjini ======================= Kutoka vijiweni hii ni baadhi ya mijadala ambayo inaendelea kujadiliwa na wananchi wa jimbo la kigoma mjini, kwa kupembua uwezo wa wahombea wao kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Katika mjadala huu amesikika...
  8. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi Arusha wajipanga kuuimarisha Usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Vitisho vinaendelea! Ila nao wabongo wanaendelea kuzoom kusubiri siku ifike tuone kitachotokea ============== Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, amesema Jeshi la Polisi mkoani humo limejipanga kwa umakini mkubwa kuhakikisha usalama na utulivu vinaimarishwa kuelekea Uchaguzi Mkuu...
  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Mbunge na Madiwani wa CCM wameshauza Biafra wakidai ilikuwa Mali yao, wamekaa Vikao kazi yao kuuza kila eneo la Wazi

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Jimbo la Kinondoni lina nafasi kubwa ya kuleta mageuzi ya kimaendeleo endapo litaongozwa na Kiongozi mwenye maono ya kweli, na kudai kuwa kwa sasa maeneo mengi yameuzwa ikiwemo Viwanja vya Biafra na ameahidi ACT ikishinda...
  10. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hakuna mtu mwenye akili timamu isipokuwa wale wanaonufaika moja kwa moja na asali anayeweza kupoteza muda wake kupiga kura oktoba 29

    Ni kichaa, Mtu asiye na elimu, mjinga ma mbinafsi (hapa nawazungumzia wale wanaoonjeshwa asali au wanaonufaika na mfumo kisa ndugu zao wapo kwenye system pasipo kufikiria maslahi mapana ya taifa), Watu hawa pekee ndiyo wanaoweza kupoteza muda kwenda kupiga kura, Lakini hata kwa mtoto wa kidato...
  11. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mchungaji Nyuki aiunga mkono CCM kwa wimbo maalum wa siasa

    Naona anajitengenezea maslai yake binafsi huyu! Hana lolote la maana Bora aingie kwenye mafungu ya kuwasaidia waumini wake yeye ndio anahangahika kuwaga! ================= Mchungaji Nyuki amejitokeza kuwa miongoni mwa wachungaji waliotoa mchango wao wa kipekee kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vituko vinaendelea! Haya maandalizi yanayofanyika Arusha Mjini ya kumpokea Samia, pesa inayotumika ni zile B 100 au kodi za watanzania?

    Yani Kila siku unasikia kuna hili mara lile huko alipo Paul Makonda! Hadi sasa bila shaka kuna pesa nyingi zimetumika katika kuyafanya hayo maandalizi ya kumpokea Mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu. Yani kila nikiangali uupuzi unaoendelea kufanyika hasira za kinyaru zinazidi kupanda kwa hawa...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dk Nchimbi aahidi ujenzi wa masoko 13 na kurasimisha biashara ndogo Ubungo

    Harakati za ahadi zisizo wezekana kutekelezeka zinazidi kuongezeka kwa CCM! Ila wasituone Watanzania ni wajinga tunarekodi vyote na muda ukifika watakipata wanachostaili Mimi nipo siti ya mbele nasubiri muda ufike =================== Mgombea mwenza wa urais wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Samia: Bandari ya Tanga kuwa bohari ya mafuta na gesi, hatua ambayo inatarajiwa kuzalisha ajira mpya 2,100

    Wakuu! Namuonea sana huruma Samia na hizi ahaadi zake! Naona anavyoendelea kujichimbia shimo refu sana kwa wananchi. Na sioni kama atafanikiwa kutekeleza hata kwa asilimia 20. Mimi nipo siti ya mbele nasubiri kuona :cool: ================== Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  15. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wito kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama: Simameni na Wananchi tarehe 29 Oktoba, 2025

    Sote tunafahamu kuwa Taifa letu hivi sasa linaangamizwa kwa kutisha na rushwa kubwa zinazofanywa na Wanasiasa na familia zao bila kusahau Viongozi wachache wa Serikali na vyombo ya Ulinzi na Usalama. Haya yanafanyika huku Watanzania wengi wakikosa huduma bora za msingi kama Maji safi na salama...
  16. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tarehe 29 Oktoba hakuna Maandamano. Ila serikali iwe makini hizi sauti zinazodai maandamano ni Nyingi

    Watawala wa Tanzania wamekua na tabia ya kuishi na kutawala kwa mazoea. Kwa sasa serikali iwe makini na CCM sauti zinazodai maandamano ni nyingi na zinazidi kuongezaka zinazotaka mabadiliko. Usipo ziba ufa utajenga ukuta. Watanzania sasa hivi mazindiko yenu hayawashiki tena wananchi watanzania...
  17. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamanda Masejo: Arusha yajipanga kulinda amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Justine Masejo, ameeleza kuwa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, mkoa huo umejiandaa kikamilifu zaidi kuliko wakati mwingine wowote, kwa kuwa Mkoa wa Arusha ni kivutio cha utalii hivyo kulinda usalama na amani ni mambo ya kipaumbele. Kamanda...
  18. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili Dickson Matata: Unaingiaje kwenye uchaguzi ambao Rais ambaye ni Mgombea ndiye anayeteuwa Mwenyekiti, Makamu na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi

    Wakili Dickson Matata akizungumza katika Mdahalo wa "Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025" kipindi cha Star TV ameelezea Suala la Uteuzi wa watendaji wa Tume huru ya Uchaguzi ambapo Katiba inasema Rais ndiye mwenye Mamlaka ya kuteuwa Mwenyekiti, Makamumwenyekiti na Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi...
  19. PAYE

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dorothy Semu: Mpina akigombea tutashinda, tuna imani na uwezo wake

    Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, amesema chama hicho hakina wasiwasi kuhusu muda uliosalia kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, endapo Luhaga Mpina ataruhusiwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dorothy amezungumza hayo leo, Septemba 29, 2025, katika...
  20. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wakili William Maduhu: Tunakwenda kwenye Uchaguzi ikiwa bado kuna Vilio vya Kutotendewa haki, uchaguzi wa Mwaka huu hauna Uhalali wa Kisiasa

    Wakili William Maduhu Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa akizungumza katika Mdahalo wa Jicho la Wanasheria Uchaguzi Mkuu 2025 kipindi cha Star TV ameelezea Taswira halisi kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025 kwamba bado kuna vilio vingi sana na malalamiko ya wadau wengine kutotendewa haki na...
Back
Top Bottom